Hatimaye madude ya kulinda anga za Ukraine yawasili

Akil zenu huwa za kitoto sana hv USA ikisema iwe kama Urusi isijali ushindan wa kiuchumi na China aseme awekeze nguv huku tu huyo Urusi wenu atapona hapo ? shukuru Bush hayupo Huyo jamaa alikuwa anapenda vita sana na mpk sasa Urusi angekuwa anarusha nyuklia maana hali ingekuwa tete kwake
 
Hamna kitu, ndio maana Mayor wa Kiev amewasihi wakazi wa jiji wahame - sasa kama Ukraine ingekuwa na uwezo wa kijikinga/linda dhidi ya makombora hatari ya Urusi kwa nini Serikali yao inawashauri raia kuhama jiji la Kiev??
Kuna mtu anaeza kukujib shit sio kwa vile anapenda bali ni uwez wa mtu anaemjib ni mdg kias anahisi hatoelewa jib , hv Urusi si wana mitambo ya airdefence mbona maeneo ya kadhaa waliwai kudai yaliwai vamiwa
 
Unaandaje uzi kama huu, kurupu, kurupu tuuu, bila picha
 
unapoongea kuwa na ushaidi , tofaut na hapo unakuwa kama MPUMBAV TU
 
Huwa hamtulii na mada moja akizungumziwa Urusi unaitaja USA ikitajwa USA unaitaja IRAN ikitajwa IRAN unaitaja ISRAEL , hii ni dalili ya stress za maisha , zungumzia mada moja ndo uamie mada nyingine , Urusi ndio kavamia Ukraine sio UKRAINE kavamia Urusi , so ni kituko kuokoteza wapiganaj kwa ugomv umeuanzisha ww mwnyw
 
kwan nan yupo kweny ya mwenzie , ukosef wa ajira unawatia watu ukichaa
Saana blaza acha tukale mihogo na vipande vya nazi tukawapelekee moto simba kwini ....uzuri siku hizi bodaboda inalipa sana ma kwini unalamba hata kwa buku 2 tu
 
wq ndo mpumbav bora wa 21st Century , umevamiwa halaf unataka utulie uendelee kuvamiwa , tutolee uzezeta wako yaan kijana wa 2022 Unazidiwa akili na kizaz cha 1970s waliipiganja Kagera bila kujali ukubwa wa adui
 
Hivi zile HIMARS ziliisha ama zilikodiwa kwenda saudia

Bado nyingine zipo,lakini wanazitumia kwa kujiiba iba hawazianiki tena kwenye sehemu ambayo hiko wazi, hapo nazungumzia kuhusu rocket launcher pamoja na kilori chake - linapo kuja suala za guided roketi(shells) zenyewe hizo Urusi imekwisha pata dawa ya ku-deal nazo - siku hizi roketi za HIMARS zinakuwa swept out of the sky like flies by Russian latest no nonsense BuK-M3.
 


Zelensky ni Muisraeli hana damu ya ki-yukrein hivyo anachochea vita huku akijua hatashinda na wanaokufa sio Waizraeli wenziye bali vita hiyo inashamirisha biashara ya silaha kutoka katika makampuni ya silaha ya huko Marekani, makampuni yanayomilikiwa au yenye shares nyingi za Waisraeli , hivyo hiyo vita inao mtazamo wa kibiashara uliojificha na hiyo ndio wataalamu wa SEMITIC huiita "JEWS CUNNING"---- Jews ni watu wenye hila kubwa sana, akili zao zinafikiri deep kiasi kwamba mtu mwenye akili ya wastani sio rahisi kugundua.
 
Wasingeondoka Kerson aise, acha kutupelekesha na maji.
 
Mrusi ameishiwa hadi anaokoteza wanywa gongo wakapigane, sasa sijui nani atampa msaada maana pale Iran alikua ameshikilia panaendelea kuzibwa.
Onyango mambo vipi jaber
 
Mzee hata sijui una umri gani, maana unaongea utopia hadi basi, huna tofauti na waleviwa gongo wanaobishana kuhusu yanga na simba wakati hawawezi kusoma gazeti lililoandika kuhusu simba na yanga.
 
Mzee hata sijui una umri gani, maana unaongea utopia hadi basi, huna tofauti na waleviwa gongo wanaobishana kuhusu yanga na simba wakati hawawezi kusoma gazeti lililoandika kuhusu simba na yanga.

ha ha ha maustadhi mtatukana lakini ndio ukweli huo, Putin kawaangusha mbaya sana, na juzi hata Kim wa Korea kamkana, hata Iran imekua ikijitetea haimsaidii sijui mtakimbilia wapi sasa.
 
ha ha ha maustadhi mtatukana lakini ndio ukweli huo, Putin kawaangusha mbaya sana, na juzi hata Kim wa Korea kamkana, hata Iran imekua ikijitetea haimsaidii sijui mtakimbilia wapi sasa.
🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…