Hatimaye Mahasimu wa Muda Mrefu Jay Z na Nas wamekutana tena kwenye Album ya Dj Khaleed

Hatimaye Mahasimu wa Muda Mrefu Jay Z na Nas wamekutana tena kwenye Album ya Dj Khaleed

Nas ana jealous tu. Jizzo ni tawi jingine yule. Gheto boy, kama unataka kumwelewa Jizzo sikiliza inteview zake. Very humble. I don't understand why people hate him! Even Queen B mwenyewe ageuzi. Unajua kwasababu gani? Jamaa ni genius kinoma, we sikiliza rylics zake. Kwahiyo Nas hawezi kugeuza kwa J. Na huo ndio ukweli na kila mtu anajua
Inawezekana kweli

Ila usimchukulie poa Nas

Nas siku kaacha kuishi maisha ya new York rappers Yale kuimba ,mitungi,unga, sex Lucas bling bling I micheni ya kilograms moja .

Nas siku Ni investor mkubwa Sana kwenye venture na startup nyingi tu na ana make mkwanja Safi kabisa

Ndio maana nowday Yuko karibu Sana na akina Diddy ,Jay z Jamaa Yuko serious .

So Nas Ni mtu poa kabisa

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Wimbo unaitwa SORRY NOT SORRY. Mpaka sasa nimeskiliza kipande cha Nas tu, navuta pumzi nimsikilize Jay. Licha ya bifu lao au mgongano kuisha toka miaka ya 2006 lakini hadi leo hii, wapenzi wa utamaduni na muziki wa Hip Hop hawaishi kuongelea msuguano huu uliotokea kwenye Album ya Nas (stillmatic) mwaka 2001 kwa kibao chake cha ETHER- naweza kusema ESTHER ni kati ya Diss Track 3 bora kuwahi kutokea duniani.


Nas alimchana baada ya Jay kumshambulia Nas vibaya sana kwenye wimbo wake wa TAKEOVER alioutoa mwaka huo huo 2001 kwenye album yake ya THE BLUEPRINT akimsema Nas kwa flow mbaya na kudanganya kwenye nyimbo zake kuwa anayoyaimba hajayaishi-ameyaona kupitia vitabu na vyanzo vingine.

Jay pia alikuwa akijipima ubora na wasanii wote wa kizazi cha 90's kama Mobdeep- ndomana Nas kwenye Esther anamwambia Jay- inamaana wewe unataka kujifananisha na Biggie, Gayz, Cock-A-Fella Records na maneno mengi machafu na hii kuifanya Esther kuwa Wimbo mkali wa miaka yote

wenye kudiss
Walisample watu kibao na kuifanya nyimbo ya kuwachana wengine Beat hili aliwahi kulitumia Eminem kumchana Jumanne Dupri (Jermaine) na hata hapa karibuni aliwahi kulitumia Remmy Ma kumdiss Nick Minaj na yeye aliita Shether.

Licha ya bifu hii kuwanufaisha wote wawili Jay Z alimwomba msamaha Nas na familia yake baada ya bifu kufika mbali na kujibizana maneno machafu kwenye nyimbo zao, mfano kwenye U Don't Know"Jay alisema (nimelala na mama yako Nas ukiwa mdogo).

View attachment 1768941
Mwaka 2006 Nas alimshirikisha Jay kwenye wimbo wake wa Black Republican ulioachiwa kwenye album ya Hip hop is Dead. Mwaka 2007 Jay z naye akatoa album yake ya American Gangster na kumshirikisha Nas kwenye kibao cha I Do It For Hip Hop Wakaendelea kupeana shavu.

Japo watu hawajaacha kulizungumzia bifu la Ether, na wamekuwa wakilinganishwa muda wote licha ya wao kuyamaliza. Na sasa tunamwona Dj Khaled akiwakaribisha wawili hao kwenye Album yake ya KHALED KHALED.

View attachment 1768942
Wote mistari ipo konki uzito umeenda sawa. Nyimbo nimeisikiliza kuna baadhi ya mistari

Nas anasema "Only Kings can stand near me....am fromt he ghetto,location 2 sec from the devil"

Naye Jay ' Z anasema " .. Intermittin' fasting, but these mil's, I'm not missin' lunch.."
 
Inawezekana kweli

Ila usimchukulie poa Nas

Nas siku kaacha kuishi maisha ya new York rappers Yale kuimba ,mitungi,unga, sex Lucas bling bling I micheni ya kilograms moja .

Nas siku Ni investor mkubwa Sana kwenye venture na startup nyingi tu na ana make mkwanja Safi kabisa

Ndio maana nowday Yuko karibu Sana na akina Diddy ,Jay z Jamaa Yuko serious .

So Nas Ni mtu poa kabisa

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Nas ni muwekezaji mkubwa sana wa awali kwenye Cryptocurrency wakati inaanza na kwenye hiyo nyimbo ameongea.

Lkn kwa Hov uwekezaji wake ni mkubwa licha kuuza Tidal kwa Jack Dorsey mmiliki wa Twitter.

Nayo humo ndani kaongea
 
Nas ni muwekezaji mkubwa sana wa awali kwenye Cryptocurrency wakati inaanza na kwenye hiyo nyimbo ameongea.

Lkn kwa Hov uwekezaji wake ni mkubwa licha kuuza Tidal kwa Jack Dorsey mmiliki wa Twitter.

Nayo humo ndani kaongea
That's why napenda aina hii ya Rap ya kina Jay Z..sometimes ni inspirational..sio wengine kusifia mademu na drugs tu.
 
Nas ana jealous tu. Jizzo ni tawi jingine yule. Gheto boy, kama unataka kumwelewa Jizzo sikiliza inteview zake. Very humble. I don't understand why people hate him! Even Queen B mwenyewe ageuzi. Unajua kwasababu gani? Jamaa ni genius kinoma, we sikiliza rylics zake. Kwahiyo Nas hawezi kugeuza kwa J. Na huo ndio ukweli na kila mtu anajua
Nina uhakika wewe HipHop umeanza kusikiliza miaka ya 2000's, hata Nas a.k.a Hugambino hujamsikiliza vizuri. Ungekuwa umemsikiliza vizuri usingeleta huu utovu wa nidhamu. Haya wakubwa tumekusamehe....
 
Inawezekana kweli

Ila usimchukulie poa Nas

Nas siku kaacha kuishi maisha ya new York rappers Yale kuimba ,mitungi,unga, sex Lucas bling bling I micheni ya kilograms moja .

Nas siku Ni investor mkubwa Sana kwenye venture na startup nyingi tu na ana make mkwanja Safi kabisa

Ndio maana nowday Yuko karibu Sana na akina Diddy ,Jay z Jamaa Yuko serious .

So Nas Ni mtu poa kabisa

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Mazee binafsi nawakubali Jay na Nas kwa sanaa tu, maana wote ni legends. Ila mtu anayemchukulia Nas poa naamini hajamsikiliza vizuri, maana hata Jay mwenyewe anakiri kwamba Nas a.k.a Hugambino ni moto wa kuotea mbali. Binafsi alichokifanya mdao hapo juu huwa naita utovu wa nidhamu....
 
Wimbo unaitwa SORRY NOT SORRY. Mpaka sasa nimeskiliza kipande cha Nas tu, navuta pumzi nimsikilize Jay. Licha ya bifu lao au mgongano kuisha toka miaka ya 2006 lakini hadi leo hii, wapenzi wa utamaduni na muziki wa Hip Hop hawaishi kuongelea msuguano huu uliotokea kwenye Album ya Nas (stillmatic) mwaka 2001 kwa kibao chake cha ETHER- naweza kusema ESTHER ni kati ya Diss Track 3 bora kuwahi kutokea duniani.


Nas alimchana baada ya Jay kumshambulia Nas vibaya sana kwenye wimbo wake wa TAKEOVER alioutoa mwaka huo huo 2001 kwenye album yake ya THE BLUEPRINT akimsema Nas kwa flow mbaya na kudanganya kwenye nyimbo zake kuwa anayoyaimba hajayaishi-ameyaona kupitia vitabu na vyanzo vingine.

Jay pia alikuwa akijipima ubora na wasanii wote wa kizazi cha 90's kama Mobdeep- ndomana Nas kwenye Esther anamwambia Jay- inamaana wewe unataka kujifananisha na Biggie, Gayz, Cock-A-Fella Records na maneno mengi machafu na hii kuifanya Esther kuwa Wimbo mkali wa miaka yote

wenye kudiss
Walisample watu kibao na kuifanya nyimbo ya kuwachana wengine Beat hili aliwahi kulitumia Eminem kumchana Jumanne Dupri (Jermaine) na hata hapa karibuni aliwahi kulitumia Remmy Ma kumdiss Nick Minaj na yeye aliita Shether.

Licha ya bifu hii kuwanufaisha wote wawili Jay Z alimwomba msamaha Nas na familia yake baada ya bifu kufika mbali na kujibizana maneno machafu kwenye nyimbo zao, mfano kwenye U Don't Know"Jay alisema (nimelala na mama yako Nas ukiwa mdogo).

View attachment 1768941
Mwaka 2006 Nas alimshirikisha Jay kwenye wimbo wake wa Black Republican ulioachiwa kwenye album ya Hip hop is Dead. Mwaka 2007 Jay z naye akatoa album yake ya American Gangster na kumshirikisha Nas kwenye kibao cha I Do It For Hip Hop Wakaendelea kupeana shavu.

Japo watu hawajaacha kulizungumzia bifu la Ether, na wamekuwa wakilinganishwa muda wote licha ya wao kuyamaliza. Na sasa tunamwona Dj Khaled akiwakaribisha wawili hao kwenye Album yake ya KHALED KHALED.

View attachment 1768942
Mbona walaliza tofauti zao kotambo sana
 
That's why napenda aina hii ya Rap ya kina Jay Z..sometimes ni inspirational..sio wengine kusifia mademu na drugs tu.
Au tuseme ni pesa huleta hekima mkuu? Maana ukiangalia hizo bar za hiyo nyimbo zina maana sana binafsi imeleta maana ya hip hop na ukongwe mkuu Darmian.

Wanzetu drugs wanaiongelea kama ilikuwa tu kama njia ya kutafuta kusikia malengo



Came from the pitchin (Came from the pitchin)', ’caine in the kitchen
Dangerous missions, wastin' your time if you want my forgiveness (Forgiveness)
 
Wimbo unaitwa SORRY NOT SORRY. Mpaka sasa nimeskiliza kipande cha Nas tu, navuta pumzi nimsikilize Jay. Licha ya bifu lao au mgongano kuisha toka miaka ya 2006 lakini hadi leo hii, wapenzi wa utamaduni na muziki wa Hip Hop hawaishi kuongelea msuguano huu uliotokea kwenye Album ya Nas (stillmatic) mwaka 2001 kwa kibao chake cha ETHER- naweza kusema ESTHER ni kati ya Diss Track 3 bora kuwahi kutokea duniani.


Nas alimchana baada ya Jay kumshambulia Nas vibaya sana kwenye wimbo wake wa TAKEOVER alioutoa mwaka huo huo 2001 kwenye album yake ya THE BLUEPRINT akimsema Nas kwa flow mbaya na kudanganya kwenye nyimbo zake kuwa anayoyaimba hajayaishi-ameyaona kupitia vitabu na vyanzo vingine.

Jay pia alikuwa akijipima ubora na wasanii wote wa kizazi cha 90's kama Mobdeep- ndomana Nas kwenye Esther anamwambia Jay- inamaana wewe unataka kujifananisha na Biggie, Gayz, Cock-A-Fella Records na maneno mengi machafu na hii kuifanya Esther kuwa Wimbo mkali wa miaka yote

wenye kudiss
Walisample watu kibao na kuifanya nyimbo ya kuwachana wengine Beat hili aliwahi kulitumia Eminem kumchana Jumanne Dupri (Jermaine) na hata hapa karibuni aliwahi kulitumia Remmy Ma kumdiss Nick Minaj na yeye aliita Shether.

Licha ya bifu hii kuwanufaisha wote wawili Jay Z alimwomba msamaha Nas na familia yake baada ya bifu kufika mbali na kujibizana maneno machafu kwenye nyimbo zao, mfano kwenye U Don't Know"Jay alisema (nimelala na mama yako Nas ukiwa mdogo).

View attachment 1768941
Mwaka 2006 Nas alimshirikisha Jay kwenye wimbo wake wa Black Republican ulioachiwa kwenye album ya Hip hop is Dead. Mwaka 2007 Jay z naye akatoa album yake ya American Gangster na kumshirikisha Nas kwenye kibao cha I Do It For Hip Hop Wakaendelea kupeana shavu.

Japo watu hawajaacha kulizungumzia bifu la Ether, na wamekuwa wakilinganishwa muda wote licha ya wao kuyamaliza. Na sasa tunamwona Dj Khaled akiwakaribisha wawili hao kwenye Album yake ya KHALED KHALED.

View attachment 1768942
Jay Z kamficha Sana Nas ila Hata We Going Crazy Kuna Utundu H.E.R Kaufanya cyo Wa Kawaida.. in short all album Ipo On Point
 
Wimbo unaitwa SORRY NOT SORRY. Mpaka sasa nimeskiliza kipande cha Nas tu, navuta pumzi nimsikilize Jay. Licha ya bifu lao au mgongano kuisha toka miaka ya 2006 lakini hadi leo hii, wapenzi wa utamaduni na muziki wa Hip Hop hawaishi kuongelea msuguano huu uliotokea kwenye Album ya Nas (stillmatic) mwaka 2001 kwa kibao chake cha ETHER- naweza kusema ESTHER ni kati ya Diss Track 3 bora kuwahi kutokea duniani.


Nas alimchana baada ya Jay kumshambulia Nas vibaya sana kwenye wimbo wake wa TAKEOVER alioutoa mwaka huo huo 2001 kwenye album yake ya THE BLUEPRINT akimsema Nas kwa flow mbaya na kudanganya kwenye nyimbo zake kuwa anayoyaimba hajayaishi-ameyaona kupitia vitabu na vyanzo vingine.

Jay pia alikuwa akijipima ubora na wasanii wote wa kizazi cha 90's kama Mobdeep- ndomana Nas kwenye Esther anamwambia Jay- inamaana wewe unataka kujifananisha na Biggie, Gayz, Cock-A-Fella Records na maneno mengi machafu na hii kuifanya Esther kuwa Wimbo mkali wa miaka yote

wenye kudiss
Walisample watu kibao na kuifanya nyimbo ya kuwachana wengine Beat hili aliwahi kulitumia Eminem kumchana Jumanne Dupri (Jermaine) na hata hapa karibuni aliwahi kulitumia Remmy Ma kumdiss Nick Minaj na yeye aliita Shether.

Licha ya bifu hii kuwanufaisha wote wawili Jay Z alimwomba msamaha Nas na familia yake baada ya bifu kufika mbali na kujibizana maneno machafu kwenye nyimbo zao, mfano kwenye U Don't Know"Jay alisema (nimelala na mama yako Nas ukiwa mdogo).

View attachment 1768941
Mwaka 2006 Nas alimshirikisha Jay kwenye wimbo wake wa Black Republican ulioachiwa kwenye album ya Hip hop is Dead. Mwaka 2007 Jay z naye akatoa album yake ya American Gangster na kumshirikisha Nas kwenye kibao cha I Do It For Hip Hop Wakaendelea kupeana shavu.

Japo watu hawajaacha kulizungumzia bifu la Ether, na wamekuwa wakilinganishwa muda wote licha ya wao kuyamaliza. Na sasa tunamwona Dj Khaled akiwakaribisha wawili hao kwenye Album yake ya KHALED KHALED.

View attachment 1768942
Nimesikiliza hii ngoma leo masaa kadhaa baada ya kuwa hewani.... kwa mimi kama old skul namfahamu Nas vzr, Jay z na Dj Khaled vzr Nina karibu albums zao zote in mixed tape. Kwa kweli sorry not Sorry ni new skul yenye flavour zote za 90s. Sauti ambazo tulizisikia 90s zimesikika 2021 katika flavour zileee tulizoea kuzisikia. Very nice song...ni hiphop yenye full taste ya R&B wale wakali wa zamani can swing it hadi ukashangaa ina full of filling to swing!
 
Wimbo unaitwa SORRY NOT SORRY. Mpaka sasa nimeskiliza kipande cha Nas tu, navuta pumzi nimsikilize Jay. Licha ya bifu lao au mgongano kuisha toka miaka ya 2006 lakini hadi leo hii, wapenzi wa utamaduni na muziki wa Hip Hop hawaishi kuongelea msuguano huu uliotokea kwenye Album ya Nas (stillmatic) mwaka 2001 kwa kibao chake cha ETHER- naweza kusema ESTHER ni kati ya Diss Track 3 bora kuwahi kutokea duniani.


Nas alimchana baada ya Jay kumshambulia Nas vibaya sana kwenye wimbo wake wa TAKEOVER alioutoa mwaka huo huo 2001 kwenye album yake ya THE BLUEPRINT akimsema Nas kwa flow mbaya na kudanganya kwenye nyimbo zake kuwa anayoyaimba hajayaishi-ameyaona kupitia vitabu na vyanzo vingine.

Jay pia alikuwa akijipima ubora na wasanii wote wa kizazi cha 90's kama Mobdeep- ndomana Nas kwenye Esther anamwambia Jay- inamaana wewe unataka kujifananisha na Biggie, Gayz, Cock-A-Fella Records na maneno mengi machafu na hii kuifanya Esther kuwa Wimbo mkali wa miaka yote

wenye kudiss
Walisample watu kibao na kuifanya nyimbo ya kuwachana wengine Beat hili aliwahi kulitumia Eminem kumchana Jumanne Dupri (Jermaine) na hata hapa karibuni aliwahi kulitumia Remmy Ma kumdiss Nick Minaj na yeye aliita Shether.

Licha ya bifu hii kuwanufaisha wote wawili Jay Z alimwomba msamaha Nas na familia yake baada ya bifu kufika mbali na kujibizana maneno machafu kwenye nyimbo zao, mfano kwenye U Don't Know"Jay alisema (nimelala na mama yako Nas ukiwa mdogo).

View attachment 1768941
Mwaka 2006 Nas alimshirikisha Jay kwenye wimbo wake wa Black Republican ulioachiwa kwenye album ya Hip hop is Dead. Mwaka 2007 Jay z naye akatoa album yake ya American Gangster na kumshirikisha Nas kwenye kibao cha I Do It For Hip Hop Wakaendelea kupeana shavu.

Japo watu hawajaacha kulizungumzia bifu la Ether, na wamekuwa wakilinganishwa muda wote licha ya wao kuyamaliza. Na sasa tunamwona Dj Khaled akiwakaribisha wawili hao kwenye Album yake ya KHALED KHALED.

View attachment 1768942
.......
 
Khaleed kampa beat Jay, sasa sijui mlitegemea nini. Siku hizi ni Dreadlocks, jamaa anajuaga kuwatendea haki maprodyuza. Hizi ndio Hiphop, sio zile trap sijui nini, mi naonaga matakataka tu
Yani ni kama Jay alijua game lote, kamficha Nas vibaya sana khaaa, but bado sijaridhika- promo kubwa ila nilichokiona bado sjakipenda. Naomba wafanye kingine na zaidi ya hiki
 
Back
Top Bottom