Ushasema dj sasa afanye mziki wa nini wakati si fani yake.....Unammwagia sifa tu sema huyo dj mwarabu anadandia watu maarufu ili apenye ukitaka kujua je dj khaled ni maarufu mwambie asimame yeye kama yeye uone kama atatoboa
Maoni yako[emoji3]Ether was trash, childish and ignorant. One of the most overrated songs in history.
Wanachana kibosibosi😀😀😀, khaleed yupo pembeni anavuta cigar tu....Anonymousafrica:
Yani kwa kila hizo bar tunaandikia vitabu na series inatoka mkuu kwa wote wawili hata Nas muangalie vizuri
Hivi ninawezaje kusikia kingeli cha hawa watu bila kusoma lyrics asee....😀😀Anonymousafrica:
"Sorry, that's another B
Mwaka 2019 Jay-Z alikuwa msanii wa kwanza kwa mitindo ya kufoka (Hip hop) kuwa billionaire wa kwanza hiyo ilikuwa ni mwezi juni.
Haters still ain't recover from the other B
Msanii huyo wa hip-hop na mfanyabiashara nguli Jay-Z akanunua akapiga tena hatua kubwa kwa kununua hisa 50% kutoka katika kampuni ya LVMH Moët Hennessey kutoka kwa rafiki yake wa karibu anayeitwa (Armand de Brignac).
Inaripotiwa yakuwa chapa(brand) hiyo ilikuwa na thamani zaidi ya dola milioni 300$ za kimarekani.
Mm, that's a double B/Nah that's a triple B
Akiwa muasisi na mwanahisa mwenye hisa nyingi Tidal akauza hisa zake kwa muasisi na muanzilishi wa( Square na Twitter Jack Dorsey ) ambazo zinakadiriwa zilikuwa na thamani ya dola za kimarekani milioni 297$
, can't forget 'bout the other Bey (Hey)" - Jay-Z & Beyonce
Bey habari yake ulimwengu huu inafahamika mkuu😆😆 kawakumbusha tu yeye ni mtu wa aina gani ila hata Nas hajakaa kinyonge kwenye uwekezaji wake wa cryptocurrency?? Achilia mbali 2013 alikuwa na clothing line yake ya HSTRY sikiliza muziki mzuri ngoma inahamasisha kutafuta mkuu binafsi kwangu mimi 😆
Stephen Chelu:Hivi ninawezaje kusikia kingeli cha hawa watu bila kusoma lyrics asee....😀😀
Stephen Chelu:Wanachana kibosibosi😀😀😀, khaleed yupo pembeni anavuta cigar tu....
Mimi naelewa vizuri wakiwa wanaongea, hata zile nyimbo za kuimba nazipatapata fresh....ila hawa wa kufokafoka kuelewa natumia nguvu sana iasee...yaani bila lyrics sitoboi😂😂😂Stephen Chelu:
Ni kuwa na usikivu lkn pia binafsi kusoma vitabu pia kunanipa misamiati mipya achilia mbali nakusoma lyrics zao.
Ukiwa na nia utajua tu,kitu ukikipenda hakikupi shida hata. 😀
Heshima yako mkuuNina uhakika wewe HipHop umeanza kusikiliza miaka ya 2000's, hata Nas a.k.a Hugambino hujamsikiliza vizuri. Ungekuwa umemsikiliza vizuri usingeleta huu utovu wa nidhamu. Haya wakubwa tumekusamehe....
Nas mtu na nusu. Baada ya Pac kwangu Nas anafuata.Sijui kwanini mi namuelewa sana Escobar
[emoji38][emoji38]Hivi ninawezaje kusikia kingeli cha hawa watu bila kusoma lyrics asee....[emoji3][emoji3]
Tuachane na yote...(Ushabiki pembeni)
Tuje kwenye hili Nani kamfunika mwenzake Nas au Jay Z kwenye hii Sorry Not Sorry
Narudia sana verse ya Jay Z kuliko ya NasNas kaua
Kwamba Allah ni Mungu na katika mpangilio wako umemuweka wa mwisho, acha kumuhusisha Mungu wa waislamu na manbo ya hovyo. Huyo Mungu anayebariki huu upuuzi ndio anaitwa Allah?Executive produced by Asahd, Aalam, Khaled & ALLAH![emoji16]
Allah being in the studio is another reason why this is the best Album.
Another One![emoji276]
Narudia sana verse ya Jay Z kuliko ya Nas
lakini jeMistari ya Nas ni Masterclass tosha, mimi siangalii flows.
Niko bomba kabsa ndugu yangu, hope hapo ulipo unaendelea vyema pia...Mkali Ningendako mzima wewe ndugu yangu ???
Hahahahah!Dj qyalid
Another one
Jay siku zote ni mkali kwenye flow, anajua sana kunata na beatNas katisha sana kwenye Barz,
Jay Katisha sana kwenye Flow,
Huyo dogo hamjui Nas Escobar vizuri tumemsamehe tu .Nina uhakika wewe HipHop umeanza kusikiliza miaka ya 2000's, hata Nas a.k.a Hugambino hujamsikiliza vizuri. Ungekuwa umemsikiliza vizuri usingeleta huu utovu wa nidhamu. Haya wakubwa tumekusamehe....