Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Nani atakuuzia kwa bei hiyo hata used huwezi pata. Labda uwe na milioni 25 at least.Nina 15M......yoyote mwenye hio CX-5 aniuzie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani atakuuzia kwa bei hiyo hata used huwezi pata. Labda uwe na milioni 25 at least.Nina 15M......yoyote mwenye hio CX-5 aniuzie
Mkuu tuzingatie hapo mwishoni nzuri kwa kuiangalia au haupo serious?Trend 📈 tu imeitembelea. Kama ambavyo Vanguard ilitembelewa, Dualis, etc. Ila ni SUV nzuri kwa kuiangalia.
Magari gani ya Kijerumani hawanunui Wabongo?Unadhani wabongo ni wajinga mpk kutonunua magari ya kijerumani?
Uchumi wako ndo unaamua ujiweke wapi. Hakuna gari yenye changamoto. Mifuko yetu ndo ina changamoto.Kila MTU anajua jinsi gari za kijerumani zilivyo na changamoto Ila bado vijana wengi wananunua Sana sikuhizi hasa wqpenda ligi barabarani..
Hapa kariakoo nawafahau vijana zaidi ya 6 wamenunua BMW X1 na sio kwamba hawajui changamoto zake Bali ni Ile fashionable
Kweli kabisaaUchumi wako ndo unaamua ujiweke wapi. Hakuna gari yenye changamoto. Mifuko yetu ndo ina changamoto.
Upo sahihi Masanja...Uchumi wako ndo unaamua ujiweke wapi. Hakuna gari yenye changamoto. Mifuko yetu ndo ina changamoto.
Kuagiza directly from Japan hadi inafika mkononi ni 23-25M. Kwahyo 15M napataNani atakuuzia kwa bei hiyo hata used huwezi pata. Labda uwe na milioni 25 at least.
Mkuu kwa kaburu mpaka kufika bongo bei yake inakuaje?Nilikua naziona tu mnadani nimezifatilia hizo CX 5 mazda na CX 3 zipo poa ila zina body ndogo kuanzia wiki ijayo itabidi nizifatilie vizuri sana nizilete naona Kaburu anazo za kumwaga tu harafu za 2014 kuendelea zipo poa sana...
Wapi sasa, South Africa au?Nilikua naziona tu mnadani nimezifatilia hizo CX 5 mazda na CX 3 zipo poa ila zina body ndogo kuanzia wiki ijayo itabidi nizifatilie vizuri sana nizilete naona Kaburu anazo za kumwaga tu harafu za 2014 kuendelea zipo poa sana...
Tafuta ukipata njoo ulete ushahidi hapa tunasubiria. Ila nimeshakujuza kuwa hautapata maana mimi nimepeleleza tayari kuhusu hiyo gari.Kuagiza directly from Japan hadi inafika mkononi ni 23-25M. Kwahyo 15M napata
Dualis 15m mbona kubwa sana,Analenga hata kwa 10m na imenyooka ila Cx-5 kwa 15m hupati piga ua labda iliyo juu ya Mawe.Tafuta ukipata njoo ulete ushahidi hapa tunasubiria. Ila nimeshakujuza kuwa hautapata maana mimi nimepeleleza tayari kuhusu hiyo gari.
Kwahiyo 15 usawa huu labda Nissan Dualis ndio utapata.
Dualis ya chini ya milioni 10 hapo itakuwa changamoto ila ya uhakika ni kuanzia 13 hadi 15 kwa used itakuwa afadhali. Na hapo uhakikishe umebishana sana mzee.Dualis 15m mbona kubwa sana,Analenga hata kwa 10m na imenyooka ila Cx-5 kwa 15m hupati piga ua labda iliyo juu ya Mawe.
Yap SA unataka nikuletee?Wapi sasa, South Africa au?
Kodi yake sio kubwa nadhani wiki mbili zijazo itakuja moja ntaona imefika kwa bei gani ya kuanzia 2014 kuja mbele...Mkuu kwa kaburu mpaka kufika bongo bei yake inakuaje?
HahahahaSasa si uuze uongeze hela uchukue hiyo Mazda kudadadeki.
Dualis 15m mbona kubwa sana,Analenga hata kwa 10m na imenyooka ila Cx-5 kwa 15m hupati piga ua labda iliyo juu ya Mawe.
Tafuta ukipata njoo ulete ushahidi hapa tunasubiria. Ila nimeshakujuza kuwa hautapata maana mimi nimepeleleza tayari kuhusu hiyo gari.
Kwahiyo 15 usawa huu labda Nissan Dualis ndio utapata
Okay......nitakuja mzee......wacha nikupe hint mzee ukipata kununua gari epuka kutumia madalali mtafute mmliki personally.......mwaka Jana nmenunua ist Kwa 6M.......wakati ukiingia kwenye mitandao ya madalali bei ya ist inakwenda mpaka 13mTafuta ukipata njoo ulete ushahidi hapa tunasubiria. Ila nimeshakujuza kuwa hautapata maana mimi nimepeleleza tayari kuhusu hiyo gari.
Kwahiyo 15 usawa huu labda Nissan Dualis ndio utapata.
Naziona zile mpya zaidi kuliko hizi za 2014. Bei yake inasimamaje?Yap SA unataka nikuletee?
Ila raha sana. Unakuja unatambaa nayo mwenyewe gari yako unaifurahia utamu wake kabisa. Yaani hadi ukifika nayo bongo tayari unakuwa umeshablend nayo na kuizoea.Kodi yake sio kubwa nadhani wiki mbili zijazo itakuja moja ntaona imefika kwa bei gani ya kuanzia 2014 kuja mbele...