[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Happy ni mchokozi name khaaah, mwenzake hataki yeye analazimisha, au watoto wake n bakongo kweli. UwiiiihNimecheka huko insta wanasema wanamsubiri Putin arushe kombora
Kama navokuona mwenzangu ungekuwa kwenye hiyo nafasi ya faiza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Happy ni mchokozi name khaaah, mwenzake hataki yeye analazimisha, au watoto wake n bakongo kweli. Uwiiiih
Ila Faiza ni kibokoooo.
Huyo dada nae mshari kwani lazima walimwengu wajue kama ana mpenda huyo mtoto
Inashangaza mtu Mama mzazi hataki why anachokozaHuyu mtoto ni kiki kubwa kwao kwa sasa ndo maana walimpeleka ukumbini badala ya wale wa kiume.Na kelele za mama yake zinawabust mno kibiashara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana, nilikua upande wa happy, ila leo ninaona anastahili kutukanwa, mtu hataki na mwanae, kwan analazimisha? Km sio kutafuta ugomvi nn? KhaaaahKama navokuona mwenzangu ungekuwa kwenye hiyo nafasi ya faiza
Asemwe vibaya kwa kipi ni mchokozi huo ndio ukweliCha ajabu hata hapa Jf wanaomsema vibaya happy ni wanawake
Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe
Bora usemee wee mwenzangu.Huyo dada nae mshari kwani lazima walimwengu wajue kama ana mpenda huyo mtoto
Hata kama Faiza ni mwehu ila mke wa sugu ni mshali kwa hili na inaonyesha kweli hana mapenzi kwa yule mtoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana, nilikua upande wa happy, ila leo ninaona anastahili kutukanwa, mtu hataki na mwanae, kwan analazimisha? Km sio kutafuta ugomvi nn? Khaaaah
Happy aache ukorofi, awapost wanae, kwan hajazaa? Sahivi tutakua upande wa Faiza khaaah, aache name sifa za kutaka kumrusha roho mwenzake msieeew.Cha ajabu hata hapa Jf wanaomsema vibaya happy ni wanawake
Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe
Kwan uongo? Pale ukumbini sura yake ilionesha wazi kabisaa.Hata kama Faiza ni mwehu ila mke wa sugu ni mshali kwa hili na inaonyesha kweli hana mapenzi kwa yule mtoto
Anamkomoa tu....ujue faiza amemtukana Sana happy....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Happy ni mchokozi name khaaah, mwenzake hataki yeye analazimisha, au watoto wake n bakongo kweli. Uwiiiih
Ila Faiza ni kibokoooo.
Eti Kaka zake ambao ni watoto wake watamlinda Sasha ina maana ana muombea mtoto wa mwenzie balaa mfyuuu kabisa🤨Kwan uongo? Pale ukumbini sura yake ilionesha wazi kabisaa.
Hata km sahivi anaonesha yeye ni mshali, mwenzake hataki mwanae ampost au awe karibu yake, yeye analazimisha why?
Muache ajitoe ufahamu atatukanwa had baas. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si ataendelea kutukanwaa tyuuh.Anamkomoa tu....ujue faiza amemtukana Sana happy....
Sasa naye anarudisha kimya kimya
Yeye ndio anajikomoa kwa maana Faiza ni mwehu hana cha kupoteza,mfano Faiza alivyoandika Sugu ana msodoma mkewe aibu ni ya nani?Anapoenda kwenye shughuli zake huyo happy anajisikiaje watu wanapomtizama kwenye kalio zake kama ni kweli 😁.Ningekuwa mimi nisingemtaja huyo mtoto popote pale Duniani na mbinguniAnamkomoa tu....ujue faiza amemtukana Sana happy....
Sasa naye anarudisha kimya kimya