Uchaguzi 2020 Hatimaye Mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kibamba ameachia, atoa fomu kwa mgombea Ubunge halali wa CHADEMA

Uchaguzi 2020 Hatimaye Mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kibamba ameachia, atoa fomu kwa mgombea Ubunge halali wa CHADEMA

This time mambo ni tofauti kabisa na 2015...
Alisema form ni moja tuu..hii ya pili kaitoa wapi sasa....!!!
Yule mama alijikita kusema eti sheria , kanuni na taratibu za NEC zinaruhusu fomu moja tu. Na kwamba chadema waitafute hiyo fomu irudi ndio watapewa nyingine. Upuuzi mtupu.

Kuna mwanasheria uchwara kwenye ile ofisi alikuwa ana mmislead Mkurugenzi.

Kifupi walitaka Chadema waende polisi ili wapoteze muda huko. Ukweli ulikuwa wazi.
 
Mgombea yule wa ccm mpya
Mambo yalikuwa moto, kila alichopapasa yule mama mwenye roho mbaya mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kibamba ameachia na kutoa fomu kwa Bw. Ernest Mgawe, mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema. Bado haijulikani yule fake atachukuliwa hatua gani kwani nchi hii wana CCM wako juu ya sheria.
Mgombea yule wa CCM Mpya akamatwe siku akirejesha fomu aliyotapeli kuipata.Hilo mbona suala rahisi sana?
 
Yule mama alijikita kusema eti sheria , kanuni na taratibu za NEC zinaruhusu fomu moja tu. Na kwamba chadema waitafute hiyo fomu irudi ndio watapewa nyingine. Upuuzi mtupu.

Kuna mwanasheria uchwara kwenye ile ofisi alikuwa ana mmislead Mkurugenzi.

Kifupi walitaka Chadema waende polisi ili wapoteze muda huko. Ukweli ulikuwa wazi.

Kama kweli hakushiriki.kwenye hili saga basi mkurugenzi mzima unatapeliwa.kirahisi kama hivyo. Kama si uzembe tuuite nini. Mwisho basi utasema kaja mtu hapa kura za CDM kasema anaenda kuzi verify ofisi ya CDM atakuja nazo kesho!.
 
Na bado...watabana lakini wataachia tu. Safari hii ushamba na ulimbukeni, tupa kuleee!

Mag3,wewe ni kiongozi hapa JF na hoja zako huwa zimeshiba.Sidhani kama ni suala la ulimbukeni au ushamba wa Watanzania.

Ninachofikiria mimi ni kuwa Watanzania wengi walinyimwa Elimu ya Uraia na kujazwa propaganda mfu za kutishia kama alivyokuwa anafanya Mwana Nyakoro kwa video clip ya 2010 na kuiba kura pamoja na kutangaza walioshindwa kuwa washindi.

Tumeyaona ya SM ambapo wenyeviti wa vitongoji na vijiji wanashindwa kuitisha hata mikutano ya kisheria.Wanasutwa na nafsi maana hawakupigiwa kura baada ya uchakuchuaji.

Wanachofanya ccm mpya sasa hivi ni kuandaa namna ya kuiba kura hapo October 2020 na ndiyo sababu wanapanga wagombea wanaokubalika na mwenyekiti pasipo kujali maamuzi ya wajumbe.
 
Back
Top Bottom