Ungejua utaalamu wa kumfanya huyo mkurugenzi akiamka kesho akute nyeti hazipo na tutazirudisha kama ataacha fitna wakati wa uchaguziHuoni mgombea halali kapewa form...sisi ndio propeller halionekani lakini mashine inasoma km
Mnyika alizisoma alama za nyakati mapema sana, alijua kabisa Kibamba hachomoi, sio kwa sababu CCM inapendwa sana, lakini kumekuwa na ubaguzi wa jinsi maendeleo yanavyoletwa majimboni. Watu wanaona wairudishe CCM ili mambo yaende.
Mambo yalikuwa moto, kila alichopapasa yule mama mwenye roho mbaya mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kibamba kilikuwa moto hatimaye akatoa fomu kwa Bw. Ernest Mgawe, mgombea ubunge halali kwa tiketi ya Chadema.
Bado haijulikani yule fake atachukuliwa hatua gani kwani nchi hii wana CCM wako juu ya sheria.
Mnyika anagombea jimbo gani?msaada please!
Huyu mama ndiye achuliwe hatua. Wa hovyo kupitiliza uwezo wa makalioMambo yalikuwa moto, kila alichopapasa yule mama mwenye roho mbaya mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kibamba kilikuwa moto hatimaye akatoa fomu kwa Bw. Ernest Mgawe, mgombea ubunge halali kwa tiketi ya Chadema.
Bado haijulikani yule fake atachukuliwa hatua gani kwani nchi hii wana CCM wako juu ya sheria.
Ameshaingia kwenye kumbukumbu mbayaHuyu mama hawezi tenda haki kwani kuna uwezekano sasa akaja na Plan B.
Tunaisemea Dar mkuu, sisi tunataka maendeleo, huko kwenu ndio basi tena.Kongwa n majimbo mengine chini y ccm vp maendeleo?
..mama mkurugenzi alikuwa ameficha hiyo fomu.
..na angetoa barua ya utambulisho aliyodai imetoka cdm angeingia kwenye tatizo la kugushi.
Mambo yalikuwa moto, kila alichopapasa yule mama mwenye roho mbaya mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kibamba kilikuwa moto hatimaye akatoa fomu kwa Bw. Ernest Mgawe, mgombea ubunge halali kwa tiketi ya Chadema.
Bado haijulikani yule fake atachukuliwa hatua gani kwani nchi hii wana CCM wako juu ya sheria.
Mungu ni mwema sana. Kuna mbinu za uhujum lakini sio zile za kipuuzi alizokuwa anaongea yule mama.
Namna hii ndivyo tutashinda majimbo mengi tu.
Persistence, detrrmination and consistence.
Au ile barua ya jana ya Robert Amsterdam imemshtua???
Kuna kipengele kwenue ile barua kinasema" maofisa wa NEC watachukuliwa hatua na kutumwa kwa wapelelezi wa kimataifa( UN special investigation reporters) kuchunguza kinachofanywa na NEC kama itavunja sheria za nchi, kikanda na kimataifa ktk kusimamia haki za uchaguzi" mwisho wa kunukuru.
Wale ni wapenzi wa Demokrasia na ni kampuni ya kimataifa inatambulika. Imefanya kazi zake kwenye mazingira magumu sana ina uzoefu wa kusimamia kesi ngumu hadi seheu zenye udikiteta uliokomaa kama Venezuela, Russia, Turky. Kote huko kazi yao ni moja tu. Kutetea haki.Ahhhhh. Sasa mkuuu jitihada Zote kwa Mfano unadhani tutazilipaje? Au bado unaamini kwenye Love at first sight.
Aliomba radhi pia Jacob kamalizia umayor wake na posho na pension usikalili huyo mama nichiziMbona alitoa ya kumnyang'anya Boniface umeya na hamna lililompata? Sana sana alikingiwa kifua na Waziri Mdogo wa Tamisemi.
Amandla...
Ni heri washikaji wake wamkumbushe kuwa sumu haionjwi na ikiwezekana hata kujitoa ajitoe kabisa! Kina ni kirefu aangalia asije akazama...huu ni ushauri tu!Magufuli punguza uoga , hii ndo chadema baba lao
Usimlishe maneno. Alisema 'rudisheni kwanza iliyochukuwa mwanzo' ili ampe form mgombea halali wa CDM.This time mambo ni tofauti kabisa na 2015...
Alisema form ni moja tuu..hii ya pili kaitoa wapi sasa....!!!