Sina imani kabisa na huyo mama kabisa, na hata matokeo yakitokea mgombea wa Cdm kashinda hatamtangaza.
Huyu hatasimamia kwa haki maana Nyota njema huonekana alfajiri!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina imani kabisa na huyo mama kabisa, na hata matokeo yakitokea mgombea wa Cdm kashinda hatamtangaza.
Huyo mama atakuwa msengerema, anafanye uhuni wa kishenzi hivyoMambo yalikuwa moto, kila alichopapasa yule mama mwenye roho mbaya mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kibamba kilikuwa moto hatimaye akatoa fomu kwa Bw. Ernest Mgawe, mgombea ubunge halali kwa tiketi ya Chadema.
Bado haijulikani yule fake atachukuliwa hatua gani kwani nchi hii wana CCM wako juu ya sheria.
Huyu mama hawezi tenda haki kwani kuna uwezekano sasa akaja na Plan B.
Ya, wamkatae mapema kabisaHuyu mama hawezi tenda haki kwani kuna uwezekano sasa akaja na Plan B.
Ile mbaula iwe na bikira?Atamtangaza tu. Vinginevyo ni kumtoa bikira tu, hakuna namna.
Itafutwe sehemu yoyote ipatikane [emoji1][emoji23]Ile mbaula iwe na bikira?
Huenda aliekuwa amempa maagizo ya kufanya ubandindu alioufanya kwa mgombea wa CHADEMA kakatwa ,🤣🤣🤣🤣Jina alijarudi😂😂So akaona isiwe shidaMambo yalikuwa moto, kila alichopapasa yule mama mwenye roho mbaya mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kibamba kilikuwa moto hatimaye akatoa fomu kwa Bw. Ernest Mgawe, mgombea ubunge halali kwa tiketi ya Chadema.
Bado haijulikani yule fake atachukuliwa hatua gani kwani nchi hii wana CCM wako juu ya sheria.
..mama mkurugenzi alikuwa ameficha hiyo fomu.
..na angetoa barua ya utambulisho aliyodai imetoka cdm angeingia kwenye tatizo la kugushi.
Maendeleo hayana vyama... Siasa zitaruhusiwa wakati wa uchaguzi...Nimeiangalia ile video ya majibizano kati ya mgombea na msimamizi wa uchaguzi mwanzo mwisho. Inasikitisha sana.
Iko wapi baruaMungu ni mwema sana. Kuna mbinu za uhujum lakini sio zile za kipuuzi alizokuwa anaongea yule mama.
Namna hii ndivyo tutashinda majimbo mengi tu.
Persistence, detrrmination and consistence.
Au ile barua ya jana ya Robert Amsterdam imemshtua???
Kuna kipengele kwenue ile barua kinasema" maofisa wa NEC watachukuliwa hatua na kutumwa kwa wapelelezi wa kinataifa( UN special investigation reporters) kuchunguza kinachofanywa na NEC kama itavunja sheria za nchi, kikanda na kimataifa ktk kusimamia haki za uchaguzi" mwisho wa kunukuru.
Njaa mkuu, tunalinda ugaliKuna mambo ukiyafikiria sana nchi hii unaona kabisa wale waliosema afrika tulipaswa kuendelea kutawaliwa hawakukosea.Sasa hapo unakuta ni watu namavyeti yao ya shule ila wanafanya mambo ya ajabu kama hayo.
kimbunga mkuu , yani mwaka huu mtu akinyosha kidole kama anajikuna ICC ,Mungu ni mwema sana. Kuna mbinu za uhujum lakini sio zile za kipuuzi alizokuwa anaongea yule mama.
Namna hii ndivyo tutashinda majimbo mengi tu.
Persistence, detrrmination and consistence.
Au ile barua ya jana ya Robert Amsterdam imemshtua???
Kuna kipengele kwenue ile barua kinasema" maofisa wa NEC watachukuliwa hatua na kutumwa kwa wapelelezi wa kinataifa( UN special investigation reporters) kuchunguza kinachofanywa na NEC kama itavunja sheria za nchi, kikanda na kimataifa ktk kusimamia haki za uchaguzi" mwisho wa kunukuru.
Ha ha haaaaa... sasa angeionyeshaje wakati anajua ujinga wake alioufanya...N
NDio waligushi barua. Sasa aliyeandika anasema tuoneshe hiyo barua ya utambulisho tu we ubaki nayo. Anakataa.
Tundu lisu leo amepumzika kwani idadi ya wadhamini imeshatimia tayariJmn Leo mbona clip za lissu hamna kulikoni
Kale kamama kana roho mbaya sana lakini kupitia JF amepata fundisho kubwayule mama ni wahovyo sana
Hagombei,ametingwa na majukumu ya ukatibu mkuu
Wacha Rais apumzike leo alikuwa Njombe na Makambako kazi nzuri imeonekanaTundu lisu leo amepumzika kwani idadi ya wadhamini imeshatimia tayari