Hatimaye naoa

Hongera sana Mkuu!!
Kila la heri
 
Yaani humu wanataka mtu awe mhuni mpaka kinamkuta kifo chake na wanaitazama ndoa kama ni Jehanam hali ya kuwa si kweli😍
Watuache na ndoa zetu mkuu...
Raha ya ndoa ni vile wewe unavyo ifanya iwe....
Minaamini, mwanaume anaegoma kuoa huyo nj muhalifu, muoga na aise na uwezo wa kuiongoza na kuisimamia familia kama mume na baba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…