Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vina mda basi Mwaka Miaka 2 tayari kishanukaHongera sana mkuu. Kumpenda mtu anaye kupenda ni raha sana. Mungu akutangulieni wewe na mchumba wako kwenye safari mnayotaka kuianza.
Ndoa nyingi wakati tukijiamdaa na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.Kataa ndoa mmepoteza memba uku[emoji16]
🤣🤣🤣🤣🤣 ila we jamaa wewe!🙌🏿Mbwa yule...🤨
Na hauliwi na mmojaNdiyo maana mie sitaki kueleweka nipo seriously au sipo seriously kila Bwana wangu😂😂😂😂 kumbe anaenila hata sichat nae public🥴
Nimekupenda buree big ciccy.. No kueleweka👊👊Ndiyo maana mie sitaki kueleweka nipo seriously au sipo seriously kila Bwana wangu😂😂😂😂 kumbe anaenila hata sichat nae public🥴
Jamani wewe😃😂🤓Unapenda mangumi
Hakuna Ndoa hapo Mwaka tu washachokanaNdoa nyingi wakati tukijiamdaa na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Ikiisha na ndoa nyingi Ufa... [emoji23][emoji38][emoji120]
Ni mmoja tu mkuu,wengi ni kujibebea mikosiNa hauliwi na mmoja
Nimefanyaje mkuu mimi kwani...🙆♂️🤣🤣🤣🤣🤣 ila we jamaa wewe!🙌🏿
Tatizo la ndoa unatoka asubuhi tamu unarudi usiku kinawaka afjiri baada uamke ufanye ibada unaamkq unakusanya mabegi kwenuWasikutishe na comment zao ili uone ndoa ni mbaya,Ikawe ndoa ya furaha kama yangu .
Una uhakika?Ni mmoja tu mkuu,wengi ni kujibebea mikosi
Vituko tuNimefanyaje mkuu mimi kwani...🙆♂️
Hongera sana Mkuu!!Wakuu naoa mm😂😂
Alooo 😂😂😂Kwanza ncheke
Naongea kwa utani kwasababu mm nina masihara sana.Hadi sasa nina miaka 34
Wadogo zangu wote walishao
Umri wangu walishaoa
Kila naemjua alishaoa
Nimesemwa sana aisee
Wazazi walihisi sidindi daah
Ila nilikua sijapata mtu ambae hata wazo la kumuoa lilikua linakuja kichwani.
Kifupi kila niliokua nao Tulikua hatuendani .
Kuna binti mmoja sasa ndo nilivomuona nikasema namuoa !
KIFUPI TANGU SIKU YA KWANZA NILIVOKUTANA NAE nikajisemea huyu ndio mke wangu!
La haulaaaaa Ghafla imo ,,,ni mvumilivu ananivumilia yaan mm nina personality ngumu sana !! Yaan huwa najisemea hata ningekua mwanamke singeweza kuishi na mtu kama mm”…..
Hali hyo ilinifanya nichelewe kuoa au kufuata mkumbo wa kuoa.
Naomba Mungu anilipizie maumivu yote
Ndoa ikawe ndoa kweli kweli
Nikatoe kizazi bora
Siku nitazame subira yote hii niseme ilikua na maana kubwa sana…….
Najua ndani kunaweza kuwa kivumbi lakini kama utabiri wangu ni kweli Basi huyu ndie niliyechaguliwa na mungu
Wakuu
Usiache kushare experience yako tunajifunza mengi kutoka kwa watu kuliko kusoma vitabu na movie
Watuache na ndoa zetu mkuu...Yaani humu wanataka mtu awe mhuni mpaka kinamkuta kifo chake na wanaitazama ndoa kama ni Jehanam hali ya kuwa si kweli😍
Mpe poleHongera sana Mkuu!!
Kila la heri
Pole ya nini?Mpe pole
Mkuu....Vituko tu