Humu naona kuna watu wanataka wakulishe sumu eti wewe ukubali tu!yaani ni hatari sana kuwa mtu wa ndiyo mzee hata kama kuna utata!Mtu unaweza ingizwa chaka hivi hivi!
Icadon,
Mnashangilia ushindi wa mvua na matuta?
Humu naona kuna watu wanataka wakulishe sumu eti wewe ukubali tu!yaani ni hatari sana kuwa mtu wa ndiyo mzee hata kama kuna utata!Mtu unaweza ingizwa chaka hivi hivi!
...huwezi kusema habari za wagonjwa zinapatikana kwenye internet, halafu utegemee watu wakae kimya!!! halafu ukiambiwa unakua mkali, ukiachiwa..badala ya kujirekebisha unakuja na nyuzi kuwa balali kafikia Madison, WS!!! ukiambiwa unakuwa mkali, ukiachiwa unakuja na nyingine mupya......lazima haka ka-cycle kakome!!
kama kweli tunausongo na TZ basi tabia ya kuoneana aibu, kuchekeana na kulindana lazima ikome kuanzia hapa hapa JF....sio watu wana-demand stds za juu toka kwa wengine, wakati wao wenyewe hawawezi kuishi kwa mifano!!
asante.
i told 'em, wakataka kunitoa ngeu!!LOL
Icadon,
Mnashangilia ushindi wa mvua na matuta?
Mbona kama hiyo message inaonyesha mimi ndio nilisema hayo maneno.
hivi huyo anayelazimisha watu hapa kukubali mambo ni nani? Mbona Mushi ameshatoka zamani?
Kama kuna mtu alisema haya ya State ya Boston, je ameomba msamaha?
Hata kapicha hamtuwekei, hata kama ni gogo jamani au hayo majivu basi?!
Ebo!!! yani bado mnabishana tuuu? Ijumaa hii ebu mchill kidogo sasa kha!!!!!
YNIM, njoo ujumuike kwenye kusherekea ushindi wa Man U weka upinzani pembeni..Nina Jezi ya Man U ina jina lako imeandikwa Moscow 08.
Ila hii ligi ya huu ubishi wa wapi kifo cha Ballali kimetokea nimekoma nao, serikali wanadai kafia Boston, JF wanadai kafia nyumbani kwake Washington DC..kilikuwa kifo cha ghafla, dada wa marehemu walikwenda DC kumjulia hali....Tuamini nini sasa?
Na the more dataz ni kwamba kabla hajafa, alikuwa na masaa kama 24 ya siri kwa mazungumzo na Mbunge Mkono.......,