Hatimaye Nime-Confirm Kuwa Balali Amefariki!

Hatimaye Nime-Confirm Kuwa Balali Amefariki!

Status
Not open for further replies.
Humu naona kuna watu wanataka wakulishe sumu eti wewe ukubali tu!yaani ni hatari sana kuwa mtu wa ndiyo mzee hata kama kuna utata!Mtu unaweza ingizwa chaka hivi hivi!

hivi huyo anayelazimisha watu hapa kukubali mambo ni nani? Mbona Mushi ameshatoka zamani?
 
Humu naona kuna watu wanataka wakulishe sumu eti wewe ukubali tu!yaani ni hatari sana kuwa mtu wa ndiyo mzee hata kama kuna utata!Mtu unaweza ingizwa chaka hivi hivi!

kwasababu wamezoa kuabudu vi mungu mtu (kama Nyerere)....kwasababu hapa wao ni "Seniors" basi wanataka kuburuza watu kama ng'ombe!! kama huja-touch bases basi huwezi ku-score...simple like that!!.
 
Angalau sasa hivi wamepunguza kupaka wengine matope kwenye kifo hiki cha Ballali. Mungu tuepushie udaku wa watanzania uliokithiri.
 
...huwezi kusema habari za wagonjwa zinapatikana kwenye internet, halafu utegemee watu wakae kimya!!! halafu ukiambiwa unakua mkali, ukiachiwa..badala ya kujirekebisha unakuja na nyuzi kuwa balali kafikia Madison, WS!!! ukiambiwa unakuwa mkali, ukiachiwa unakuja na nyingine mupya......lazima haka ka-cycle kakome!!
kama kweli tunausongo na TZ basi tabia ya kuoneana aibu, kuchekeana na kulindana lazima ikome kuanzia hapa hapa JF....sio watu wana-demand stds za juu toka kwa wengine, wakati wao wenyewe hawawezi kuishi kwa mifano!!

asante.


Mbona kama hiyo message inaonyesha mimi ndio nilisema hayo maneno.
 
i told 'em, wakataka kunitoa ngeu!!LOL

Icadon,

Mnashangilia ushindi wa mvua na matuta?

Ha ha sore loosers!!!!
Kwani hiyo mvua ilikuwa inanyesha upande wa Chelsea tuu..na hizo penalty zilipigwa upande mmoja? Ebo!!!!
Don't make me paint this Thread Red Lol!!!!
a17a4y.jpg

andrewferguson-4086.jpg

Haya ndio yalikuwa mawazo ya mashabiki wa Chelsea lol!!

Samahani kwa kwenda nje ya mada
 
Ze environment hia is noti gudi; so i am going to beat a guitar for a goat.

Budulflut.jpg


Enjoy your nite.
 
Mbona kama hiyo message inaonyesha mimi ndio nilisema hayo maneno.

No no...sidhani kaka, kwani thread ina mtiririko!! na ipo wazi nani aliyesema maneno yale! samahani kwa usumbufu.
 
hivi huyo anayelazimisha watu hapa kukubali mambo ni nani? Mbona Mushi ameshatoka zamani?

Hah!
Mpambe wa pembeni kwa pembeni na SPIN!
Sasa sijui wewe ni kama catalyst unaspread both sides ama vipi?!
Wewe mwana CCM unaonyesha kabisa umepagawa na mambo ya chama at the same time ukiutumia mgongo wa MKJJ kama kawa huku ukiwa na malengo yako ya kisiasa!
Ni kwa utaratibu huo huo basi unaopelekea mimi kuchukua nafasi hii na kuwaomba MKJJ ,Invisible na Field Marshall wamalizie yale waliyoyaanza ili macatalysts kama nyie msipate nafasi wakati mjadala ukiendelea!
Tujue exactly where people stands!
Hapa hakuna tena mabishano..Lakini haina maana kwamba watu niliowataja hapo juu hawahitajiki kuleta maelezo yatakayoridhisha baada ya kutupeleka cedar point kwenye maroller coaster!!
 
Kuhani Mkuu:

Your analysis is incredibly brilliant and superb. In such a short piece you have summed up a huge endemic problem here in JF. Ni kama vile kuna kaushindani kakuleta habari hapa. In my view, Invisible's initial post on Balali's death was self sufficient and needed no back up. Lakini angalia threads ngapi zimeshafunguliwa kuhusu kifo cha Balali. Kila mtu akipata kafununu anakuja anafungua thread!

Hata hivyo tunawashukuru wote wanaokesha kututafutia ma-breaking news hapa.

Ngoja sisi tukaanze weekend na fosters zetu, nyie endeleeni na upelelezi wenu kuhusu kifo cha Balali wakati mwenyekiti wa ufisadi na kamati yake huko Dar wanashangilia ushindi!
 
Kama kuna mtu alisema haya ya State ya Boston, je ameomba msamaha?

Hivi kumbe Balali alikuwa anahishi nyumbani kwake? na wale walosema waliosema kuwa walimtafuta Marekani bila mafanikio walikuwa wanamtafuta wapi?

Au nilisikia Vibaya?
 
Wana Bodi,

memorial day weekend njema wasee.....kama nimemuudhi mtu naomba radhi!! good luck.
 
sidhani kuna haja ya more breaking news...jamaa keshazikwa mchana huo na hiyo ndio imetoka. RIP.
 
New Dataz,

Mazishi yamemalizika, close casket, mchezo umekwisha... tutaendelea...
 
kama mchezo wa kifo umefikia tamati (kama gogo au maiti ndio imefukiwa au kuchomwa moto) threads kuhusu balali zaweza kunganishwa?ziko zaidi ya 2.
 
Ebo!!! yani bado mnabishana tuuu? Ijumaa hii ebu mchill kidogo sasa kha!!!!!
YNIM, njoo ujumuike kwenye kusherekea ushindi wa Man U weka upinzani pembeni..Nina Jezi ya Man U ina jina lako imeandikwa Moscow 08.

Ila hii ligi ya huu ubishi wa wapi kifo cha Ballali kimetokea nimekoma nao, serikali wanadai kafia Boston, JF wanadai kafia nyumbani kwake Washington DC..kilikuwa kifo cha ghafla, dada wa marehemu walikwenda DC kumjulia hali....Tuamini nini sasa?

mie mwenyewe ndo hapooo paliponishinda hadi raisi wetu eti kasema kifo kimetokea boston akitoa salamu za kulamba lamba....lakini mkewe alishasema mmewe alifia nyumbani kwake washington now which is whic..naona hii movie ina ma poroduzyaaaaa wengi ndo maana yawa ngumuu kidooogo kwenda wanavyotaka wao
 


Na the more dataz ni kwamba kabla hajafa, alikuwa na masaa kama 24 ya siri kwa mazungumzo na Mbunge Mkono.......,

Oh, really? Hey, this simply doesn't make any sense at all: inawezekanaje Balali angekuwa na uwezo wa kuzungumza na Wakili wake kwa masaa 24 mazima wakati tunaambiwa alikuwa mahututi kwenye IC Unit huku amepoteza fahamu na yuko connected kwenye life support machine kwa wiki lukuki hadi ndugu zake wa karibu wakafikia uamuzi wa kuzima life-support machine na hatimaye akafariki? 😕
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom