1.
FMES huwa hupendi kuswalishwa na maswali unayoyaita logic. Ulicho kiongea hapo huwa huki-practice.
Mkuu wewe una matatizo yako ya binafsi ambayo siwezi kukusaidia kuyatatua, ninakuelewa kwa sababu kuna watu kama wewe waliowahi kuja hapa na kikimbia bila kuaga, mimi siwezi kukujibu maswali yanyohusiana na dataz, lakini sina tatizo na hoja, wewe weka hoja nitakujibu hoja, ili kuuliza dataz unahitaji kuwa na dataz zaidi ya dataz nilizoweka, hilo ndio so far linakushinda, kwenye ishu ya Chenge umejaribu kulilia search warrant, watu wengine walipothibitisha kuwa ni kweli chenge alipekuliwa hukurudi tena,
Kwenye hii ishu hata unacholilia sikioni, zaidi ya chuki zako binafsi kwangu na jina langu ambalo halikutoki kila unapoingia hapa, mimi ninakuona sawa tu na member wengine ingawa unajaribu sana nikuone kuwa tofauti, na kinachonifanya niite logic zako za chooni ni kwa sababu ya tabia yako ya kutumia majina mengi kunishambulia ili uonekane kuwa una point,
Kuna watu wengi sana hapa wananiuliza maswali ninawajibu, sasa ni tone zako ndio zinanifanya nikujibu kama unavyouliza kwa sababu nia na madhumuni yako ni kuharibu jina na credibility yangu hapa JF, kitu ambacho wengi wamejaribu kabla yako lakini wameshindwa kwa sababu ya kukosa ukweli, tofauti yao ni kwamba wewe ujna agenda yako ambayo ni kuivuruga hii forum kwa faida yako na waliokutuma, hilo nimekuahidi kuwa hutapata hiyo nafasi maana tunakujua tayari na majina yako yote hapa JF, sasa umauzi ni wako mkuu mimi sitishiki hata siku moja ujuha,
Ninaielewa vizuri sana strategy yako, ya kunishambulia seriously, halafu ukiona umeshidwa unajaribu kutumia utani utani, halafu unajaribu kujifanya kuwa wewe ndiye unaye-control the tempo, na kujaribu kuwavuta wengine waku-support kwa kutumia majina yako mengi sana hapa, ndio maana ninakuona kuwa ni juha!
2.
Hatimaye Nime-Confirm Kuwa Balali Amefariki? Pundit endelea kumtia disiplini!
Mkuu ni hoja kama hizi ndio ninaziiita logic za choooni, kwa sababu hiii picha sielewi inahusiana nini na hii topic, ndio maana ninakuita mjinga na juha na huna lolote la maana zaidi ya logic za choooni, sasa ninakuomba ukae pembeni ili wananchi ambao tuko serious tuendelee na mjadala, ukitaka sifa na umaarufu anzisha topic yako mkuu,
By the way vipi maandamano ya kwenda nyumbani kwa Balali bado unaendelea kuyatayarisha? au!