Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza BARUA YA KWANZA ILIKUWA NI YA KUIDHINISHA UTOAJI WA PESA...Kuhusu hiyo ya pili ya kujibu audit querry ukisema ni kuwa alikuwa unaware we're gonna disagree...
Hapana Mkuu...Angeweza kushtukia mwenyewe kabla ya audit querry then angekuwa innocent vya kutosha!
Nachojua pesa zilikuwa ni nyingi mno na utaratibu wa utoaji haukuwa wa kawaida na hivyo madai kwamba ni incompentence ni very light argument.
Nauliza kuwa...Kwanini hakupiga simu ku confirm straight away given the fact kuwa the amount of money was too big and the procedures very unprofessional?
Nani ni Bosi wake?
Atachukua vipi word of mouth kutoka kwa mtu ambaye hayuko juu yake kimadaraka na kuidhinisha mamia ya mabilioni kwa madai tu ya incompentence?
Balali anaelezewa na serikali kuwa hakuwa mtuhumiwa...Sasa mtuhumiwa ni nani zaidi ya yule anayetuhumiwa kumdanganya Mama Meghji?
NB:Kumbuka pia kuwa definition ya corruption si lazima ionekane kuwa pesa zimeenda kwake direclty!
Mbona kama kuna watu wameshapewa chao toka kitambo?
Toka Ballali akiwa mtaani january akitetewa na kina MKJJ na wengineo kuwa eti ni huru..Wanaleta siasa zenye kutia kinyaa kwa watu wenye akili timamu!
Kwanini?
Kwanini tudharauliane kwasababu tumegundua kuwa kuna watu wana nia ya kutupotosha?
Nani asiyejua toka Ballali aje Marekani watu wamempigia kifua hadi sasa kafa kimizengwe na ni wazi kuna mtandao wa nguvu wenye kuwalinda mafisadi kihabari na kipropaganda!
MUNGU AWALAANI WALE WOTE WALIOWAGEUKA WAZALENDO!
MUNGU AWACHOME NAFSI ZAO NA GOD WILLING WAZALENDO WA KWELI WILL BE VICTORIOUS!EITHER SOME OF US DEAD OR ALIVE...ONE DAY I BELIEVE...ONE DAY..JUSTICE WILL PREVAIL!
It will be wise and prudent to research first before posting.Especially since so many people look up to you.
Senator Kennedy, cancer diagnosis/Brain cancer, admitted at Mass. General Hospital in Boston. Out of the the hospital, his doctors are weighing Chemotherapy and Radiation Treatments. No futher annoucemment.
source: Mass. General Hospital, Boston Massachusetts State.
According to a death certificate first obtained in the internet iconic actor Charlton Heston's official cause of death was pneumonia.
According to his death certificate, a public document, Heston's immediate cause of death was pneumonia. In 2002, the actor acknowledged he suffered from Alzheimer's.
Tangia Ijumaa tumekua tukielezwa kwamba tutaletewa "dataz" mpya, kwamba tusubiri Balali azikwe kwanza. Leo ni jumapili, hizo data ziko wapi? Ama tu-conclude kwamba zilikuwa ni fixi?
. wakuu hatushindani, ila ni kuwekana sawa tu ktk kuelimishana..........kama mtu anashindana basi tutakuwa hatujitendei haki wenyewe na ni huu ushindani unaofanya hata serikali yetu inashindwa mambo mengi........
. I think consistence inachangia sana kwenye credibility.. Ama nadanganya?
Rejea uamuzi wako wa kutokuleta dataz wakati unazo as you have said!ssa kwa mfano wengine hawana hizo dataz na wewe umesema unazo ila kwa sababu zako hutazitoa!mimi naona ungezitoa tu ili watu wapate ondoa shaka katika hiki kifo chenye utata! Sorry kama nitakuwa nimekukwaza
Jmushi1,
Hili suala la EPA ni kama hulielewi vizuri maana scenario yako kama sio sawa hivi.
Meghji hakuwahi kutoa pesa za EPA. Hizo pesa zilitolewa wakati wa Mramba.
Kosa la Meghji ni lingine kabisa, sio la kuidhinisha kutolewa pesa.
Nafikikri hapo tuko pamoja.
We Mtanzania una yako?
Meghji akuandika barua kuwa ni kweli hizo pesa zinahitajika kwa ajili ya usalama wa taifa?
Kabla ya utoaji wa pesa hizo...Ni udhibitisho wa mama kwa niaba ya serikali uliofanikisha pesa kutolewa!Sasa nani asiyeelewa hapa?
Mkuu Wangu YRNIM,
Kwanza heshima yako mkuu, ninakusikia loud and clear, na sasa I rest my case mkuu, ila heshima mbele kwa elimu yako nzito ambayo kwa maneno yako mwenyewe na Mkuu Kuhani, nia na madhumuni yake ilikuwa ni "Kuelimishana tu na sio kushindana wala kuharibiana majina au credibility" ilikuwa ni kuelimishana tu! Ninaomba tu ikiwezekana tuendele na tabia hiyo hiyo ya kuelimishana tu!
Skiu zote ninawaaminia sana wananchi wa hapa JF, kwamba kwenye hilo la nia ya madhumuni yako na ya My Brother Kuhani Mkuu, lakini kama nilivyosema ninamshukuru sana My Brother Kuhani Mkuu kwa kunisaidia sana kuwahistukia wanafiki,
otherwise ninaomba ku-retire from this topic yaani one of my best ever na pia niseme wazi kuwa sikujua kuwa kulikuwa na topic moja ambayo ilianzishwa na kufutwa bila ya mimi kujua, hiyo siku nilikuwa on the road, ghafla mtu akanipigia kunipa dataz kuhusu kifo cha Balali, nikasimama kwenye mahali na kwa haraka na kuingia hapa na kuanziasha hii topic kwa haraka sana, kwa hiyo sikupata muda wa kuangalia anything, mpaka niliporudi home jioni, ni jana tu ndio nimeambiwa kuwa kuna topic ilianzishwa inayonihusu lakini ikaondolewa haraka, hiyo sio mara ya kwanza kufanyika, mara ya mwisho ilianzishwa topic moja hapa inayosema mimi na the so called baba yangu tunaimiliki hii forum, lakini ikafutwa kabla sijaiona,
Otherwise tuendele kuelimishana, lakini this debate was fun to have kwangu!
We Mtanzania una yako?
Meghji akuandika barua kuwa ni kweli hizo pesa zinahitajika kwa ajili ya usalama wa taifa?
Kabla ya utoaji wa pesa hizo...Ni udhibitisho wa mama kwa niaba ya serikali uliofanikisha pesa kutolewa!Sasa nani asiyeelewa hapa?
Habari na threads zinafunguliwa kila siku...Na hazina hata maslahi kwa watanzania zaidi ya kuwachanganya huku mafisadi wakie endelea kugundua namna mpya za kuficha madhambi yao.
Meghji ana makosa yake lakini sio hayo unayoyasema. Fuatilia data kuhusu hili na utagundua unavyoamini sio kweli.
By the way, nimethibitisha sasa hivi kuwa ubalozi wetu DC finally, waliruhusiwa kwenda kwenye mazishi na walishiriki kikamilifu.
Mtanzania,
You can join the group of doubting Thomases. For all I care!