Hatimaye nimeamua kuachana na mpenzi wangu anayependa mapenzi kinyume na maumbile

Nishaombaga tukagombana badae nikamwambia nilkuwa nampima tu ila sitaki ,, badae nikaja kuomba tena
 
Ila mimi binafsi kwa uzoefu wangu mbona naona kama wadada wengi hawapendi kutoa tigo, yani kati ya wadada 10 utakaogonga utapata labda 2 watakaokubali kukupa tigo, jiulize hata wewe kati ya wadada ulowala wangapi walikubali kukupa tigo kirahisi, wangapi walikataa mzabzab Mzee wa kupambania
 
Kabxa mkuu...kuna dem tuliachana ni mwanachuo fln iv namjua maisha magumu..ila kwa muda tu nkamuona na iphone nlikuwa nacheka sanaa maana najua ni kijambio kilichakazwa..hawa wanawake waone hiv hiv tu..wana siri za kutisha
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Ata hao wawili ni wengi mzeya
 
Are u trying to be funny🀣🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Na ww unataka kuingia kweny hii fani.....kaka angu nko serious tutafunga na kuomba....laana ya ndugu kuunganisha vinyeo na vikojoleo inatafuna kizazi Cha kwanza na Cha mwisho
 
Hili ni tatizo kubwa, wanawake haturidhiki na tulichokuwa nacho. Mtu anataka iphone huku hata hana uwezo wa kununua kitochi. Mimi pamoja na kuwa nina uwezo wa kununua iphone hata ya 3m lakini sifanyi ujinga huo maana sio kipaumbele changu
Well nakupendea hapo ila unakasirisha sehumu moja tuu...hutaki kunialika nilale kwenye mjengo wako wa mil 150🀣🀣🀣🀣.
Gud morning
 
thanks
 
tuseme ukweli walindeni watoto wenu waliopo boardingi awe wa kike au wa kiume walimu watatufiria watoto wetu sana jifanye upo busy na utafutaji wa hela ambazo hazikupi hewa utafiriwa mke wako watoto wako na utakuja kushangaa.
Duuh
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Na ww unataka kuingia kweny hii fani.....kaka angu nko serious tutafunga na kuomba....laana ya ndugu kuunganisha vinyeo na vikojoleo inatafuna kizazi Cha kwanza na Cha mwisho
Mnajidanganya nyie bwana hamnaga kitu kama hicho. Mbona watu wanakula tope lakini watoto wao wapo vizuri tuu...hizo ni assumptions zenyuuu
 
Hili ni tatizo kubwa, wanawake haturidhiki na tulichokuwa nacho. Mtu anataka iphone huku hata hana uwezo wa kununua kitochi. Mimi pamoja na kuwa nina uwezo wa kununua iphone hata ya 3m lakini sifanyi ujinga huo maana sio kipaumbele changu
Toa mzigo huo
 
Kama unaweza kulea watoto njoo pm tuyajenge. Mimi mgane.
 
Pole na hongera kwa kuacha.
Jitahidi Kumkumbuka MUNGU.
Kuna mwanaume alinambia naomba unipe mapenzi kinyume na jinsia.
Nilimuuliza tu..umeyajulia wapi na umeyatoa waapi hayo.maana nlidate nae miaka mingi.
Akaniambia rafiki yake ,Demu wake huwa anampa[emoji22].
Nikamwambia tu asante.sitaweza na sitakuja kufanya huo upuuzi mpaka naingia kabrin.
Mwambie rafiki yako akutafutie mwanamke wa hiyo.
Yule kenge sijui analaanikia wapi siku hizi
 
Dnt shift blame hapa. Semeni ukweli wanawake wamejaa tamaaa. Wanataka maisha mazuri at any cost.
Hili ni tatizo kubwa, wanawake haturidhiki na tulichokuwa nacho. Mtu anataka iphone huku hata hana uwezo wa kununua kitochi. Mimi pamoja na kuwa nina uwezo wa kununua iphone hata ya 3m lakini sifanyi ujinga huo maana sio kipaumbele cha
Toa mzigo huo
Mzigo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…