Hatimaye nimeamua kuachana na mpenzi wangu anayependa mapenzi kinyume na maumbile

Nataman ningekupata iwe MKE lakin naweza je utanielewa?
 
Kuna watu ambao Mungu amewapa vipawa mbalimbali kwa ajili ya kulijenga kanisa, Sijajua wewe unaamini ktk Mungu yupi, Ila unaonekana hujui lolote kuhusu malezi ya mtu aliyefungwa na nguvu za giza.

Muhanga bado ni mchanga kiroho anahitaji kuombewa na mtumishi wa Mungu ili aimarike, kinyume na hapo atarudi Misri alikokimbia.
 
Reactions: ABJ
Hizo manii na damu alizoingiziwa kwa njia ya mkundu wadhani zilitoka kwa njia ya mkojo?

Bado zimo mwilini mwake na zitaendelea kuwamo kwa kuwa alikwisha ungana na kuwa mwili mmoja (kwa kufirana) na huyo jamaa. Ila akiombewa kila chembe chembe itakaushwa

Pasipo maombezi na mafundisho kutoka kwa mtumishi aliyepevuka huyo dada atarudi ktk ulimwengu wa wafirwaji nguli na atapotea mazimaa.

Acha kujifanya mshauri wkt huna ufahamu wowote kuhusu nguvu za shetani.
Akaombewe kwani kakuambia ana mapepo mpe pongezi kwa kutoka huko.
 
Natumai pm imefulika wanaokuja kukupa muongozo[emoji1435][emoji1435]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…