Shida ndio ipo hapo...lazimu mhindi afurahi tuu.Jamaa unaona anaweka buku tano anashinda 10k.
Huku Chamanzi Kijana anataka aweke jero apige laki mbili.🤣🤣🤣
Lakini weka million upate laki 7 unatoboa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ndio ipo hapo...lazimu mhindi afurahi tuu.Jamaa unaona anaweka buku tano anashinda 10k.
Huku Chamanzi Kijana anataka aweke jero apige laki mbili.🤣🤣🤣
Sasa nani kakwambia alikuwa anategemea kubet ili aendeshe maisha. Nilikuwa na bet naenjoy winning basi. Si kwamba nilikuwa nabet antegemea betting.Umebeti kwa mwaka mmoja tu bado mtoto mchanga kwenye kubeti wewe;
Jifunze bure kutoka kwa gwiji na galacha la kubeti; Mimi nikitaka kubeti kwanza natenga kiasi maalumu cha fedha kwaajili ya kubetia sizidishi wala sipunguzi pili ninachagua ligi na timu za kuzibetia sibetii kila mechi tatu sibeti kila siku ninabeti kila weekend nne nikiliwa sibeti tena mpaka next weekend.
Nabetia mchezo mmoja tu football coz ndo mchezo ninaoufahamu vizuri na kuupenda sibeti kwa tamaa timu chache odds chache natia mzigo.
Sitegemei betting ili kuendesha maisha yangu au kutajirika nabeti kutafuta hela ya ziada kwa matumizi ya ziada matatizo yangu ya msingi nayatatua kwa mshahara wangu na sio betting.
Tembea na roll over hio hioHabari zenu Wana Jamvi, hope ni wazima. Ebana, hatimaye katika harakati za hapa na pale, baada ya kuona washkaji stori zinazoongelewa ni za masuala ya kubeti, ikabidi na mimi niwaombe wanielekeze kutokana na kwamba nina ujuzi wa kutosha wa masuala ya soka.
Basi msela mmoja aka-download app moja kwa jina la Bet PAWA. Nikazama Mpesa, nikatia alfu tano. Kutokana na uchambuzi na mwenendo wa mechi, nikaamua kuchagua mechi kati ya Man City na Leicester. Nikaweka option ya “both teams to score,” nikachagua “no.” Wana wakawa wananiambia hiyo mechi wanafungana zaidi ya goli nne. Nikawaambia tulieni, mtaona mambo. Ndo kama unavyoona hapo chini.
Basi baada ya kupata huo mkeka, sikupooza damu. Nikaandaa mkeka mwingine wa timu tatu nao pia ukatiki. Sasa nimekaa najiuliza, mbona jamaa kila siku wanalalamika wanachaniwa mkeka wao wakati mi naona ni kazi rahisi? Na uelewa wako juu ya mpira. Nawasilisha, wakuu.
Waliwao hutafuta hela ya kiwanja,kujenga,gari.. ukianza tu tamaa,utamjua mhindi naniHabari zenu Wana Jamvi, hope ni wazima. Ebana, hatimaye katika harakati za hapa na pale, baada ya kuona washkaji stori zinazoongelewa ni za masuala ya kubeti, ikabidi na mimi niwaombe wanielekeze kutokana na kwamba nina ujuzi wa kutosha wa masuala ya soka.
Basi msela mmoja aka-download app moja kwa jina la Bet PAWA. Nikazama Mpesa, nikatia alfu tano. Kutokana na uchambuzi na mwenendo wa mechi, nikaamua kuchagua mechi kati ya Man City na Leicester. Nikaweka option ya “both teams to score,” nikachagua “no.” Wana wakawa wananiambia hiyo mechi wanafungana zaidi ya goli nne. Nikawaambia tulieni, mtaona mambo. Ndo kama unavyoona hapo chini.
Basi baada ya kupata huo mkeka, sikupooza damu. Nikaandaa mkeka mwingine wa timu tatu nao pia ukatiki. Sasa nimekaa najiuliza, mbona jamaa kila siku wanalalamika wanachaniwa mkeka wao wakati mi naona ni kazi rahisi? Na uelewa wako juu ya mpira. Nawasilisha, wakuu.
Poor brain.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uzi ufungwe huu
Vipi mtaalamu Chelsea alishinda?, mtakufa vibayaSio upepo wee jaribu. Weka timu mbili tuu alafu weka mzigo wa maana
Leo mpe chelsea na game ya man utd o1.5 tulia
Leteni comment mimi msomaji tuu
Ajali kazini broVipi mtaalamu Chelsea alishinda?, mtakufa vibaya
PoaHabari zenu Wana Jamvi, hope ni wazima. Ebana, hatimaye katika harakati za hapa na pale, baada ya kuona washkaji stori zinazoongelewa ni za masuala ya kubeti, ikabidi na mimi niwaombe wanielekeze kutokana na kwamba nina ujuzi wa kutosha wa masuala ya soka.
Basi msela mmoja aka-download app moja kwa jina la Bet PAWA. Nikazama Mpesa, nikatia alfu tano. Kutokana na uchambuzi na mwenendo wa mechi, nikaamua kuchagua mechi kati ya Man City na Leicester. Nikaweka option ya “both teams to score,” nikachagua “no.” Wana wakawa wananiambia hiyo mechi wanafungana zaidi ya goli nne. Nikawaambia tulieni, mtaona mambo. Ndo kama unavyoona hapo chini.
Basi baada ya kupata huo mkeka, sikupooza damu. Nikaandaa mkeka mwingine wa timu tatu nao pia ukatiki. Sasa nimekaa najiuliza, mbona jamaa kila siku wanalalamika wanachaniwa mkeka wao wakati mi naona ni kazi rahisi? Na uelewa wako juu ya mpira. Nawasilisha, wakuu.