Hatimaye nimeanza mchezo wa kubet na mwanzo mzuri

Hatimaye nimeanza mchezo wa kubet na mwanzo mzuri

Umebeti kwa mwaka mmoja tu bado mtoto mchanga kwenye kubeti wewe;

Jifunze bure kutoka kwa gwiji na galacha la kubeti; Mimi nikitaka kubeti kwanza natenga kiasi maalumu cha fedha kwaajili ya kubetia sizidishi wala sipunguzi pili ninachagua ligi na timu za kuzibetia sibetii kila mechi tatu sibeti kila siku ninabeti kila weekend nne nikiliwa sibeti tena mpaka next weekend.

Nabetia mchezo mmoja tu football coz ndo mchezo ninaoufahamu vizuri na kuupenda sibeti kwa tamaa timu chache odds chache natia mzigo.

Sitegemei betting ili kuendesha maisha yangu au kutajirika nabeti kutafuta hela ya ziada kwa matumizi ya ziada matatizo yangu ya msingi nayatatua kwa mshahara wangu na sio betting.
Sasa nani kakwambia alikuwa anategemea kubet ili aendeshe maisha. Nilikuwa na bet naenjoy winning basi. Si kwamba nilikuwa nabet antegemea betting.
Na wala sikuwa nabet ili iwe kazi maalum ndiyo maana raha ya winning ilipopotea na mimi nikaachana nayo.
 
Habari zenu Wana Jamvi, hope ni wazima. Ebana, hatimaye katika harakati za hapa na pale, baada ya kuona washkaji stori zinazoongelewa ni za masuala ya kubeti, ikabidi na mimi niwaombe wanielekeze kutokana na kwamba nina ujuzi wa kutosha wa masuala ya soka.

Basi msela mmoja aka-download app moja kwa jina la Bet PAWA. Nikazama Mpesa, nikatia alfu tano. Kutokana na uchambuzi na mwenendo wa mechi, nikaamua kuchagua mechi kati ya Man City na Leicester. Nikaweka option ya “both teams to score,” nikachagua “no.” Wana wakawa wananiambia hiyo mechi wanafungana zaidi ya goli nne. Nikawaambia tulieni, mtaona mambo. Ndo kama unavyoona hapo chini.

Basi baada ya kupata huo mkeka, sikupooza damu. Nikaandaa mkeka mwingine wa timu tatu nao pia ukatiki. Sasa nimekaa najiuliza, mbona jamaa kila siku wanalalamika wanachaniwa mkeka wao wakati mi naona ni kazi rahisi? Na uelewa wako juu ya mpira. Nawasilisha, wakuu.
Tembea na roll over hio hio
Kila laheri
 
Habari zenu Wana Jamvi, hope ni wazima. Ebana, hatimaye katika harakati za hapa na pale, baada ya kuona washkaji stori zinazoongelewa ni za masuala ya kubeti, ikabidi na mimi niwaombe wanielekeze kutokana na kwamba nina ujuzi wa kutosha wa masuala ya soka.

Basi msela mmoja aka-download app moja kwa jina la Bet PAWA. Nikazama Mpesa, nikatia alfu tano. Kutokana na uchambuzi na mwenendo wa mechi, nikaamua kuchagua mechi kati ya Man City na Leicester. Nikaweka option ya “both teams to score,” nikachagua “no.” Wana wakawa wananiambia hiyo mechi wanafungana zaidi ya goli nne. Nikawaambia tulieni, mtaona mambo. Ndo kama unavyoona hapo chini.

Basi baada ya kupata huo mkeka, sikupooza damu. Nikaandaa mkeka mwingine wa timu tatu nao pia ukatiki. Sasa nimekaa najiuliza, mbona jamaa kila siku wanalalamika wanachaniwa mkeka wao wakati mi naona ni kazi rahisi? Na uelewa wako juu ya mpira. Nawasilisha, wakuu.
Waliwao hutafuta hela ya kiwanja,kujenga,gari.. ukianza tu tamaa,utamjua mhindi nani
 
Aya bhn kubahatisha Nako kumekua kurahisi, sawa unaona jina tu linajieleza ubashiri, kubahatisha, bahati nasibu afu iwe rahisi
 
Acheni kufarijiana bhn betting ni ubahatishaji tu ata odd 1.01 inachana, hakuna Cha tamaa Wala nn , unavoweka timu chache na odds chache unajiongezea tu uwezekano wa kupata ila sio uhakika
 
Kuna mtu eti anasema timu Fulani kushinda uhakika.😂 Mbona sijawahi ona timu ambayo haijawah kufungwa duniani kote
 
IMG_20241231_164052_104.jpg
 
Habari zenu Wana Jamvi, hope ni wazima. Ebana, hatimaye katika harakati za hapa na pale, baada ya kuona washkaji stori zinazoongelewa ni za masuala ya kubeti, ikabidi na mimi niwaombe wanielekeze kutokana na kwamba nina ujuzi wa kutosha wa masuala ya soka.

Basi msela mmoja aka-download app moja kwa jina la Bet PAWA. Nikazama Mpesa, nikatia alfu tano. Kutokana na uchambuzi na mwenendo wa mechi, nikaamua kuchagua mechi kati ya Man City na Leicester. Nikaweka option ya “both teams to score,” nikachagua “no.” Wana wakawa wananiambia hiyo mechi wanafungana zaidi ya goli nne. Nikawaambia tulieni, mtaona mambo. Ndo kama unavyoona hapo chini.

Basi baada ya kupata huo mkeka, sikupooza damu. Nikaandaa mkeka mwingine wa timu tatu nao pia ukatiki. Sasa nimekaa najiuliza, mbona jamaa kila siku wanalalamika wanachaniwa mkeka wao wakati mi naona ni kazi rahisi? Na uelewa wako juu ya mpira. Nawasilisha, wakuu.
Poa
 
Back
Top Bottom