Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏✅Huyu hahusiki kwenye uonevu, ndo Kwanza Leo anakuwa mwanajeshi rasmi. Lini kafanya uonevu kwa raia? Acha kukariri.
Muwafunze hao vilaza wenzenu jinsi ya kuishi huku mitaani ,wawe na nidhamu .Namshukuru Mungu, leo nimepokea kamisheni yangu hapa TMA Monduli.
Nipo tayari sasa kulitumikia taifa.
Leo Kawa Luteni Usu ila alishakuwa mwanajeshi zamani .Huyu hahusiki kwenye uonevu, ndo Kwanza Leo anakuwa mwanajeshi rasmi. Lini kafanya uonevu kwa raia? Acha kukariri.
Mungu Akubariki sana potiNamshukuru Mungu, leo nimepokea kamisheni yangu hapa TMA Monduli.
Nipo tayari sasa kulitumikia taifa.
Ule ubabe wa kindezi mtaani muache , la sivyo huku mtaani mtakutana na ngumi jiwe + bisibisi na vipande vya NONDO muwe mnasepeshwa tu kwa Sir GodNamshukuru Mungu, leo nimepokea kamisheni yangu hapa TMA Monduli.
Nipo tayari sasa kulitumikia taifa.
Hata mgambo aliye smart kichwani ataweza kukujibu.Tutakuamini vipi kama ulichotuambia ni kweli kila mtu anajua leo Rais alikuwa anatoa kamisheni sasa naona na wewe umeamua ujipandishie humo humo.Kama wewe kweli ni Afisa wa JWTZ niambie nani huwa anaongoza Platoon,nani anaongoza kampani,nani anaongoza regiment na nani anaongoza division
Kumbe nawewe ni mwanamgamboTutakuamini vipi kama ulichotuambia ni kweli kila mtu anajua leo Rais alikuwa anatoa kamisheni sasa naona na wewe umeamua ujipandishie humo humo.Kama wewe kweli ni Afisa wa JWTZ niambie nani huwa anaongoza Platoon,nani anaongoza kampani,nani anaongoza regiment na nani anaongoza division
sawa hongera sasa umepanda ngazi ya rushwa kubwa kubwa kidogo sio virushwa vya ukoplo na usergent. Komaa mzee uzifikie rushwa za ukanali Mungu akijalia upige madili ya marushwa makubwa ya umejor, mejor general hivyo yani.Namshukuru Mungu, leo nimepokea kamisheni yangu hapa TMA Monduli.
Nipo tayari sasa kulitumikia taifa.
Wewe unauthibitisho gani kama kweli amepewa kamisheniHata mgambo aliye smart kichwani ataweza kukujibu.
Mpe tu hongera yake, hata akithibitisha bado haitokusaidia
.Bila picha ni chai
Acha mkwara mbuzi wewe huna loloteMitandao ya Kijamii itawafukuzisha jeshi ...pathetic...
Tunakufuatilia
Huyu jamaa ni tapeli mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]Kwahyo luteni unatafuta wa kuwatapeli humu kwamba utawaunganisha jeshini[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi si mtabiri ila kwa ulichokiandika wewe ni askari mana umepiga kwenye mshoni😂😂😂Utaishi kwa madeni mpaka ufe