Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Haina shida kabisa. Asante sana.[emoji24][emoji24][emoji24] So sorry mkuu,
Am in limited situation for now, may be I will help u on another day[emoji120][emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina shida kabisa. Asante sana.[emoji24][emoji24][emoji24] So sorry mkuu,
Am in limited situation for now, may be I will help u on another day[emoji120][emoji120]
Utarudi kwenye Lakionea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapana Mkuu, akaunt itashuka
Hapana Mkuu, Jay z alitangazwa kuwa bilionea soon baada ya net worth yake kusoma 1 billionAtakuwa amekosea kiswahili kidogo, kwa sasa yeye ni mmiliki wa milioni, akiongeza zikafika 2, hapo sasa anaanza kuwa milionea, hivyo jichange upate hata 3 za kung'arisha mfuko[emoji1]
Si mambo ya namba tu mkuu, 0.8, 0.9, 1.0, 1.1 na kuendelea.Hapana Mkuu, Jay z alitangazwa kuwa bilionea soon baada ya net worth yake kusoma 1 billion
Nimekupata mkuuSi mambo ya namba tu mkuu, 0.8, 0.9, 1.0, 1.1 na kuendelea.
Bado tutakuhesabu kwenye moja kama uko kati ya 1 na 1.5, si ndio? Ingawa kwa kiswahili tutasema tu kuwa una zaidi ya moja. Sasa uhame kutoka zaidi ya nusu, ila chini/sawa na 1, tukuhesabu kwa makumi?
Tusubiri milioni ivuke vishawishi vya totoz na starehe za weekend.Kuna nn?
tumia zikuzoeeeNaombeni ushauri wa kutoa hili wenge bhana