Hatimaye nimekuwa milionea, msaada wenu

Hatimaye nimekuwa milionea, msaada wenu

Your personal details, cjui ungependezewa iwe wap
hata hapa ili mradi nipate hiyo kazi, hope bado u millionea unao nisije kuwa bodi gadi wa lakionea
hahahahhahaa
 
hata hapa ili mradi nipate hiyo kazi, hope bado u millionea unao nisije kuwa bodi gadi wa lakionea
hahahahhahaa
Weee sitaki nirudi tena huko, kwanza niambie utapafom vp kaz yako kama bodyguard?
 
Weee sitaki nirudi tena huko, kwanza niambie utapafom vp kaz yako kama bodyguard
niitakulinda tu popote uendapo ili kukunusuru na mapaka shume


mimi sihitaji malipo,,,of course na wewe utanieleza unataka ulindwe vipi mkuu,,niko tayari kufuata maelekezo
 
niitakulinda tu popote uendapo ili kukunusuru na mapaka shume


mimi sihitaji malipo,,,of course na wewe utanieleza unataka ulindwe vipi mkuu,,niko tayari kufuata maelekezo
Vizuri, ila nitataka nikuongezee majukumu
Uwe bodyguard, designer pia uwe mshauri wangu au unasemaje?
 
Vizuri, ila nitataka nikuongezee majukumu
Uwe bodyguard, designer pia uwe mshauri wangu au unasemaje?
hapo itabidi unilipe sasa, mimi u bodigadi nimejitolea tu
 
Oya sio poa wadau......

Hatimae bwana mkubwa Fene baharia wa nchi kavu ktk harakat zangu za hapa na pale nimefanikiwa kuishika milioni moja rasmi[emoji1787][emoji120][emoji120][emoji120]

Natangaza kuwa milionea mpya


Akili yang kama haijakaa sawa bado..
Nimeishika milioni leo!!!

Nimekuja kwenu kuomba ushauri wa kupunguza hili wenge jf there are even experienced billionaires.

Maana ssahiv najikuta natembea kwa mikogo full mbwembwe sana,
Nimebadilisha style ya kuongea naongea kwa utulivu sana mixer kimombo
Dah! Kumbe wenye hela hawafanyi makusudi

Nisaidieni wadau nipunguze hili wengeView attachment 1910754
Mtafute Sepenga nenda naye kule Nungwi Zanzibar kwanza kama siku tatu halafu uje tukupe ushauri mwingine
 
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]
Nipe uzoefu wako kwanza kwenye ubodyguard
nina experience ya zaidi ya miaka 15 kwenye kazi hii

Yaani nilisha kuwa bodigadi wa bilionea mwaka juzi na alitoboa maisha

kwani umesema nitoe uzoefu ngapi mkuu? maana hujaweka masharti
 
nina experience ya zaidi ya miaka 15 kwenye kazi hii

Yaani nilisha kuwa bodigadi wa bilionea mwaka juzi na alitoboa maisha

kwani umesema nitoe uzoefu ngapi mkuu? maana hujaweka masharti
Nipe matukio yako mawili matatu ya kibabe bhac ukiwa katika harakat zak za kumlinda boss
 
Oya sio poa wadau......

Hatimae bwana mkubwa Fene baharia wa nchi kavu ktk harakat zangu za hapa na pale nimefanikiwa kuishika milioni moja rasmi[emoji1787][emoji120][emoji120][emoji120]

Natangaza kuwa milionea mpya


Akili yang kama haijakaa sawa bado..
Nimeishika milioni leo!!!

Nimekuja kwenu kuomba ushauri wa kupunguza hili wenge jf there are even experienced billionaires.

Maana ssahiv najikuta natembea kwa mikogo full mbwembwe sana,
Nimebadilisha style ya kuongea naongea kwa utulivu sana mixer kimombo
Dah! Kumbe wenye hela hawafanyi makusudi

Nisaidieni wadau nipunguze hili wengeView attachment 1910754
Hongela mkuu
 
Kwani kushika million ndio wanashikaje?!

Maana mi nishashika Hadi million 6 lkn zilikuwa za mkopo[emoji38][emoji38]
 
Kwani kushika million ndio wanashikaje?!

Maana mi nishashika Hadi million 6 lkn zilikuwa za mkopo[emoji38][emoji38]
Hizo zilikuwa negative mkuu, tunazungumzia kuanzia 1 million positive
 
Back
Top Bottom