Mkuu unataka jitihada za siku zote niziharibu siku moja[emoji24][emoji24]
Hahahahaha. Yan JfNakuona unavyoangalia watu kwa dharau huku ukijisemea moyoni "Una milioni we choko"
Hahahahahah...
With no malipo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kukulinda kunaharibu nn mkuu jaman..najitolea tu with no malipo
Ahsante for your positive outlookKaka nashukuru kwa kututia moyo vijana ambao bado hatujafikia kwenye mafanikio hayo,tutazidi kupambana kuhakikisha nchi yetu inakua na mamilionea wengi zaidi.
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Sisi elfuonea tunakoment wapi?
That is Us- millionaire am Bongo MillionaireHahahaha. Millionare ni kuanzia $1M.
Ndo napambana, nikifika laki nafungua na mimi thread.
Sawa tunakusubir huku ktk umilionea maana kuufikia ubilionea sio kitotoNdo napambana, nikifika laki nafungua na mimi thread.
Tutafika tu, tuzidi kupambana.Sawa tunakusubir huku ktk umilionea maana kuufikia ubilionea sio kitoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiingereza chako ni kirefu sana...hebu kiminye minye kidogo[emoji848]That's why, we have to be thankful for whatever we have
Wenge la umilionea linaniburuza ndomana naombeni ushauri wenuKiingereza chako ni kirefu sana...hebu kiminye minye kidogo[emoji848]
hahahaaaaaaa uwe na aman mkuu nipe hiyo nafasi mkuuWith no malipo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja kwanz nikuchunguze usije kuwa jambaz nikajuta[emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
natuma hapa hapa ama? maelekezo tafadhali[emoji38][emoji106] Umekidhi vigezo nasubir fomu ya maombi
😂😂kumbe wenye hela awafanyi makusudiOya sio poa wadau......
Hatimae bwana mkubwa Fene baharia wa nchi kavu ktk harakat zangu za hapa na pale nimefanikiwa kuishika milioni moja rasmi[emoji1787][emoji120][emoji120][emoji120]
Natangaza kuwa milionea mpya
Akili yang kama haijakaa sawa bado..
Nimeishika milioni leo!!!
Nimekuja kwenu kuomba ushauri wa kupunguza hili wenge jf there are even experienced billionaires.
Maana ssahiv najikuta natembea kwa mikogo full mbwembwe sana,
Nimebadilisha style ya kuongea naongea kwa utulivu sana mixer kimombo
Dah! Kumbe wenye hela hawafanyi makusudi
Nisaidieni wadau nipunguze hili wengeView attachment 1910754