hata hapa ili mradi nipate hiyo kazi, hope bado u millionea unao nisije kuwa bodi gadi wa lakioneaYour personal details, cjui ungependezewa iwe wap
niitakulinda tu popote uendapo ili kukunusuru na mapaka shumeWeee sitaki nirudi tena huko, kwanza niambie utapafom vp kaz yako kama bodyguard
Vizuri, ila nitataka nikuongezee majukumuniitakulinda tu popote uendapo ili kukunusuru na mapaka shume
mimi sihitaji malipo,,,of course na wewe utanieleza unataka ulindwe vipi mkuu,,niko tayari kufuata maelekezo
hapo itabidi unilipe sasa, mimi u bodigadi nimejitolea tuVizuri, ila nitataka nikuongezee majukumu
Uwe bodyguard, designer pia uwe mshauri wangu au unasemaje?
Mtafute Sepenga nenda naye kule Nungwi Zanzibar kwanza kama siku tatu halafu uje tukupe ushauri mwingineOya sio poa wadau......
Hatimae bwana mkubwa Fene baharia wa nchi kavu ktk harakat zangu za hapa na pale nimefanikiwa kuishika milioni moja rasmi[emoji1787][emoji120][emoji120][emoji120]
Natangaza kuwa milionea mpya
Akili yang kama haijakaa sawa bado..
Nimeishika milioni leo!!!
Nimekuja kwenu kuomba ushauri wa kupunguza hili wenge jf there are even experienced billionaires.
Maana ssahiv najikuta natembea kwa mikogo full mbwembwe sana,
Nimebadilisha style ya kuongea naongea kwa utulivu sana mixer kimombo
Dah! Kumbe wenye hela hawafanyi makusudi
Nisaidieni wadau nipunguze hili wengeView attachment 1910754
nina experience ya zaidi ya miaka 15 kwenye kazi hii[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]
Nipe uzoefu wako kwanza kwenye ubodyguard
Nipe matukio yako mawili matatu ya kibabe bhac ukiwa katika harakat zak za kumlinda bossnina experience ya zaidi ya miaka 15 kwenye kazi hii
Yaani nilisha kuwa bodigadi wa bilionea mwaka juzi na alitoboa maisha
kwani umesema nitoe uzoefu ngapi mkuu? maana hujaweka masharti
Hongela mkuuOya sio poa wadau......
Hatimae bwana mkubwa Fene baharia wa nchi kavu ktk harakat zangu za hapa na pale nimefanikiwa kuishika milioni moja rasmi[emoji1787][emoji120][emoji120][emoji120]
Natangaza kuwa milionea mpya
Akili yang kama haijakaa sawa bado..
Nimeishika milioni leo!!!
Nimekuja kwenu kuomba ushauri wa kupunguza hili wenge jf there are even experienced billionaires.
Maana ssahiv najikuta natembea kwa mikogo full mbwembwe sana,
Nimebadilisha style ya kuongea naongea kwa utulivu sana mixer kimombo
Dah! Kumbe wenye hela hawafanyi makusudi
Nisaidieni wadau nipunguze hili wengeView attachment 1910754
Wahi fursa kabisaHautafuti girlfriend Mr Millionaire?