Hatimaye nimepata tulizo la moyo wangu (mpenzi/mahabuba) ndani Jamii forums

Yaani hicho kinjunga atachokivaa bi harusi utaomba poo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na vile hajui kununa weweweeee

Mwenyekiti naomba uwape dressing code za heshima, nisije bebewa mume kuna watu wanapania sherehe za wenzao! Tena coca wa kuwa makini nae sana [emoji1787][emoji1787]
 
Mwenyekiti naomba uwape dressing code za heshima, nisije bebewa mume kuna watu wanapania sherehe za wenzao! Tena coca wa kuwa makini nae sana [emoji1787][emoji1787]
Angalizo,,,,tunaomba siku ya harusi uvae nguo ya heshima,hatutaki vinjunga ukapoteza concentration ya bwana harusi,,,maana bi harusi ana wasiwasi na wewe 😂😂😂cocastic
 
Wajomba wa mume mshaanza chokochoko [emoji1787]
Mpwa wako kanielewa hapa hachomoi na mtake msitake mie ndio mkazwa mkwe wenu hivyo [emoji1787][emoji1787]
Nimekoma sirudii tena😁😁😁
 
[emoji15][emoji15] jamani mpk kamati ishaundwa na mwenyewe taarifa sina!!!? Haya michango iingie kwenye namba za bi harusi mtarajiwa.

Kiwango cha chini cha kamati kianzie laki 5 [emoji12]
Usiwazeee me ndio mwenyekiti wa kamati sema kingine [emoji1787][emoji1787]
 
Ukifilisika rudi hapa kuomba kazi za kusogeza maisha
 
My wangu hiyo sura ya shem mkilala usiku unamfunika usoni na shuka huku unaendelea na mambo mengine [emoji1787] mc usisahau kumletea somo huyu cocastic
Somo na mwali kagalauke [emoji1787][emoji1787]
 
Ukifilisika rudi hapa kuomba kazi za kusogeza maisha

Wifi mbona umeanza gubu mapema [emoji1787][emoji1787] akifirisika si mtauza kibanda cha urithi wifiyo niendelee kumpenda kakaako jamani!!

Wewe mwenyewe si umemuona kakaako alivyo we kuweza [emoji1787]
 
My wangu hiyo sura ya shem mkilala usiku unamfunika usoni na shuka huku unaendelea na mambo mengine [emoji1787] mc usisahau kumletea somo huyu cocastic
Somo na mwali kagalauke [emoji1787][emoji1787]

Najikaza lakini unaweza usiku ukaita mwiziii baadae unakumbuka kumbe laaziz [emoji1787]
 
kamati ya roho mbaya inadai matako yenyewe yameachana hawa ni kina nani wasiachane
 
Nimecheka sana daaaah Nalia ngwena
 
Wifi mbona umeanza gubu mapema [emoji1787][emoji1787] akifirisika si mtauza kibanda cha urithi wifiyo niendelee kumpenda kakaako jamani!!

Wewe mwenyewe si umemuona kakaako alivyo we kuweza [emoji1787]
Hapana kwa kweli wifi.
Naogopa sana kaka angu atafilisika bora aendelee kua single.
Maana urithi tuloachiwa madeni🤣🤣🤣🤣
 
Hapana kwa kweli wifi.
Naogopa sana kaka angu atafilisika bora aendelee kua single.
Maana urithi tuloachiwa madeni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji1787][emoji1787] wifi mbona roho mbaya mapema wewe subiri niolewe utaishia nje nakwambia
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hakuna namna zaidi ya kujikaza

Meno yale sasa anaweza kukuparua lips wakati wa kukiss [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ndugu zangu mmejua kunichuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…