Hatimaye nimepata wa kunituliza, hivi sasa mimi ni "Miminimama wa Tajiri"

Hatimaye nimepata wa kunituliza, hivi sasa mimi ni "Miminimama wa Tajiri"

Gosh, you are literally the luckiest woman in the entire world.
This is so wholesome. OMG, what a sweet guy.

Dear OP, I am genuinely happy for you.Wish you guys all the best.
Thank you for sharing.
 
Kiuhalisia, huyo mwanaume hujampenda toka moyoni na hujavutiwa nae kingono, umemvulia nguo kwasababu ana hela na anakupa pesa za bure, huyo mwanaume asiengekua na hela usingeandika huu uzi..na wala usingemkubali

Kama hii story sio chai, basi huyo mwanaume ni fala wa kiwango cha lami, miminimama
 
Kwakweli ..huyu kapata sponsor naona atakua alifuata maelekezo ya yule mleta Uzi wa namna ya kumpata sponsor..

Angesifia utu wake na anavyomjali mtoto wake... Lakini yeye kajikita zaidi kwenye pesa...na ajue zinakotoka..

Maana wakina Shamim Mwasha wapo jela kwa sababu ya waume zao kufanya Mambo ya ajabu kupata pesa.
 
Back
Top Bottom