Hahaaa I think most guy's don't understand me well humu walla, napinga ukatili wowote and I have always says marriage is beautiful sijui mnakwama wapi kunielewaMwanzo 3:16
Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
Yaani tukiwaambia humu utukufu wa mwanamke ni kwa mwanaume na ndipo ilipo furaha ya kweli ya mwanamke cariha anasema mfumo dume.
Hongera kwa kumpata Baba yako mheshimu na uyalinde maono yake
Mimi siko jf kutafta wanaume pia kuandika nipendacho sio kosa so sometimes nyie wanaume mnajitukana kwa jinsi mlivotafsiri vitu, Mimi naandika interpretation yenucariha [emoji115][emoji115][emoji115] umemwona mwenzio,humu ww kila siku unatukana wanaume wa JF.
Ni kweli na stress za maisha na ninakujaga kwenu kuomba msosi oooh[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]huyo mdada uliemtaja ana stress za maisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hana mdogo wake na mimi nipate wangu[emoji18][emoji18]
Rafiki unatesa mashem wako na hiyo chura takatifu!
😂 😂 😂 😂Rafiki unatesa mashem wako na hiyo chura takatifu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuh kumbe mwamba mpira upo damuni, alaf itakuwa unamjua Sana huyu jamaa ,japo najua orgin yake Ni mbeya je baba ake ndiye Yule alikuwaga mbunge wa Rungwe masharik ? Na saiz Ni marehem alikuwa anaitwa Ambangile NdepanyaGeorge De Job, alikuwa classmate yule toka tuko Forest Hill Sec. alikuwa anaichambua ligi ya England kama analipwa vile [emoji23][emoji23][emoji23] kipindi hiko sijui hata mpira unapendewa nini maana kwangu kero. Jamaa ni Man U toka damuni
Jamani, akaribie sanaIwe nikitaka kuoa nitamleta mke mtarajiwa kwako aje kupata ABC za kuishi na mimi.
Tulianzia Nguzo Primary, jamaa yuko njema kwenye uchambuzi 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuh kumbe mwamba mpira upo damuni, alaf itakuwa unamjua Sana huyu jamaa ,japo najua orgin yake Ni mbeya je baba ake ndiye Yule alikuwaga mbunge wa Rungwe masharik ? Na saiz Ni marehem alikuwa anaitwa Ambangile Ndepanya
Mimi hapa mdogo wake GHana mdogo wake na mimi nipate wangu[emoji18][emoji18]
Kuna vingi sana nimeandika nadhani umeona kitu ambacho hauna.PESA PESA PESA,HONGERA G KWA KUWA NA PESA,umefanya singo mama huyu kuwa na furaha
G amesoma hapa amecheka Sana.Kiuhalisia, huyo mwanaume hujampenda toka moyoni na hujavutiwa nae kingono, umemvulia nguo kwasababu ana hela na anakupa pesa za bure, huyo mwanaume asiengekua na hela usingeandika huu uzi..na wala usingemkubali
Kama hii story sio chai, basi huyo mwanaume ni fala wa kiwango cha lami, miminimama
Nakuhakishia hili la kweli ni milele daima.Tukipata wapenzi...hebu tutulizane.. penzi likinoga unatamani kuitangazia Dunia.
Tulia enjoy penzi lako... Jipeni muda... Hakuna penzi linaonza vibaya.
Uchumba hautangazwi inatangazwa ndoa