Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huku Wachina kule Wahindi sasa yupi ni yupiKabla ya kukutwa na Umauti , Mzee Reginald Mengi alikuwa na mpango wa kujenga kiwanda cha kutengeneza Simu za Kisasa zinazoitwa Smartphone...
Umesema Wachina ndiyo watakuja wakati source ya habari yako inase wanaokuja ni WahindiSasa leo Waziri wa mambo ya kigeni January Makamba amewaleta Wachina ili kuziba Pengo hilo .
Makosa madogo ya uandishi , lakini nimerekebisha .Umesema Wachina ndiyo watakuja wakati source ya habari yako inase wanaokuja ni Wahindi
Nchi hii uwezi kuwekeza kama ukwepi kodi, hizo kampuni zote zinakwepa kodi balaa, uwezi kuwekeza kwenye nchi ambayo mtu anaendesha gari umbali mrefu kutoka Rwanda au Uganda kufuata bidhaa Bandari ya Dar halafu kitu chenyewe bado bei iwe rahisi kuliko Tanzania.Jamaa kaanzia upigaji mwingineπ€£
Ni aibu tupuNchi hii uwezi kuwekeza kama ukwepi kodi, hizo kampuni zote zinakwepa kodi balaa, uwezi kuwekeza kwenye nchi ambayo mtu anaendesha gari umbali mrefu kutoka Rwanda au Uganda kufuata bidhaa Bandari ya Dar alafu kitu chenyewe bado bei iwe rahisi kuliko Tanzania.
Bila ya kuangalia namna ya kufanya kugawanya hizi kodi kwa kila raia, tutaendelea kuangalia namna ya kukwepa kodi tu.
Sijaona mantiki ya kumtaja mzee Mengi kuwa pengo lake limezibwa, kwenye story hii! Mengi alikuwa ni msaada kwenye nyanja nyingi.Kabla ya kukutwa na Umauti , Mzee Reginald Mengi alikuwa na mpango wa kujenga kiwanda cha kutengeneza Simu za Kisasa zinazoitwa Smartphone...
πππππHuyu tapeli alitundanya kuhusu mafuta 2021 kuwa waarabu wataleta mafuta ya bei ya chini mpk leo
Mengi alitangaza kuanzisha kiwanda cha simu hizo kabla umauti haujamkuta , ndio chanzo cha kutajwa kwake hapaSijaona mantiki ya kumtaja mzee Mengi kuwa pengo lake limezibwa, kwenye story hii! Mengi alikuwa ni msaada kwenye nyanja nyingi. Baadhi ya walemavu wanalia mpaka leo. Kuna familia za wamasai, wanalia mpaka leo, kutokana na alivyokuwa anawasaidia ma binti zao, kielimu.
Pengo lake HALIZIBIKI!
Nimekupata mkuu!Mengi alitangaza kuanzisha kiwanda cha simu hizo kabla umauti haujamkuta , ndio chanzo cha kutajwa kwake hapa