Hatimaye Pengo la Mzee Mengi lazibwa, Hongera Waziri Makamba

Hatimaye Pengo la Mzee Mengi lazibwa, Hongera Waziri Makamba

Kabla ya kukutwa na Umauti , Mzee Reginald Mengi alikuwa na mpango wa kujenga kiwanda cha kutengeneza Simu za Kisasa zinazoitwa Smartphone .

Mpango huo ulipotea baada ya Mzee huyo kufariki Dunia .

Sasa leo Waziri wa mambo ya kigeni January Makamba amewaleta Wahindi ili kuziba Pengo hilo.
---
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Tanzania inauza zaidi mazao ya kilimo nchini India huku wao wakiuza zaidi nchini dawa na vifaa vya viwandani.



View attachment 2772819
Umenena kizalendo [emoji2956][emoji2956]

Rest easy Reginald Mengi ,amen[emoji120]
 
Kabla ya kukutwa na Umauti , Mzee Reginald Mengi alikuwa na mpango wa kujenga kiwanda cha kutengeneza Simu za Kisasa zinazoitwa Smartphone .

Mpango huo ulipotea baada ya Mzee huyo kufariki Dunia .

Sasa leo Waziri wa mambo ya kigeni January Makamba amewaleta Wahindi ili kuziba Pengo hilo.
---
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Tanzania inauza zaidi mazao ya kilimo nchini India huku wao wakiuza zaidi nchini dawa na vifaa vya viwandani.



View attachment 2772819
Kwa hiyo na wewe umeamua kumuiga Mbowe kula asali ya Makamba?
 
Kabla ya kukutwa na Umauti , Mzee Reginald Mengi alikuwa na mpango wa kujenga kiwanda cha kutengeneza Simu za Kisasa zinazoitwa Smartphone .

Mpango huo ulipotea baada ya Mzee huyo kufariki Dunia .

Sasa leo Waziri wa mambo ya kigeni January Makamba amewaleta Wahindi ili kuziba Pengo hilo.
---
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Tanzania inauza zaidi mazao ya kilimo nchini India huku wao wakiuza zaidi nchini dawa na vifaa vya viwandani.



View attachment 2772819
Usimsifie januari,utawakera Tecc na sukuma gang
 
Back
Top Bottom