City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Wachache watakuelewa hapa mkuu.Wacha viwanda vije ili tupate mshahara wa 8,000 per day maana ndipo furaha yetu ilipo "ajira za hand to mouth"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachache watakuelewa hapa mkuu.Wacha viwanda vije ili tupate mshahara wa 8,000 per day maana ndipo furaha yetu ilipo "ajira za hand to mouth"
Inatia hasira mkuu Ila ngoja tuishi tuWachache watakuelewa hapa mkuu.
Umenena kizalendo [emoji2956][emoji2956]Kabla ya kukutwa na Umauti , Mzee Reginald Mengi alikuwa na mpango wa kujenga kiwanda cha kutengeneza Simu za Kisasa zinazoitwa Smartphone .
Mpango huo ulipotea baada ya Mzee huyo kufariki Dunia .
Sasa leo Waziri wa mambo ya kigeni January Makamba amewaleta Wahindi ili kuziba Pengo hilo.
---
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Tanzania inauza zaidi mazao ya kilimo nchini India huku wao wakiuza zaidi nchini dawa na vifaa vya viwandani.
View attachment 2772819
Makamba Jr ni mtoto wa kambo....Jamaa kaanzia upigaji mwingine[emoji1787]
Hesabu za CCM ni miaka 100 kutoka leo.....1. Nape
2. Makamba Jr
3. Nchemba
4. RZ one
CCM itafia mikononi mwao.
Hana jema maskini....Mradi mpya huo wa upigaji wa Bwana Makamba na business partner wake Maharage.
Ni moyo wako...Sjui kwanini, moyo wangu ilisha kataa kabisa kumuamini huyu jamaa...[emoji848]
Maana kila anacho kianzisha, lazima nione gepu la uoigaji kwambaaaaali....[emoji849]
Kwa tume ipi?1. Nape
2. Makamba Jr
3. Nchemba
4. RZ one
CCM itafia mikononi mwao.
Tuendelee kusubiri tukiwa na matumaini pengine michakato haijakamilikaHuyu tapeli alitundanya kuhusu mafuta 2021 kuwa waarabu wataleta mafuta ya bei ya chini mpk leo
Hatari sana mkuu.Inatia hasira mkuu Ila ngoja tuishi tu
Kwa hiyo na wewe umeamua kumuiga Mbowe kula asali ya Makamba?Kabla ya kukutwa na Umauti , Mzee Reginald Mengi alikuwa na mpango wa kujenga kiwanda cha kutengeneza Simu za Kisasa zinazoitwa Smartphone .
Mpango huo ulipotea baada ya Mzee huyo kufariki Dunia .
Sasa leo Waziri wa mambo ya kigeni January Makamba amewaleta Wahindi ili kuziba Pengo hilo.
---
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Tanzania inauza zaidi mazao ya kilimo nchini India huku wao wakiuza zaidi nchini dawa na vifaa vya viwandani.
View attachment 2772819
Usimsifie januari,utawakera Tecc na sukuma gangKabla ya kukutwa na Umauti , Mzee Reginald Mengi alikuwa na mpango wa kujenga kiwanda cha kutengeneza Simu za Kisasa zinazoitwa Smartphone .
Mpango huo ulipotea baada ya Mzee huyo kufariki Dunia .
Sasa leo Waziri wa mambo ya kigeni January Makamba amewaleta Wahindi ili kuziba Pengo hilo.
---
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Tanzania inauza zaidi mazao ya kilimo nchini India huku wao wakiuza zaidi nchini dawa na vifaa vya viwandani.
View attachment 2772819
Kiwanda hicho ilikuwa kijengwe Kibaha.Mengi alitangaza kuanzisha kiwanda cha simu hizo kabla umauti haujamkuta , ndio chanzo cha kutajwa kwake hapa
Kwanini mkuu1. Nape
2. Makamba Jr
3. Nchemba
4. RZ one
CCM itafia mikononi mwao.
Ina MAANA tangazo lake ndio liliharakisha umauti wake!?Mengi alitangaza kuanzisha kiwanda cha simu hizo kabla umauti haujamkuta , ndio chanzo cha kutajwa kwake hapa
Kamshtaki kwa #TecJamaa kaanzia upigaji mwingine🤣