Hatimaye Pengo la Mzee Mengi lazibwa, Hongera Waziri Makamba

Hatimaye Pengo la Mzee Mengi lazibwa, Hongera Waziri Makamba

Kwanini mkuu
JamiiForums-787880945.jpeg
 
Kabla ya kukutwa na Umauti , Mzee Reginald Mengi alikuwa na mpango wa kujenga kiwanda cha kutengeneza Simu za Kisasa zinazoitwa Smartphone .

Mpango huo ulipotea baada ya Mzee huyo kufariki Dunia .

Sasa leo Waziri wa mambo ya kigeni January Makamba amewaleta Wahindi ili kuziba Pengo hilo.
---
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Tanzania inauza zaidi mazao ya kilimo nchini India huku wao wakiuza zaidi nchini dawa na vifaa vya viwandani.



View attachment 2772819
KIPARA ni Tapeli sana
 
Msijidanganye. Siyo kiwanda cha kutengeneza simu bali kufunga tu - assembly plant - wakati kila kitu kinatoka nje
 
"Itakuwaje siku akitutoka ndugu Mengi, ni nani ataziba pengo la huyu kipenzi cha wengi?" -Pengo by Waswahili by nature.
 
Sio makamba alianza Jk kuwa angeleta kiwanda cha kutengeneza pikipiki aina ya Honda mpaka leo hata upembuzi yakinifu na usanifu wa kina hatusikii.
 
Kabla ya kukutwa na Umauti , Mzee Reginald Mengi alikuwa na mpango wa kujenga kiwanda cha kutengeneza Simu za Kisasa zinazoitwa Smartphone .

Mpango huo ulipotea baada ya Mzee huyo kufariki Dunia .

Sasa leo Waziri wa mambo ya kigeni January Makamba amewaleta Wahindi ili kuziba Pengo hilo.
---
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Tanzania inauza zaidi mazao ya kilimo nchini India huku wao wakiuza zaidi nchini dawa na vifaa vya viwandani.



View attachment 2772819
Napata wasiwasi na hizi pongezi!
 
Kabla ya kukutwa na Umauti , Mzee Reginald Mengi alikuwa na mpango wa kujenga kiwanda cha kutengeneza Simu za Kisasa zinazoitwa Smartphone .

Mpango huo ulipotea baada ya Mzee huyo kufariki Dunia .

Sasa leo Waziri wa mambo ya kigeni January Makamba amewaleta Wahindi ili kuziba Pengo hilo.
---
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Tanzania inauza zaidi mazao ya kilimo nchini India huku wao wakiuza zaidi nchini dawa na vifaa vya viwandani.



View attachment 2772819
Nimefungua haraka haraka nikidhani Makamba amerithi mbunye kumbe ni urithi feki. Mkuu mtoa mada umenikosea sana.
 
Back
Top Bottom