Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
piga dili nawewe kma ni simplebrother makamba ni mzee wa madili hamumuwezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
piga dili nawewe kma ni simplebrother makamba ni mzee wa madili hamumuwezi
TAPELI Januari! HAFAI!Huyu tapeli alitundanya kuhusu mafuta 2021 kuwa waarabu wataleta mafuta ya bei ya chini mpk leo
Kwanini mkuu
Hayo siyajuiIna MAANA tangazo lake ndio liliharakisha umauti wake!?
Kulikua na conflict of interest Kati ya yeye na cartel ya hao jamaa au!!?
nasikia Mbowe na Lisu hawaelewaniHayo siyajui
Mliposhindwa kuwaloga mkaamua kutunga uongonasikia Mbowe na Lisu hawaelewani
Kama vile Mbowe,Lisu,Msigwa,Lema,Mnyika chadema itavyofia mikonon mwao pia.Mradi mpya huo wa upigaji wa Bwana Makamba na business partner wake Maharage.
Ile Mizimu Yetu ya Bagamoyo inawajua.....
Walogwe mara ngapi?!!Mliposhindwa kuwaloga mkaamua kutunga uongo
[emoji2956][emoji2956]
Alikupiga "show" na hukulipwa?!!!TAPELI Januari! HAFAI!
[emoji1787][emoji1787]piga dili nawewe kma ni simple
KIPARA ni Tapeli sanaKabla ya kukutwa na Umauti , Mzee Reginald Mengi alikuwa na mpango wa kujenga kiwanda cha kutengeneza Simu za Kisasa zinazoitwa Smartphone .
Mpango huo ulipotea baada ya Mzee huyo kufariki Dunia .
Sasa leo Waziri wa mambo ya kigeni January Makamba amewaleta Wahindi ili kuziba Pengo hilo.
---
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Tanzania inauza zaidi mazao ya kilimo nchini India huku wao wakiuza zaidi nchini dawa na vifaa vya viwandani.
View attachment 2772819
Napata wasiwasi na hizi pongezi!Kabla ya kukutwa na Umauti , Mzee Reginald Mengi alikuwa na mpango wa kujenga kiwanda cha kutengeneza Simu za Kisasa zinazoitwa Smartphone .
Mpango huo ulipotea baada ya Mzee huyo kufariki Dunia .
Sasa leo Waziri wa mambo ya kigeni January Makamba amewaleta Wahindi ili kuziba Pengo hilo.
---
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Tanzania inauza zaidi mazao ya kilimo nchini India huku wao wakiuza zaidi nchini dawa na vifaa vya viwandani.
View attachment 2772819
Nimefungua haraka haraka nikidhani Makamba amerithi mbunye kumbe ni urithi feki. Mkuu mtoa mada umenikosea sana.Kabla ya kukutwa na Umauti , Mzee Reginald Mengi alikuwa na mpango wa kujenga kiwanda cha kutengeneza Simu za Kisasa zinazoitwa Smartphone .
Mpango huo ulipotea baada ya Mzee huyo kufariki Dunia .
Sasa leo Waziri wa mambo ya kigeni January Makamba amewaleta Wahindi ili kuziba Pengo hilo.
---
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Tanzania inauza zaidi mazao ya kilimo nchini India huku wao wakiuza zaidi nchini dawa na vifaa vya viwandani.
View attachment 2772819