Hatimaye picha kutoka James Web telescope zimetolewa rasmi kwa umma

Hatimaye picha kutoka James Web telescope zimetolewa rasmi kwa umma

mike2k

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2016
Posts
1,571
Reaction score
3,448
Leo tarehe 12/7/2022 ni siku muhimu sana kwa wapenzi wa space exploration.

Furaha hii inachangiwa na NASA wakishirikiana na agencies wengine kuweza kutoa rasmi picha na tafiti za kwanza kabisa kutoka katika darubini 🔭 ya JWST.

Kabla ya kuendelea ningependa kushare na wewe msemo huu kuwa ili civilization yoyote iweze ku survive ina wajibu wa kuwekeza kwenye space exploration.

Kwa kulijua hilo kazi hii ya kipekee ya NASA imekuja na majibu ya kuvutia na kuweza kuisaidia tasnia ya Astronomy.

Picha za kwanza za JWST zilizotoka ni

SMACS 0723
1657657313480.jpg

Hii ni picha ya kwanza kabisa ambayo inaonyesha eneo la mbali zaidi kabisa kuweza kuonekana na binadamu.

Picha hii inaitwa Web first deep field.

Katika picha hii unaweza kuona maelfu ya galaxy yakiwa umbali wa 4.5 billion light years away. Yaani tunaona leo hizo galaxy jinsi zilivyokuwa miaka billion 4.5 iliyopita.
Camera iliyotumika kupata hii picha inaitwa Web near infrared camera.

The NASA/ESA/CSA James Webb Space Telescope has produced the deepest and sharpest infrared image of the distant Universe to date. Known as Webb’s First Deep Field, this image of galaxy cluster SMACS 0723 is overflowing with detail.

SMACS 0723: Webb has delivered the deepest and sharpest infrared image of the distant universe so far – and in only 12.5 hours. For a person standing on Earth looking up, the field of view for this new image, a color composite of multiple exposures each about two hours long, is approximately the size of a grain of sand held at arm’s length.

This deep field uses a lensing galaxy cluster to find some of the most distant galaxies ever detected. This image only scratches the surface of Webb’s capabilities in studying deep fields and tracing galaxies back to the beginning of cosmic time.

Picha hii na taarifa zote zinazokisanywa zinaenda kutusaidia kutupa majibu ya maswali kuhusu mwanzo wa ulimwengu huu. Namna galaxy zilivyokuwa formed etc.
Early Universe

WASP-96b (spectrum):
1657657310438.jpg

A transmission spectrum made from a single observation using Webb’s Near-Infrared Imager and Slitless Spectrograph (NIRISS) reveals atmospheric characteristics of the hot gas giant exoplanet WASP-96 b. ILLUSTRATION: NASA, ESA, CSA, STScI.

James Web Space Telescope imetuletea details za hii exoplanet na imetuonyesha kuwa anga lake lina H20 yaani lina maji. Hii tafiti inataka kutupa majibu kuwa kuna uwezekano wa uhai katika exoplanet hii?

Tafiti za mwanzo hatukuweza kuona mawingu na aina ya anga hewa la exoplanet hii lakini sasa tumeweza kuona na kujifunza zaidi kuhusu exoplanet hii iliyoko umbali wa zaidi ya 1000 light years away.

James web Telescope inaenda kutafiti uwepo wa sayari zenye sifa kama dunia yetu. Na kazi ya kwanza ndo hiyo imeanza.

Southern Ring Nebula:
1657657307468.jpg


This side-by-side comparison shows observations of the Southern Ring Nebula in near-infrared light, at left, and mid-infrared light, at right, from NASA’s Webb Telescope. IMAGE: NASA, ESA, CSA, STScI

JWST Imetupa nafasi ya kuweza kuona namna ambavyo nyota zinavyokufa polepole.

Southern Ring Nebula:

This planetary nebula, an expanding cloud of gas that surrounds a dying star, is approximately 2,000 light years away. Here, Webb’s powerful infrared eyes bring a second dying star into full view for the first time. From birth to death as a planetary nebula, Webb can explore the expelling shells of dust and gas of aging stars that may one day become a new star or planet.
Webb: Southern Ring Nebula comes into full view – Astronomy Now

Stephan’s Quintet:
1657657302882.jpg

Hili ni kundi la galaxy 5 kuwahi kuonekana na sayansi ya bindamu. Webb imetusaidia kuweza kuliona karibu na kutupa nafasi ya kujifunza. Kupitia Stephans Quintet tutaweza kujifunza namna interaction ya galaxies inavyokuwa na ilileta impact gani cosmically kwenye formaton of early universe.

Webb’s view of this compact group of galaxies, located in the constellation Pegasus, pierced through the shroud of dust surrounding the center of one galaxy, to reveal the velocity and composition of the gas near its supermassive black hole. Now, scientists can get a rare look, in unprecedented detail, at how interacting galaxies are triggering star formation in each other and how the gas in these galaxies is being disturbed.

Pembeni ya Stephan’s Quintet WEBBS imeweza kutuonesha uwepo wa black hole yenye mass ya 24 million equivalent to our sun mass.

Carina Nebula: Webb’s look at the ‘Cosmic Cliffs’ in the Carina Nebula unveils the earliest, rapid phases of star formation that were previously hidden. Looking at this star-forming region in the southern constellation Carina, as well as others like it, Webb can see newly forming stars and study the gas and dust that made them.
main_image_star-forming_region_carina_nircam_final-5mb.jpg

Carina Nebula hapa ndipo ambapo nyota huumbwa. Webbs imeweza kutupatia picha kutoka katika eneo hili umbali wa miaka 7200 ya speed ya mwanga.
Kupitia ujifunzaji wa eneo hili tutaweza kufahamu namna ambavyo nyota zinavyokuwa formed.

Mada nyingine zilizoandaliwa na mwandishi mimi ni
James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani | JamiiForums James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

 

Attachments

  • 1657657310438.jpg
    1657657310438.jpg
    37.1 KB · Views: 74
  • 1657657302882.jpg
    1657657302882.jpg
    74.4 KB · Views: 69
Nimesoma mwanzo mwisho, very very interesting. Hii dunia kuna watu wanafanya kazi za maana kwa ajili ya ulimwengu mzima, ninaimagine watanzania na wa afrika kwa ujumla project kama hizi sijui tutufanya lini!
Mkuu hii dunia tumegawana majukumu, hayo makubwa tumewaachia wao wakubwa, sisi waafrika ni soko, pamoja na kuzalisha raslimali mfano gold, ukienda M.East wao wanazalisha mafuta.
Ni simple idea lkn ndo balance of nature mzee.
 
"Katika picha hii unaweza kuona maelfu ya galaxy yakiwa umbali wa 4.5 billion light years away. Yaani tunaona leo hizo galaxy jinsi zilivyokuwa miaka billion 4.5 iliyopita."


Mkuu hayo maelezo hapo yana kiuchachu fulani hivi.


Uchachu tena?
 
Na kuna kitu huwa kinanichanganya kuhusu bara la antarctica.

Hili bara huwa haliongelewi kabisa, ila hayo mbamb ya kwend nje ya dunia kabisa huongelewa kila siku.

Kwenye hili bara hakuna kabisa kiumbe kinaishi?? Ama hakukuwahi kukaliwa na binadamu hapo kabla?

Kuna nje zenye baridi kali sana ina maana huko Antarctica binadamu hawezi kusurvive kabisaa!??
 
Na kuna kitu huwa kinanichanganya kuhusu bara la antarctica.

Hili bara huwa haliongelewi kabisa, ila hayo mbamb ya kwend nje ya dunia kabisa huongelewa kila siku.

Kwenye hili bara hakuna kabisa kiumbe kinaishi?? Ama hakukuwahi kukaliwa na binadamu hapo kabla?

Kuna nje zenye baridi kali sana ina maana huko Antarctica binadamu hawezi kusurvive kabisaa!??
Antarctica ina vingi sana.
Ila NASA wanalitumia eneo hili kuchungua anga coz hakuna light pollution
 
Antarctica ina vingi sana.
Ila NASA wanalitumia eneo hili kuchungua anga coz hakuna light pollution
Nimeanzisha uzi wake mkuu kama hutojari naomba utililike kuhusu hili bara coz binafsi sielewi ni kwanini halizungumziwi kabisa wakati kwa kipindi hiki nilitegemea kuwepo attempts kadhaa za kuishi huko.

Yaani tunataka kuishi Mars ilhali hapahapa duniani kuna mahali hakuna watu kabisa, inafikirisha hii.
 
"Katika picha hii unaweza kuona maelfu ya galaxy yakiwa umbali wa 4.5 billion light years away. Yaani tunaona leo hizo galaxy jinsi zilivyokuwa miaka billion 4.5 iliyopita."


Mkuu hayo maelezo hapo yana kiuchachu fulani hivi.
Mkuu ipo hivi, ili ww uweze kuona ni lazima mwanga wa kitu unachokusudia kukiona ukufikie na kutua kwenye retina ya jicho lako. Kwahio kitu kikiwa karibu, macho yako yatakiona ndani ya muda mfupi zaidi.

Na speed ya mwanga ni 3x10^8

Hii ni speed kubwa sana, mpka sasa hakuna kitu kingine chenye speed kubwa kushinda mwanga (light)

Sasa ukiambiwa galaxy ipo 4.5 billion light years, maana yake ile mwanga tunaouona hapa kuwakilisha hio galaxy mwanga huo ulitoka kwenye galaxy hio miaka billion 4.5 iliyopita. Kwahio ukitaka kujua umbali chukua miaka hio zidisha kwa speed ya mwanga, ambayo ni 3x10 ^8 huo ndio utakua umbali kwa mita au klm.

Asante. [emoji120]
 
Back
Top Bottom