Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
MMMH KWENYE HAYA MAENEO MIMI MWEUPE KABISAA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda mambo ya Lab Tech..!?MMMH KWENYE HAYA MAENEO MIMI MWEUPE KABISAA
MWEUPE PIA...Labda mambo ya Lab Tech..!?
Umembamiza na rungu la masai [emoji23][emoji23][emoji23]United State of America ni taifa lenye muunganiko wa nchi 52. taifa lenye raia zaidi ya million 352. Taifa hili lina umri wa zaidi ya miaka 300 kasoro. kila mwaka wanazalisha Wataalam wa masomo ya science, mathematics, technology zaidi ya 600k kwa mwaka mmoja tu. Wakati wewe mtanzania bado serikali imeshindwa kutatua tatizo la madawati ilhali miti iko hapahapa nchini. Hawa Tayari wana shirika linalojihusisha na anga exploration na mwaka huu wamelitengea 24$ billions ambayo kibongobongo ni 53 Trillion shillings.
Kwa maana hiyo wamekuzidi wewe mtanzania kila kitu na itakuhitaji wewe mtanzania na serikali yako 1000 light years kufika waliko leo hii.
Kwa hiyo kukaa na kuamini kuwa walikaa chini kukudanganya inakuhitaji uwe mvivu wa kusoma pro max ili uweze kuihifadhi hiyo conspiracy katika ubongo wako.
Sitaki tuanze kubishana kuhusu NASA apollo 1 mission coz ndo next thread yangu. NASA and her partners (blue moon,space x, toyota,lookhead Martin space etc) tarehe 29 agoust 2022 wataanza mission ya kwanza kabisa NASA artemis 1 kwa hiyo itakuwa ni wakati muafaka kabisa wakuweza ku observe na ku discuss moon missions kwa mapana yake.
Hii project ya JWST ili waweze kukudanganya ingebidi waanze kuwadanganya space agencies wa NASA,CANADA NA EUROPEAN AGENCIES kwani project nzima imefanywa na zaidi ya watu 20000 kwa kipindi cha miaka 10.
Na usifikiri labda ni NASA wana fedha? hapana. Hizi fedha zinatolewa na serikali kupitia ruhusa ya Baraza la Seneti kwa maana hiyo ni lazima wafanye presentation katika bunge la Seneti na senate wapige kura kuridhika kuwekeza hicho kiasi huko kisha ipelekwe Congress na congress watunge sheria za kusimamia project nzima.. Ndo hivyohivyo pia Bunge la Canada liliridhia na bunge la Ulaya pia.
Kwa hiyo hakuna sababu yoyote ile ya watu 20000 astrophysics, cosmologist, Scientists[emoji3065] makampuni mbalimbali ya binafsi kuwekeza fedha na mida wao ili wakudanganye.
Kitu ambacho unatakiwa ufahamu NASA project zao nyingi huwa wanashirikisha public kwa lengo la kujifunza, Vyuo vikuu mbalimbali huhusika kwa ukaribu kabisa katika Research and Development.
Upe ubongo wako nafasi ya kujifunza.
ukuta wa imani usikufanye uwe kipofu.
Vipi kuhusu sekta ya uchakataji mbususu?MWEUPE PIA...
nna mafaili yangu ngoja niyafiche, huko hamna weupeVipi kuhusu sekta ya uchakataji mbususu?
iyo picha naona ni graphics kabixa
Huwezi kuona picha ya sasa kwasababu mwanga unatumia mabilioni ya miaka kufika huko. Na ili kuona kitu ni mpaka mwanga usafiri kutoka huko na ukifikie huku...Chumvi kuntu hizi, si tuonyweshe picha ya Sasa, hizo za zamani hazitusaidii sisi, naona wanatuchosha na kamaliza mb zetu
Usiwasahau na chawa wa lumumbaMambo yana wenyewe haya,Wale Mashabiki wa Simba na Yanga msisogee Huku.
Sio taarifa sahihi, huwezi kuurudisha muda nyuma kwa kamera iliyotengenezwa leo..hizo ni imejinasheni tu kwa kutumia viashiria vya wazi"Katika picha hii unaweza kuona maelfu ya galaxy yakiwa umbali wa 4.5 billion light years away. Yaani tunaona leo hizo galaxy jinsi zilivyokuwa miaka billion 4.5 iliyopita."
Mkuu hayo maelezo hapo yana kiuchachu fulani hivi.
Antarctica is the only continent with no permanent human habitation. There are, however, permanent human settlements, where scientists and support staff live for part of the year on a rotating basis. The continent of Antarctica makes up most of the Antarctic region.19 May 2022Na kuna kitu huwa kinanichanganya kuhusu bara la antarctica.
Hili bara huwa haliongelewi kabisa, ila hayo mbamb ya kwend nje ya dunia kabisa huongelewa kila siku.
Kwenye hili bara hakuna kabisa kiumbe kinaishi?? Ama hakukuwahi kukaliwa na binadamu hapo kabla?
Kuna nje zenye baridi kali sana ina maana huko Antarctica binadamu hawezi kusurvive kabisaa!??
Ardhi ya Antarctica hailimiki. Ni jangwa la barafu... sasa hii ni mbaya zaid kwa kusupport uhai... kuna viumbe wanaoishi huko Antarctica kama jamii kadhaa za nyangumi, na muda mwingine penguins.Na kuna kitu huwa kinanichanganya kuhusu bara la antarctica.
Hili bara huwa haliongelewi kabisa, ila hayo mbamb ya kwend nje ya dunia kabisa huongelewa kila siku.
Kwenye hili bara hakuna kabisa kiumbe kinaishi?? Ama hakukuwahi kukaliwa na binadamu hapo kabla?
Kuna nje zenye baridi kali sana ina maana huko Antarctica binadamu hawezi kusurvive kabisaa!??
Iko hivi... huwezi kuziona hizo nyota kwa wakati wa sasa. Na infact, kwa asilimia kubwa nyota unaziona usiku inakua ni muonekano wa mamilioni ya miaka iliyopita.Sio taarifa sahihi, huwezi kuurudisha muda nyuma kwa kamera iliyotengenezwa leo..hizo ni imejinasheni tu kwa kutumia viashiria vya wazi
Daaah, kumbe nyie ndo mnaohisi tunaishi ndani ya Dunia? Kwamba ukitoka nje unatoboa? Daah, [emoji1]Four Years season ina uhusiano gani na dunia kuzunguka ?
Mimi sijawahi kuona hilo, wala sijwahi kusikia kwamba ukitoka nje ya dunia kwa maana ukiwa angani unaiona dunia inazunguka ? Kwanza naona kwako hili. Wewe tuambia ushawahi kutoka nje ya dunia au ukiwa angani ushawahi kuiona dunia ikizunguka ?
Kingine nitajie majaribio mawili tu ya Kisayansi yaliyo fanyika kuonyesha au kuthibitisha ya kuwa Dunia inazunguka na yakawa ni majaribio ya kweli.
Hako kauchachu ndo ilipo logic yenyewe."Katika picha hii unaweza kuona maelfu ya galaxy yakiwa umbali wa 4.5 billion light years away. Yaani tunaona leo hizo galaxy jinsi zilivyokuwa miaka billion 4.5 iliyopita."
Mkuu hayo maelezo hapo yana kiuchachu fulani hivi.
Nlikuwa nadhani hizi picha ndivyo zilivyo mpaka niliposoma juzi kuwa kumbe zinakuwa edited na kuwekea hizo rangi ili mtu wa kawaida aweze kuzielewa.Leo tarehe 12/7/2022 ni siku muhimu sana kwa wapenzi wa space exploration.
Furaha hii inachangiwa na NASA wakishirikiana na agencies wengine kuweza kutoa rasmi picha na tafiti za kwanza kabisa kutoka katika darubini 🔭 ya JWST.
Kabla ya kuendelea ningependa kushare na wewe msemo huu kuwa ili civilization yoyote iweze ku survive ina wajibu wa kuwekeza kwenye space exploration.
Kwa kulijua hilo kazi hii ya kipekee ya NASA imekuja na majibu ya kuvutia na kuweza kuisaidia tasnia ya Astronomy.
Picha za kwanza za JWST zilizotoka ni
SMACS 0723
View attachment 2288405
Hii ni picha ya kwanza kabisa ambayo inaonyesha eneo la mbali zaidi kabisa kuweza kuonekana na binadamu.
Picha hii inaitwa Web first deep field.
Katika picha hii unaweza kuona maelfu ya galaxy yakiwa umbali wa 4.5 billion light years away. Yaani tunaona leo hizo galaxy jinsi zilivyokuwa miaka billion 4.5 iliyopita.
Camera iliyotumika kupata hii picha inaitwa Web near infrared camera.
The NASA/ESA/CSA James Webb Space Telescope has produced the deepest and sharpest infrared image of the distant Universe to date. Known as Webb’s First Deep Field, this image of galaxy cluster SMACS 0723 is overflowing with detail.
SMACS 0723: Webb has delivered the deepest and sharpest infrared image of the distant universe so far – and in only 12.5 hours. For a person standing on Earth looking up, the field of view for this new image, a color composite of multiple exposures each about two hours long, is approximately the size of a grain of sand held at arm’s length.
This deep field uses a lensing galaxy cluster to find some of the most distant galaxies ever detected. This image only scratches the surface of Webb’s capabilities in studying deep fields and tracing galaxies back to the beginning of cosmic time.
Picha hii na taarifa zote zinazokisanywa zinaenda kutusaidia kutupa majibu ya maswali kuhusu mwanzo wa ulimwengu huu. Namna galaxy zilivyokuwa formed etc.
Early Universe
WASP-96b (spectrum):
View attachment 2288410
A transmission spectrum made from a single observation using Webb’s Near-Infrared Imager and Slitless Spectrograph (NIRISS) reveals atmospheric characteristics of the hot gas giant exoplanet WASP-96 b. ILLUSTRATION: NASA, ESA, CSA, STScI.
James Web Space Telescope imetuletea details za hii exoplanet na imetuonyesha kuwa anga lake lina H20 yaani lina maji. Hii tafiti inataka kutupa majibu kuwa kuna uwezekano wa uhai katika exoplanet hii?
Tafiti za mwanzo hatukuweza kuona mawingu na aina ya anga hewa la exoplanet hii lakini sasa tumeweza kuona na kujifunza zaidi kuhusu exoplanet hii iliyoko umbali wa zaidi ya 1000 light years away.
James web Telescope inaenda kutafiti uwepo wa sayari zenye sifa kama dunia yetu. Na kazi ya kwanza ndo hiyo imeanza.
Southern Ring Nebula:
View attachment 2288414
This side-by-side comparison shows observations of the Southern Ring Nebula in near-infrared light, at left, and mid-infrared light, at right, from NASA’s Webb Telescope. IMAGE: NASA, ESA, CSA, STScI
JWST Imetupa nafasi ya kuweza kuona namna ambavyo nyota zinavyokufa polepole.
Southern Ring Nebula:
This planetary nebula, an expanding cloud of gas that surrounds a dying star, is approximately 2,000 light years away. Here, Webb’s powerful infrared eyes bring a second dying star into full view for the first time. From birth to death as a planetary nebula, Webb can explore the expelling shells of dust and gas of aging stars that may one day become a new star or planet.
Webb: Southern Ring Nebula comes into full view – Astronomy Now
Stephan’s Quintet:
View attachment 2288510
Hili ni kundi la galaxy 5 kuwahi kuonekana na sayansi ya bindamu. Webb imetusaidia kuweza kuliona karibu na kutupa nafasi ya kujifunza. Kupitia Stephans Quintet tutaweza kujifunza namna interaction ya galaxies inavyokuwa na ilileta impact gani cosmically kwenye formaton of early universe.
Webb’s view of this compact group of galaxies, located in the constellation Pegasus, pierced through the shroud of dust surrounding the center of one galaxy, to reveal the velocity and composition of the gas near its supermassive black hole. Now, scientists can get a rare look, in unprecedented detail, at how interacting galaxies are triggering star formation in each other and how the gas in these galaxies is being disturbed.
Pembeni ya Stephan’s Quintet WEBBS imeweza kutuonesha uwepo wa black hole yenye mass ya 24 million equivalent to our sun mass.
Carina Nebula: Webb’s look at the ‘Cosmic Cliffs’ in the Carina Nebula unveils the earliest, rapid phases of star formation that were previously hidden. Looking at this star-forming region in the southern constellation Carina, as well as others like it, Webb can see newly forming stars and study the gas and dust that made them.
View attachment 2288416
Carina Nebula hapa ndipo ambapo nyota huumbwa. Webbs imeweza kutupatia picha kutoka katika eneo hili umbali wa miaka 7200 ya speed ya mwanga.
Kupitia ujifunzaji wa eneo hili tutaweza kufahamu namna ambavyo nyota zinavyokuwa formed.
Mada nyingine zilizoandaliwa na mwandishi mimi ni
James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani | JamiiForums James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani
The galactic habitable zone: Lifahamu eneo katika galaxy yetu linalo support uhai
The Galactic habitable zone au Goldlocks zone ni eneo karibu na nyota (sunli-like) ambapo hakuna joto sana na sio baridi sana kwa maji kuweza kuwepo kwenye uso wa sayari zinazozunguka. Fikiria ikiwa Dunia ingelikuwa mahali ambapo Pluto ipo. Jua lingeonekana kwa shida sana (karibu saizi ya apple...www.jamiiforums.com
Sahihi kabisa.Mbingu zipo nje ya ulimwengu, yaan universe, universe ni jumla ya galaxy zote, nadhani pia unajua maana ya galaxy.
Ili uzikute hizo mbingu basi itakubidi ubadiri maumbile ya mwili wako na kuwa na maumbile yenye uzito mdogo na kasi kubwa zaid ya mwanga ili kukuruhusu kisafiri umbali mrefu kwa muda mfupi.
Namaanisha kwa kila sekunde 1 ktk ulimwengu huu(universe) bas ktk mbingu(ulimwengu usioonekana) sekunde hizo zinaweza kuwa sawa na mwaka mzima, namaanisha, ktk sekunde moja ukiwa nje ya ulimwengu huu, basi utaweza fanya mambo mengi bila limitation yoyote ya muda, tofaut na huku ulimwengu huu tunaoishi.
Ndiomaana utashangaa kuna hawa walozi huweza kwenda umbali mrefu within a short time, pia wale watabiri na wahuni wengine
Wanasayansi hutafta jinsi ya kutravel in time, lkn kiuhalisia haiwezekan mpka pale tutakapounda chombo chenye uzito&speed sawa na mwanga ndipo kitaweza kuvuka mipaka ya muda.
Ulikuwa unadhani?Nlikuwa nadhani hizi picha ndivyo zilivyo mpaka niliposoma juzi kuwa kumbe zinakuwa edited na kuwekea hizo rangi ili mtu wa kawaida aweze kuzielewa.
Kumbe kiuhalisia hizo picha hata haziko hivyo wana edit kwa kufuata color spectrum. Hivyo zimeacha kunivutia kama zilivyonivutia awali.