4.5 billion light years ni parefu sana swali kwako ni je wamewezaje kuona huo mwanga wake? Na je hiyo teknolojia haiwezi kuongezwa zaidi ili kuzoom kilichopo ndani yake?
Ndio mana kila baada ya tafiti wanaobuni technolojia mpya ili kugundua vitu vipya, thats why watu dunia nzima wamefurahi kua mwanzo mzuri kama hizo galaxy za mbali hivo zimeweza kuonekana, sasa watajitahidi wabuni kifaa kitakachokua na uwezo zaidi kuliko kilichotumika sasa.
unaweza hata kuthibitisha mwenyewe, jioni wakati jua linakaribia kuzama dakika 8 kabla, chukua darubini angalia hilo jua unaloliona, wala hutoliona zaidi ya mwanga sababu lishahama
Leo tarehe 12/7/2022 ni siku muhimu sana kwa wapenzi wa space exploration.
Furaha hii inachangiwa na NASA wakishirikiana na agencies wengine kuweza kutoa rasmi picha na tafiti za kwanza kabisa kutoka katika darubini 🔭 ya JWST.
Kabla ya kuendelea ningependa kushare na wewe msemo huu kuwa ili civilization yoyote iweze ku survive ina wajibu wa kuwekeza kwenye space exploration.
Kwa kulijua hilo kazi hii ya kipekee ya NASA imekuja na majibu ya kuvutia na kuweza kuisaidia tasnia ya Astronomy.
Picha za kwanza za JWST zilizotoka ni
SMACS 0723 View attachment 2288405
Hii ni picha ya kwanza kabisa ambayo inaonyesha eneo la mbali zaidi kabisa kuweza kuonekana na binadamu.
Picha hii inaitwa Web first deep field.
Katika picha hii unaweza kuona maelfu ya galaxy yakiwa umbali wa 4.5 billion light years away. Yaani tunaona leo hizo galaxy jinsi zilivyokuwa miaka billion 4.5 iliyopita.
Camera iliyotumika kupata hii picha inaitwa Web near infrared camera.
The NASA/ESA/CSA James Webb Space Telescope has produced the deepest and sharpest infrared image of the distant Universe to date. Known as Webb’s First Deep Field, this image of galaxy cluster SMACS 0723 is overflowing with detail.
SMACS 0723: Webb has delivered the deepest and sharpest infrared image of the distant universe so far – and in only 12.5 hours. For a person standing on Earth looking up, the field of view for this new image, a color composite of multiple exposures each about two hours long, is approximately the size of a grain of sand held at arm’s length.
This deep field uses a lensing galaxy cluster to find some of the most distant galaxies ever detected. This image only scratches the surface of Webb’s capabilities in studying deep fields and tracing galaxies back to the beginning of cosmic time.
Picha hii na taarifa zote zinazokisanywa zinaenda kutusaidia kutupa majibu ya maswali kuhusu mwanzo wa ulimwengu huu. Namna galaxy zilivyokuwa formed etc. Early Universe
WASP-96b (spectrum): View attachment 2288410
A transmission spectrum made from a single observation using Webb’s Near-Infrared Imager and Slitless Spectrograph (NIRISS) reveals atmospheric characteristics of the hot gas giant exoplanet WASP-96 b. ILLUSTRATION: NASA, ESA, CSA, STScI.
James Web Space Telescope imetuletea details za hii exoplanet na imetuonyesha kuwa anga lake lina H20 yaani lina maji. Hii tafiti inataka kutupa majibu kuwa kuna uwezekano wa uhai katika exoplanet hii?
Tafiti za mwanzo hatukuweza kuona mawingu na aina ya anga hewa la exoplanet hii lakini sasa tumeweza kuona na kujifunza zaidi kuhusu exoplanet hii iliyoko umbali wa zaidi ya 1000 light years away.
James web Telescope inaenda kutafiti uwepo wa sayari zenye sifa kama dunia yetu. Na kazi ya kwanza ndo hiyo imeanza.
This side-by-side comparison shows observations of the Southern Ring Nebula in near-infrared light, at left, and mid-infrared light, at right, from NASA’s Webb Telescope. IMAGE: NASA, ESA, CSA, STScI
JWST Imetupa nafasi ya kuweza kuona namna ambavyo nyota zinavyokufa polepole.
Southern Ring Nebula:
This planetary nebula, an expanding cloud of gas that surrounds a dying star, is approximately 2,000 light years away. Here, Webb’s powerful infrared eyes bring a second dying star into full view for the first time. From birth to death as a planetary nebula, Webb can explore the expelling shells of dust and gas of aging stars that may one day become a new star or planet. Webb: Southern Ring Nebula comes into full view – Astronomy Now
Stephan’s Quintet: View attachment 2288510
Hili ni kundi la galaxy 5 kuwahi kuonekana na sayansi ya bindamu. Webb imetusaidia kuweza kuliona karibu na kutupa nafasi ya kujifunza. Kupitia Stephans Quintet tutaweza kujifunza namna interaction ya galaxies inavyokuwa na ilileta impact gani cosmically kwenye formaton of early universe.
Webb’s view of this compact group of galaxies, located in the constellation Pegasus, pierced through the shroud of dust surrounding the center of one galaxy, to reveal the velocity and composition of the gas near its supermassive black hole. Now, scientists can get a rare look, in unprecedented detail, at how interacting galaxies are triggering star formation in each other and how the gas in these galaxies is being disturbed.
Pembeni ya Stephan’s Quintet WEBBS imeweza kutuonesha uwepo wa black hole yenye mass ya 24 million equivalent to our sun mass.
Carina Nebula: Webb’s look at the ‘Cosmic Cliffs’ in the Carina Nebula unveils the earliest, rapid phases of star formation that were previously hidden. Looking at this star-forming region in the southern constellation Carina, as well as others like it, Webb can see newly forming stars and study the gas and dust that made them. View attachment 2288416
Carina Nebula hapa ndipo ambapo nyota huumbwa. Webbs imeweza kutupatia picha kutoka katika eneo hili umbali wa miaka 7200 ya speed ya mwanga.
Kupitia ujifunzaji wa eneo hili tutaweza kufahamu namna ambavyo nyota zinavyokuwa formed.
The Galactic habitable zone au Goldlocks zone ni eneo karibu na nyota (sunli-like) ambapo hakuna joto sana na sio baridi sana kwa maji kuweza kuwepo kwenye uso wa sayari zinazozunguka. Fikiria ikiwa Dunia ingelikuwa mahali ambapo Pluto ipo. Jua lingeonekana kwa shida sana (karibu saizi ya apple...
Yote kwa Yote science ni mchanganyiko WA religion. MISSION Yao yoote Ni kwenda ulimwengu WA pili... Ile gateway ndo inatafutwa... Ndo maana wanajaribu kuplay around na Time. Wanaweza fanikiwa maana CERN wameshaufungua upya mtambo wao. Time travel etc etc....
Assumptions kama za yule mtu aliyeenda mbingu ya saba kwa farasi mweny mabawa na ukaamini ni kweli. Kama hili unaliamini bila uhalisia wowote tena bila kuhoji ni umbali gani hadi huko mbingu ya saba while unapinga umbali unaosafiri mwanga wa jua hadi duniani huku ukidai uthibitisho kabisa
Unaweza kuwa ndio mtu mjinga kabisa ambae umewahi kutokea l.
na kwa nini uamini ni uongo wakati NASA na mashirika mengine yapo unaweza kwenda kujiridhisha, acheni ushamba basi fatilieni mambo, hao watu unaosema huwaamini ndio wamekutengenezea hadi hio simu ambayo haina wire wala connector na unaweza mpigia mtu hata alieko China na Marekani
unaweza hata kuthibitisha mwenyewe, jioni wakati jua linakaribia kuzama dakika 8 kabla, chukua darubini angalia hilo jua unaloliona, wala hutoliona zaidi ya mwanga sababu lishahama
Soma ulichokiandika hapa na hicho cha kabla kikichofanya nikuombe uthibitisho. Maana naona unaruka ruka na kuchanganya mambo. Sasa umerukia katika darubini. Jikite katika msingi. Ukitaka turudi kwenye kujadili Darubini tutarudi tu sababu hiki ni kifaa na tunajua mipaka yake na madhumuni ya chenyewe kutengenezwa kwa ajili gani.
"Katika picha hii unaweza kuona maelfu ya galaxy yakiwa umbali wa 4.5 billion light years away. Yaani tunaona leo hizo galaxy jinsi zilivyokuwa miaka billion 4.5 iliyopita."
Mkuu hayo maelezo hapo yana kiuchachu fulani hivi.
Aisee hii Ni balaa. Hapa nashindwa kuelewa Kama mwanga unasafiri kwa muda huo uliotajwa. Ina maana hii picha ilipigwa lini? Au mwanzisha uzi kujichanganya.
Mkuu ipo hivi, ili ww uweze kuona ni lazima mwanga wa kitu unachokusudia kukiona ukufikie na kutua kwenye retina ya jicho lako. Kwahio kitu kikiwa karibu, macho yako yatakiona ndani ya muda mfupi zaidi.
Na speed ya mwanga ni 3x10^8
Hii ni speed kubwa sana, mpka sasa hakuna kitu kingine chenye speed kubwa kushinda mwanga (light)
Sasa ukiambiwa galaxy ipo 4.5 billion light years, maana yake ile mwanga tunaouona hapa kuwakilisha hio galaxy mwanga huo ulitoka kwenye galaxy hio miaka billion 4.5 iliyopita. Kwahio ukitaka kujua umbali chukua miaka hio zidisha kwa speed ya mwanga, ambayo ni 3x10 ^8 huo ndio utakua umbali kwa mita au klm.
Nimeanza kuelewa. Ina maana mtu akiwa huko kwenye hizo galaxies Kisha akawasha tochi yenye uwezo mkubwa kumulika duniani kwetu, huo mwanga utatufikia kwa huo muda uliotajwa.
"Katika picha hii unaweza kuona maelfu ya galaxy yakiwa umbali wa 4.5 billion light years away. Yaani tunaona leo hizo galaxy jinsi zilivyokuwa miaka billion 4.5 iliyopita."
Mkuu hayo maelezo hapo yana kiuchachu fulani hivi.
Jamaa yuko good..ingawa kwa hapa nafikiri alitakiwa kusema "hizo galaxy zipo umbali wa ambao mwanga unatakiwa kusafiri miaka Bilioni 4.5 ili kufika huko."
Jamaa yuko good..ingawa kwa hapa nafikiri alitakiwa kusema "hizo galaxy zipo umbali wa ambao mwanga unatakiwa kusafiri miaka Bilioni 4.5 ili kufika huko."
Light year ndo SI unit ya distance katika cosmology na Astrophysics.
Nimejitahidi kuieleza distance ya zilipokuwa hizo galaxies katika lugha ya kueleweka.
Pia asante ulivyoeleza wewe pia ni sahihi na ni lugha nyepesi zaidi kwa msomaji kuweza kuelewa.
Tazama hii video kuweza kuelea ukubwa wa ulimwengu huu
Mimi huwa najiuliza hivi mnawezaje kutofautisha hizi picha na picha za kutengeneza ? Yaani mnajuaje kama hizi ni picha halisi na siyo za kutengeneza ? Au huwa mnapenda kuona kuliko kujadili ?
Marekani waliwahi kutudanganya wameenda mwezini na wakaexpose mapicha kama hayo kabla ya mwishi wa siku Russia kuja kuwaumbua kuwa ni waongo..lengo lao la kudanganya si lingine bali wapewe sifa tu na kuogopwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.