Hatimaye picha kutoka James Web telescope zimetolewa rasmi kwa umma

Hatimaye picha kutoka James Web telescope zimetolewa rasmi kwa umma

Una kubali kwamba Sayansi haijawahi kuthibitisha juu ya hizi nadharia ulizo ziandika hapa ? Mfano wewe unaweza kunithibitishia ya kuwa Dunia inazunguka ?

Jua linazunguka au linatembea ?
Unafikiri kutokea kwa usiku asubuhi, mchana na jioni ni kwa sababu jua linawashwa na kuzimwa na mtu fulani ??
 
Ndo ilivyo mkuu. Kuna star zilisha potea zamani sana tu
4.5 billion light years ni parefu sana swali kwako ni je wamewezaje kuona huo mwanga wake? Na je hiyo teknolojia haiwezi kuongezwa zaidi ili kuzoom kilichopo ndani yake?
 
4.5 billion light years ni parefu sana swali kwako ni je wamewezaje kuona huo mwanga wake? Na je hiyo teknolojia haiwezi kuongezwa zaidi ili kuzoom kilichopo ndani yake?




Katika picha ya SMACs tunaweza kuziona hizo galaxies zilivyokuwa 4.5 billions years ago.

Tukiwa karibu na wakati huu galaxies huwa zina emmit different wavelength kuanzia gamma ray
mpka radio waves yaani wavelength yote katika electromagnetic spectrum ikiwemo visible wavelength ambazo tungeweza kuziona kwa macho ya kibinadamu lakini kwa sababu ulimwengu unatanuka baada ya mabilioni ya miaka



The light from the most distant galaxies, as we see it now, has been stretched to longer and redder wavelengths due to the expansion of the universe.

This means some of the light that would have been visible to our eyes when it was first emitted has since lost energy as the universe expanded. It’s now in a completely different region of the electromagnetic spectrum. This is a phenomenon called “cosmological redshift”.

And this is where the JWST really shines. The broad range of infrared wavelengths detectable by JWST allow it to see galaxies Hubble never could. Combine this capability with the JWST’s enormous mirror and superb pixel resolution, and you have the most powerful time machine in the known universe.
 
Justification tu. Kwani iliandikwa wapi ama una uhakika kuwa umeumbwa ivyo kweli mkuu Ila bana brains kwa kukwepa ukweli tu haijambo ujue.
Unasubiri uandikiwe? Angalia uhalisia
 
Wewe unawezaje kujua mwezi uliwahi kupasuka katikaki kisha ukarudi ulivyokuwa??
Swali rahisi sana,mimi najua kupitia chain mpaka kwenye Primary Source.

Wewe unajuaje ukweli wa miaka elfu moja iliyo pita juu ya kutokea kwa jambo fulani ?
 
Wewe ulihakiki mwezi kupasuka katikati vipande viwili na kujirudia? Uliwahi kuhakiki kuna mbingu saba na kuna amefika huko mbinguni kwa farasi ??
Naam nimewahi kuhakiki hili.
 
Unafikiri kutokea kwa usiku asubuhi, mchana na jioni ni kwa sababu jua linawashwa na kuzimwa na mtu fulani ??
Jibu swali langu kwa mujibu wa Sayansi yenu inavyo waambia. Akili yako inaonyesha ni ndogo sana mpaka ukajenga swali kwa mtindo huu, jua tunaliona kila siku, kinachowashwa sifa zake zinajulikana, ila jua halina sifa za kitu kinachowashwa.
 
Hiyo speed ilipimwa before French revolution. Cassini aliobserve irregularities kwa eclipse ya mwezi mmoja wa jupiter ile hygiène ndio aliobserve tena akapata majibu yale yale ila wakaangalia zaidi wakagundua hiyo tofauti huwa unatokana kipindi dunia inapokuwa mbali na jupiter. So mwanga pia unatumia muda kusafiri maana zamani idea ilikua speed ya mwanga infinity. So kama walipata time ya mwanga kutoka jupiter kufika duniani na umbali wa jupita kutoka duniani unajulikana ndio hapo walipopata speed ya mwanga
Unajua hujaeleza jibu kwa mujibu wa, Sayansi inavyoelezea mambo, bali umeleezea kifalsafa sababu kuna maswali hujajibu. Mfano hujaonyesha starting point kama marejeo ni ipi ?

Alitumia kifaa gani kujua hiloi, je alifika kwenye Sayari ya Jupiter ? Sababu ili ujue mwendo lazima ujue umbali husika kuanzia mwanzo na mwisho. Hili walilijuaje ?

Dunia inakuwa mbali na Jupiter kivipi na kipindi gani na kwa sababu gani ?
 
Huwezi kuona hata cha leo hata jua tuu unaloliona ni jinsi lilivyo dakika 8 zilizopita kitu pekee unacho weza ona now ni mtu aliye karibu yako [emoji23][emoji23][emoji23]
Nithibishie ya kuwa jua ninalo liona muda huu ni la dakika 8 zilizo pita.
 
JWST imefanikiwa kupiga picha hii galaxy ambayo iliundwa miaka milioni 300 baada ya bigbang ambapo ni sawa tu na miaka billion 13.5 baada ya bigbang.

Galaxy hiyo inaitwa GLASS-z13.
AAzFSh.jpeg
 
Leo tarehe 12/7/2022 ni siku muhimu sana kwa wapenzi wa space exploration.

Furaha hii inachangiwa na NASA wakishirikiana na agencies wengine kuweza kutoa rasmi picha na tafiti za kwanza kabisa kutoka katika darubini 🔭 ya JWST.

Kabla ya kuendelea ningependa kushare na wewe msemo huu kuwa ili civilization yoyote iweze ku survive ina wajibu wa kuwekeza kwenye space exploration.

Kwa kulijua hilo kazi hii ya kipekee ya NASA imekuja na majibu ya kuvutia na kuweza kuisaidia tasnia ya Astronomy.

Picha za kwanza za JWST zilizotoka ni

SMACS 0723
View attachment 2288405
Hii ni picha ya kwanza kabisa ambayo inaonyesha eneo la mbali zaidi kabisa kuweza kuonekana na binadamu.

Picha hii inaitwa Web first deep field.

Katika picha hii unaweza kuona maelfu ya galaxy yakiwa umbali wa 4.5 billion light years away. Yaani tunaona leo hizo galaxy jinsi zilivyokuwa miaka billion 4.5 iliyopita.
Camera iliyotumika kupata hii picha inaitwa Web near infrared camera.

The NASA/ESA/CSA James Webb Space Telescope has produced the deepest and sharpest infrared image of the distant Universe to date. Known as Webb’s First Deep Field, this image of galaxy cluster SMACS 0723 is overflowing with detail.

SMACS 0723: Webb has delivered the deepest and sharpest infrared image of the distant universe so far – and in only 12.5 hours. For a person standing on Earth looking up, the field of view for this new image, a color composite of multiple exposures each about two hours long, is approximately the size of a grain of sand held at arm’s length.

This deep field uses a lensing galaxy cluster to find some of the most distant galaxies ever detected. This image only scratches the surface of Webb’s capabilities in studying deep fields and tracing galaxies back to the beginning of cosmic time.

Picha hii na taarifa zote zinazokisanywa zinaenda kutusaidia kutupa majibu ya maswali kuhusu mwanzo wa ulimwengu huu. Namna galaxy zilivyokuwa formed etc.
Early Universe

WASP-96b (spectrum):
View attachment 2288410
A transmission spectrum made from a single observation using Webb’s Near-Infrared Imager and Slitless Spectrograph (NIRISS) reveals atmospheric characteristics of the hot gas giant exoplanet WASP-96 b. ILLUSTRATION: NASA, ESA, CSA, STScI.

James Web Space Telescope imetuletea details za hii exoplanet na imetuonyesha kuwa anga lake lina H20 yaani lina maji. Hii tafiti inataka kutupa majibu kuwa kuna uwezekano wa uhai katika exoplanet hii?

Tafiti za mwanzo hatukuweza kuona mawingu na aina ya anga hewa la exoplanet hii lakini sasa tumeweza kuona na kujifunza zaidi kuhusu exoplanet hii iliyoko umbali wa zaidi ya 1000 light years away.

James web Telescope inaenda kutafiti uwepo wa sayari zenye sifa kama dunia yetu. Na kazi ya kwanza ndo hiyo imeanza.

Southern Ring Nebula:
View attachment 2288414

This side-by-side comparison shows observations of the Southern Ring Nebula in near-infrared light, at left, and mid-infrared light, at right, from NASA’s Webb Telescope. IMAGE: NASA, ESA, CSA, STScI

JWST Imetupa nafasi ya kuweza kuona namna ambavyo nyota zinavyokufa polepole.

Southern Ring Nebula:

This planetary nebula, an expanding cloud of gas that surrounds a dying star, is approximately 2,000 light years away. Here, Webb’s powerful infrared eyes bring a second dying star into full view for the first time. From birth to death as a planetary nebula, Webb can explore the expelling shells of dust and gas of aging stars that may one day become a new star or planet.
Webb: Southern Ring Nebula comes into full view – Astronomy Now

Stephan’s Quintet:
View attachment 2288510

Hili ni kundi la galaxy 5 kuwahi kuonekana na sayansi ya bindamu. Webb imetusaidia kuweza kuliona karibu na kutupa nafasi ya kujifunza. Kupitia Stephans Quintet tutaweza kujifunza namna interaction ya galaxies inavyokuwa na ilileta impact gani cosmically kwenye formaton of early universe.

Webb’s view of this compact group of galaxies, located in the constellation Pegasus, pierced through the shroud of dust surrounding the center of one galaxy, to reveal the velocity and composition of the gas near its supermassive black hole. Now, scientists can get a rare look, in unprecedented detail, at how interacting galaxies are triggering star formation in each other and how the gas in these galaxies is being disturbed.

Pembeni ya Stephan’s Quintet WEBBS imeweza kutuonesha uwepo wa black hole yenye mass ya 24 million equivalent to our sun mass.

Carina Nebula: Webb’s look at the ‘Cosmic Cliffs’ in the Carina Nebula unveils the earliest, rapid phases of star formation that were previously hidden. Looking at this star-forming region in the southern constellation Carina, as well as others like it, Webb can see newly forming stars and study the gas and dust that made them.
View attachment 2288416
Carina Nebula hapa ndipo ambapo nyota huumbwa. Webbs imeweza kutupatia picha kutoka katika eneo hili umbali wa miaka 7200 ya speed ya mwanga.
Kupitia ujifunzaji wa eneo hili tutaweza kufahamu namna ambavyo nyota zinavyokuwa formed.

Mada nyingine zilizoandaliwa na mwandishi mimi ni
James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani | JamiiForums James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

NASA huwa wanajitahidi Sana kwa kweli.
 
Back
Top Bottom