TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Tumeambiwa na Paskali Mayalla tuache wivu. Kwa nini lakini?Yamkini mleta hii habari wewe mwenyewe ndo R.Kikwete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeambiwa na Paskali Mayalla tuache wivu. Kwa nini lakini?Yamkini mleta hii habari wewe mwenyewe ndo R.Kikwete
Ridhiwan anazeeka haraka. Sura na tumbo vinamtofautisha sana na babakeLike father like Son "?
Jumbe Brown Mungu akulinde Mkuu,Ubarikiwe kijana mwenzangu muelewa na uliye mzalendo ,amen🙏
....IENDELEE KWA KASI ZAIDI NA NGUVU ZAIDI👊
Ndio maana Pf kwako umeweka Mzungu?aisee watanzia wengi bado ni kima waliochangamka.
uzalendo sio kuwa zwazwa.Ndio maana Pf kwako umeweka Mzungu?
Wewe sio mzalendo kabisa
Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake kwa kupeleka Vifaa tiba Hospitali ya Wilaya ya Chalinze vyenye thamani ya Shilingi Milioni 480 ikiwemo mashine ya Kupiga picha za Mionzi yaani X-Ray, Jokofu la kuhifadhia maiti, mashine za kupimia damu na vifaa mbalimbali.
Mhe Ridhiwani Kikwete mbunge wa Jimbo la Chalinze ameishukuru serikali na Rais kwa kutekeleza ahadi hii ndani ya muda wa wiki tatu toka kutolewa kwa ahadi hiyo,
Wananchi wa Kata hiyo wakiongozwa na wakina mama ambao walikuwa wakipokea vifaa hivyo wameshangilia huku wazee wakimuombea Mungu amlinde Rais wa Nchi yetu mama Samia Suluhu Hassan,
Ridhiwani Kikwete ni miongoni mwavijana very humble down the earth mwenye bashasha na furaha kwa Watanzaia wote wakati wote iwe anakujua au hakujui hakika ni mtu mzuri sana|Hongera wanachalinze,
Je? Tutarajie siku moja kijana huyu kukamilisha msemo wa kiingereza unaosema " Like father like Son "?
#Kazi iendelee
View attachment 1959269
View attachment 1959270
View attachment 1959273
View attachment 1959274
Mkuu kwani kila mtu si anahaki ya kugombea nafasi yoyote kwa katiba hiihii?Hayo mambo ya Like Father like Son, sahau ww. Futa hiyo
Naunga mkono kazi nzuri ya Rais Samia,Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake kwa kupeleka Vifaa tiba Hospitali ya Wilaya ya Chalinze vyenye thamani ya Shilingi Milioni 480 ikiwemo mashine ya Kupiga picha za Mionzi yaani X-Ray, Jokofu la kuhifadhia maiti, mashine za kupimia damu na vifaa mbalimbali.
Mhe Ridhiwani Kikwete mbunge wa Jimbo la Chalinze ameishukuru serikali na Rais kwa kutekeleza ahadi hii ndani ya muda wa wiki tatu toka kutolewa kwa ahadi hiyo,
Wananchi wa Kata hiyo wakiongozwa na wakina mama ambao walikuwa wakipokea vifaa hivyo wameshangilia huku wazee wakimuombea Mungu amlinde Rais wa Nchi yetu mama Samia Suluhu Hassan,
Ridhiwani Kikwete ni miongoni mwavijana very humble down the earth mwenye bashasha na furaha kwa Watanzaia wote wakati wote iwe anakujua au hakujui hakika ni mtu mzuri sana|Hongera wanachalinze,
Je? Tutarajie siku moja kijana huyu kukamilisha msemo wa kiingereza unaosema " Like father like Son "?
#Kazi iendelee
View attachment 1959269
View attachment 1959270
View attachment 1959273
View attachment 1959274
Mkuu kwani kila mtu si anahaki ya kugombea nafasi yoyote kwa katiba hiihii?
Nani anajua Mungu anawaza nini juu yake?
Mlipokuwa mnamsifu na kusema Kayafa kajenga hichi au kafanya kile hamkujua hizo hela ni kodi zetu?ACHENI USE.NGE HIZO HELA NI ZA SAMIA AU KODI ZA WANANCHI?
AKILI ZENU ZIPO MAKALI.ONI.
Mlipokuwa mnamsifu na kusema Kayafa kajenga hichi au kafanya kile hamkujua hizo hela ni kodi zetu?
💪🏿💪🏿💪🏿Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake kwa kupeleka Vifaa tiba Hospitali ya Wilaya ya Chalinze vyenye thamani ya Shilingi Milioni 480 ikiwemo mashine ya Kupiga picha za Mionzi yaani X-Ray, Jokofu la kuhifadhia maiti, mashine za kupimia damu na vifaa mbalimbali.
Mhe Ridhiwani Kikwete mbunge wa Jimbo la Chalinze ameishukuru serikali na Rais kwa kutekeleza ahadi hii ndani ya muda wa wiki tatu toka kutolewa kwa ahadi hiyo,
Wananchi wa Kata hiyo wakiongozwa na wakina mama ambao walikuwa wakipokea vifaa hivyo wameshangilia huku wazee wakimuombea Mungu amlinde Rais wa Nchi yetu mama Samia Suluhu Hassan,
Ridhiwani Kikwete ni miongoni mwavijana very humble down the earth mwenye bashasha na furaha kwa Watanzaia wote wakati wote iwe anakujua au hakujui hakika ni mtu mzuri sana|Hongera wanachalinze,
Je? Tutarajie siku moja kijana huyu kukamilisha msemo wa kiingereza unaosema " Like father like Son "?
#Kazi iendelee
View attachment 1959269
View attachment 1959270
View attachment 1959273
View attachment 1959274
💪🏿💪🏿💪🏿 Kazi iendeleeMlipokuwa mnamsifu na kusema Kayafa kajenga hichi au kafanya kile hamkujua hizo hela ni kodi zetu?
💪🏿💪🏿💪🏿 Ritz mtu wa watu sana na hana UshambaushambaVery true
Ila jamaa hapendi misifa kama tunaowafahamu
💪🏿💪🏿💪🏿 CCM chamaChadema ninyi mmeshaacha?
Hakuna kama CCM mkuu,
Hakuna kama Samia
Kwani akipokea yeye Ridhiwani kwenye jimbo lake wewe unapungukiwa nini? Tu punguzeni siasa maandazi.Kwanini vifaa visipokelewe na DED? mambo ya hovyo sn
Mbona una makasiriko sanaACHENI USE.NGE HIZO HELA NI ZA SAMIA AU KODI ZA WANANCHI?
AKILI ZENU ZIPO MAKALI.ONI.