Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan amkumbuka Ridhiwani Kikwete baada ya kusahaulika kwa kipindi kirefu

Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan amkumbuka Ridhiwani Kikwete baada ya kusahaulika kwa kipindi kirefu

Nawasalimu kwa Jina la JMT,


Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake kwa kupeleka Vifaa tiba Hospitali ya Wilaya ya Chalinze vyenye thamani ya Shilingi Milioni 480 ikiwemo mashine ya Kupiga picha za Mionzi yaani X-Ray, Jokofu la kuhifadhia maiti, mashine za kupimia damu na vifaa mbalimbali.

Mhe Ridhiwani Kikwete mbunge wa Jimbo la Chalinze ameishukuru serikali na Rais kwa kutekeleza ahadi hii ndani ya muda wa wiki tatu toka kutolewa kwa ahadi hiyo,

Wananchi wa Kata hiyo wakiongozwa na wakina mama ambao walikuwa wakipokea vifaa hivyo wameshangilia huku wazee wakimuombea Mungu amlinde Rais wa Nchi yetu mama Samia Suluhu Hassan,

Ridhiwani Kikwete ni miongoni mwavijana very humble down the earth mwenye bashasha na furaha kwa Watanzaia wote wakati wote iwe anakujua au hakujui hakika ni mtu mzuri sana|Hongera wanachalinze,

Je? Tutarajie siku moja kijana huyu kukamilisha msemo wa kiingereza unaosema " Like father like Son "?


#Kazi iendelee

View attachment 1959269

View attachment 1959270

View attachment 1959273

View attachment 1959274
1. hawana barakoa; je zinatumika kwa nyakati tu?

2. siyo kazi ya rais kugawa vifaa vya hospitali, labda kama serikali yake ni ndogo kiasi hicho

3. siyo kazi ya mbunge kupokea vifaa vinavyotolewa na serikali katika jimbo lake; anaweza kuwa mtazamaji lakini siyo mpokeaji.
 
Mungu wa Mbinguni asaidie kura za 2025 zisije zikawa kura za mwitikio wa chanjo covid -19.
 
Wewe ndiwe Riziwani mwenyewe. Usjali mkuu Next week tunakutunuku uwaziri wa madini. 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
 
Yaani baba yake Ubunge miaka sijui 20,huyu naye sijui kumi.yaani walishindwa kuleta x-ray machine?
Watu wa Pwani hawafai uongozi,wanachoweza ni mdundiko tu na kazi ya kitandani.
 
Ndugu zangu, hii hali ya kupenda kusema hiki katoa Rais sio sahihi. Rais anasimamia serikali, ndiyo inayowajibika. Siamini kama anaridhishwa na hizi lugha za kusifia. Sio nzuri sana. Turejee kwenye mstari kwa kusema Serikali imefanya hiki, Imefanya kile.
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,


Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake kwa kupeleka Vifaa tiba Hospitali ya Wilaya ya Chalinze vyenye thamani ya Shilingi Milioni 480 ikiwemo mashine ya Kupiga picha za Mionzi yaani X-Ray, Jokofu la kuhifadhia maiti, mashine za kupimia damu na vifaa mbalimbali.

Mhe Ridhiwani Kikwete mbunge wa Jimbo la Chalinze ameishukuru serikali na Rais kwa kutekeleza ahadi hii ndani ya muda wa wiki tatu toka kutolewa kwa ahadi hiyo,

Wananchi wa Kata hiyo wakiongozwa na wakina mama ambao walikuwa wakipokea vifaa hivyo wameshangilia huku wazee wakimuombea Mungu amlinde Rais wa Nchi yetu mama Samia Suluhu Hassan,

Ridhiwani Kikwete ni miongoni mwavijana very humble down the earth mwenye bashasha na furaha kwa Watanzaia wote wakati wote iwe anakujua au hakujui hakika ni mtu mzuri sana|Hongera wanachalinze,

Je? Tutarajie siku moja kijana huyu kukamilisha msemo wa kiingereza unaosema " Like father like Son "?


#Kazi iendelee

View attachment 1959269

View attachment 1959270

View attachment 1959273

View attachment 1959274
Hawa waTanzania kweli hawana habari na Corona!
Kuna kitu hakiko sawa mahala fulani.
 
"Je? Tutarajie siku moja kijana huyu kukamilisha msemo wa kiingereza unaosema " Like father like Son "?

Kwani yeye, babaake, mamaake na nduguze hawawezi Ku RIP kabla hayo hayajatokea?
 
Hongera sana Rais Samia,

Hongera sana Mbunge Ridhiwani Kikwete

Halafu amwambie mpiga picha wake wenye vitambi awe anawapanga nyuma kwani wakiwa mbele wanatia hasira nanni uchochezi wa kuvunja amani yetu
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,


Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake kwa kupeleka Vifaa tiba Hospitali ya Wilaya ya Chalinze vyenye thamani ya Shilingi Milioni 480 ikiwemo mashine ya Kupiga picha za Mionzi yaani X-Ray, Jokofu la kuhifadhia maiti, mashine za kupimia damu na vifaa mbalimbali.

Mhe Ridhiwani Kikwete mbunge wa Jimbo la Chalinze ameishukuru serikali na Rais kwa kutekeleza ahadi hii ndani ya muda wa wiki tatu toka kutolewa kwa ahadi hiyo,

Wananchi wa Kata hiyo wakiongozwa na wakina mama ambao walikuwa wakipokea vifaa hivyo wameshangilia huku wazee wakimuombea Mungu amlinde Rais wa Nchi yetu mama Samia Suluhu Hassan,

Ridhiwani Kikwete ni miongoni mwavijana very humble down the earth mwenye bashasha na furaha kwa Watanzaia wote wakati wote iwe anakujua au hakujui hakika ni mtu mzuri sana|Hongera wanachalinze,

Je? Tutarajie siku moja kijana huyu kukamilisha msemo wa kiingereza unaosema " Like father like Son "?


#Kazi iendelee

View attachment 1959269

View attachment 1959270

View attachment 1959273

View attachment 1959274
Lake oil wanapeleka nini?
 
"Je? Tutarajie siku moja kijana huyu kukamilisha msemo wa kiingereza unaosema " Like father like Son "?

Kwani yeye, babaake, mamaake na nduguze hawawezi Ku RIP kabla hayo hayajatokea?
Ni Ushamba na roho mbaya tu Mkuu ndio inakupa shida
 
Back
Top Bottom