Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan amkumbuka Ridhiwani Kikwete baada ya kusahaulika kwa kipindi kirefu


Hayo mambo ya Like Father like Son, sahau ww. Futa hiyo
 
Naunga mkono kazi nzuri ya Rais Samia,
H. E. is doing Wonders ever,
Nitamchagua 2025 lazima,
 
Habari kama hizi tumezoea kusikia kutoka Chato.
 
Huko CHALINZE pia ni Tanzania tusibaguane ukienda huko utapata matibabu kwa vifaa hivyo hivyo, cha msingi mama ajitahidi Hospitali zote zipate vifaa bora ili wananchi tusipate taabu.
 
Mkuu kwani kila mtu si anahaki ya kugombea nafasi yoyote kwa katiba hiihii?
Nani anajua Mungu anawaza nini juu yake?

Haaa, ww ujue kuna mtu na ntu..

Dalili ya mvua ni mawingu, ww unaona kabisa hata dot la wingu hakuna, jua kaliiii tiiiiiii alafu unasema mvua inakaribia kunyesha.

Urais ni hadi Mungu akubali na dalili unaziona mapema.
 
πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…