sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
Mkuu mimi hata kuumwa labda nipende! Nimeshajua how desease comes na how to remove them...kwangu ugonjwa labda ni fructure tuMkuu kwani wewe ukiumia njia gani?
Kama
X-Ray hutaki
CT scan hutaki,
MRI hutaki,
1. hawana barakoa; je zinatumika kwa nyakati tu?Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake kwa kupeleka Vifaa tiba Hospitali ya Wilaya ya Chalinze vyenye thamani ya Shilingi Milioni 480 ikiwemo mashine ya Kupiga picha za Mionzi yaani X-Ray, Jokofu la kuhifadhia maiti, mashine za kupimia damu na vifaa mbalimbali.
Mhe Ridhiwani Kikwete mbunge wa Jimbo la Chalinze ameishukuru serikali na Rais kwa kutekeleza ahadi hii ndani ya muda wa wiki tatu toka kutolewa kwa ahadi hiyo,
Wananchi wa Kata hiyo wakiongozwa na wakina mama ambao walikuwa wakipokea vifaa hivyo wameshangilia huku wazee wakimuombea Mungu amlinde Rais wa Nchi yetu mama Samia Suluhu Hassan,
Ridhiwani Kikwete ni miongoni mwavijana very humble down the earth mwenye bashasha na furaha kwa Watanzaia wote wakati wote iwe anakujua au hakujui hakika ni mtu mzuri sana|Hongera wanachalinze,
Je? Tutarajie siku moja kijana huyu kukamilisha msemo wa kiingereza unaosema " Like father like Son "?
#Kazi iendelee
View attachment 1959269
View attachment 1959270
View attachment 1959273
View attachment 1959274
Ndio Tanzania yetu ssa tukitaka katiba mpyaaa mnatuita magaidi sawa ngoja twende tutafika tu kwenye sauti ya mziki unapotokeaKwanini vifaa visipokelewe na DED? mambo ya hovyo sn
Maandalizi hayoHizi promo si bure
Maandalizi ya nini mkuu?Maandalizi hayo
Haaa, ww ujue kuna mtu na ntu..
Dalili ya mvua ni mawingu, ww unaona kabisa hata dot la wingu hakuna, jua kaliiii tiiiiiii alafu unasema mvua inakaribia kunyesha.
Urais ni hadi Mungu akubali na dalili unaziona mapema.
πͺπΏπͺπΏπͺπΏ Ritz mtu wa watu sana na hana Ushambaushamba
Habari kama hizi tumezoea kusikia kutoka Chato.
Hawa waTanzania kweli hawana habari na Corona!Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake kwa kupeleka Vifaa tiba Hospitali ya Wilaya ya Chalinze vyenye thamani ya Shilingi Milioni 480 ikiwemo mashine ya Kupiga picha za Mionzi yaani X-Ray, Jokofu la kuhifadhia maiti, mashine za kupimia damu na vifaa mbalimbali.
Mhe Ridhiwani Kikwete mbunge wa Jimbo la Chalinze ameishukuru serikali na Rais kwa kutekeleza ahadi hii ndani ya muda wa wiki tatu toka kutolewa kwa ahadi hiyo,
Wananchi wa Kata hiyo wakiongozwa na wakina mama ambao walikuwa wakipokea vifaa hivyo wameshangilia huku wazee wakimuombea Mungu amlinde Rais wa Nchi yetu mama Samia Suluhu Hassan,
Ridhiwani Kikwete ni miongoni mwavijana very humble down the earth mwenye bashasha na furaha kwa Watanzaia wote wakati wote iwe anakujua au hakujui hakika ni mtu mzuri sana|Hongera wanachalinze,
Je? Tutarajie siku moja kijana huyu kukamilisha msemo wa kiingereza unaosema " Like father like Son "?
#Kazi iendelee
View attachment 1959269
View attachment 1959270
View attachment 1959273
View attachment 1959274
Hongera sana Rais Samia,
Hongera sana Mbunge Ridhiwani Kikwete
Kama kawaida yako.Kubusu ushuzi.Kaanzishe uzi.ππππYeye ndio Mhazini Mkuu,
Niyeye mwenye kauli ya mwisho na ni yeye mtamuhoji 2025
watu wanaroho mbaya tuKwani akipokea yeye Ridhiwani kwenye jimbo lake wewe unapungukiwa nini? Tu punguzeni siasa maandazi.
Lake oil wanapeleka nini?Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake kwa kupeleka Vifaa tiba Hospitali ya Wilaya ya Chalinze vyenye thamani ya Shilingi Milioni 480 ikiwemo mashine ya Kupiga picha za Mionzi yaani X-Ray, Jokofu la kuhifadhia maiti, mashine za kupimia damu na vifaa mbalimbali.
Mhe Ridhiwani Kikwete mbunge wa Jimbo la Chalinze ameishukuru serikali na Rais kwa kutekeleza ahadi hii ndani ya muda wa wiki tatu toka kutolewa kwa ahadi hiyo,
Wananchi wa Kata hiyo wakiongozwa na wakina mama ambao walikuwa wakipokea vifaa hivyo wameshangilia huku wazee wakimuombea Mungu amlinde Rais wa Nchi yetu mama Samia Suluhu Hassan,
Ridhiwani Kikwete ni miongoni mwavijana very humble down the earth mwenye bashasha na furaha kwa Watanzaia wote wakati wote iwe anakujua au hakujui hakika ni mtu mzuri sana|Hongera wanachalinze,
Je? Tutarajie siku moja kijana huyu kukamilisha msemo wa kiingereza unaosema " Like father like Son "?
#Kazi iendelee
View attachment 1959269
View attachment 1959270
View attachment 1959273
View attachment 1959274
Ni Ushamba na roho mbaya tu Mkuu ndio inakupa shida"Je? Tutarajie siku moja kijana huyu kukamilisha msemo wa kiingereza unaosema " Like father like Son "?
Kwani yeye, babaake, mamaake na nduguze hawawezi Ku RIP kabla hayo hayajatokea?