Hatimaye Rais wa FIFA akiri, ataja sababu ya Argentina kushinda kombe la Dunia

Ishu sio kupewa penati ishu ni izo penati unapewa katika namna ipi? Penati za ufaransa zote zilikua halali ila ile ya argentina ukiangalia vizuri replay utaona di maria hakuguswa
Penalty ya pili ya Ufaransa haikua halali, alie peleka mpira kwa mbape alitumia mkono , haikupaswa kuwa Penalty
 
Statistical gaucho hamgusi ata Neymar
Tatizo mchezaji siku hizi anapimwa kwa magoli na assists pekee, kitu ambacho kimepelekea wanaocheza nafasi za nyuma kutoonekana kama wachezaji bora..

Unakuta mtu kama Lewandowsk anatajwa kama mcheza bora kisa tu anafunga sana magoli, lakini nje ya hapo hana tofauti na Bocco.

Mpira sio takwimu tu maana kuna siku hayo magoli hayapatikani, sasa mtu anayeangalia huo mpira anafurahia kipi?, ukipata majibu ndo utajua Gaucho, Zidane, Delima na wanaofanana na hao ndo wachezaji bora ila hao wengine ni wafungaji bora.

Mchezaji kama Maradona kitakwimu hata Giroud anamzidi mbali sana ila ukitaja wachezaji bora watano kuwahi kutokea lazima awepo tena ndani ya nafasi tatu za mwanzo.
 
yani unasema cr7 hana kipaji halafu unasema mbappe anakipaji? fuc*n.
 
Kwan messi hajafunga goli la mkono?
 
Napenda mpira lakini huwa sitaki kuwa kwenye kiwango cha ushabiki ambacho kitanifanya nionekane kama mtu aliyepagawa. Ndiyo maana hata hili kombe la dunia sijaangalia hata mechi moja zaidi, ya kupewa matokeo.....
 
Kweli Kabisa Ndugu Yangu Messi Ameikuta Barca Ya Moto , 2006 Unaikumbuka Fainali Vs Arsenal
 
Tuacheni unazi. Kama wanabebwa kwanini awamu zote za penati wasingewatoa Argentina? Zile penat kipa alizokuwa akicheza nazo ni hujuma?
Penat walikuwa wanapiga FIFA ndio maana wakawa wanakosa makusudi.
 
Pole sana mleta uzi kwa kuumizwa na ushindi wa Argentina. Miaka minne ijayo mtoe ushauri kwa Ronaldo naye ashinde muweze ushangilia. Sis wengine tunafurahia tu kuangalia mpira
 
Ila barca hyo hyo ya Messi ilitolewa na united mwaka 2009 Kwa Bao maridadi la Paul Scholes. Mmekazana tu fainali.
 
We jamaa acha kuota lini Madrid kaondolewa ufalme na uyo Messi akiwepo Barcelona watu wame win la Liga Title mara 35 watu Wana champions league 14 Huku nyingine wabeba wakati Messi anacheza Barcelona 2014,2016,2017,2018 kuwa na adabu na Real Madrid
 

kwani Messi hajawahi kufunga goli la mkono?
 
We jamaa acha kuota lini Madrid kaondolewa ufalme na uyo Messi akiwepo Barcelona watu wame win la Liga Title mara 35 watu Wana champions league 14 Huku nyingine wabeba wakati Messi anacheza Barcelona 2014,2016,2017,2018 kuwa na adabu na Real Madrid

Uefa wamebeba mangapi wakati wa mfalme?

La liga wamebeba mangapi wakati wa mfalme?

Copa del Rey?

Super copa?

Ballon d'Or?

Anzia mwaka ambao messi ameingia rasmi fc barca
 
Messi apewe kila kitu mpaka UGOAT ila gaucho aachwe na abaki kuwa Gaucho wala asitajwe tajwe. Kipindi chake kilikuwa kifupi cha burudani sana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…