Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alibadiri kila kitu Spain kipi?. Kuisawazishia Barca ndio tayari kubadiri?.Messi ndie mchezaji bora zaidi ulimwenguni kuwahi kutokea, tusipingane na hili.
Ndani ya Nou Camp Madrid ilokuwa na mastaa kibao iliicharaza Barca bao 3. Messi akaingia akitokea sub, kipindi hiko ana miaka 19.
Messi anaweka Hat Trick na kuinusuru Barca, humo ndani madrid kulikuwa na Zidane, Ramos, Carlos, De Lima, Raul na mastaa wengi sana.
Toka wakati huo, Barca ikavunja uteja wa Madrid. Toka Messi apewe nafasi Barca, 80% ya kombe la Ligi limetua Barca.
Alibadili kila kitu pale Spain.
Sinaga masuala ya uteam kwa kweli yaani iyo sio kwenye soka tu hata dini siasa n.k mtu awe chadema au ccm, awe mkristo au muislamu pale ambapo jambo halipo sawa nasema hapa sio sawa pale ambapo lipo sawa nasema hapa ni sawaKwani uongo ninyi sio team ronaldo?
Umezipitia hizo nukuu za viongozi anao wasema ama na wewe umeunga mkono kwasababu alichokiandika kinaendana na hisia zako?.Mashabiki wa messi mnalazimisha kubadilisha upepo wa mada., mtoa mada kajenga hoja yake kwa kuoanisha maneno ya baadhi ya wachezaji na maofisa wanaohusika na uendeshaji wa hii michano kwa kuonesha kuna uwezekano kwamba ilipangwa messi achukue hili kombe ilitakiwa mtoe hoja zenu kwa kuangazia mada husika cha kushangaza mnaleta story za ushindani wa ronaldo na messi., mfano penati aliyopewa argentina kwenye fainali ilikua mbeleko kwa sababu di maria akuguswa hapo ulitakiwa kupinga kwa kusema ile ilikua penati halali kwa sababu hii hapa... sio hayo mambo mengine hayo mambo ya rekodi, ballon dor sijui messi kuchukua vijiji wote tunayajua toeni hoja zenu kwa kuangazia mada husika
Assuming Pele na Maradona ni untouchables na hawamo kwenye listMessi ndie mchezaji bora zaidi ulimwenguni kuwahi kutokea, tusipingane na hili.
KabisaKwa mpira nlioona Messi akicheza jana basi anastahili alichokipata.
Hahahhaha sasa mpaka world cup ijayo si atakua babu maana saiv ana miaka 30 mpaka 2026 atakua 34 alafu kumbuja huo ni umri wa mpira sio umri wake halisiSamatta nae aende PSG, kombe la dunia tamu bna
Amekiri nini? Hv akili yako umeiazima au umeiweka matakoni.View attachment 2451867
Kwa Tafsiri ya Kiswahili ni " Ingekuwa sio haki Kama Messi angestaafu bila kushinda kombe la Dunia"
Kumbuka na Hawa walishatabiri Argentina itabeba kombe baada ya kuona Mambo yalivyokuwa yakienda
View attachment 2451868
Uenda hao viongozi walimaanisha kitu kingine na mtoa mada akaelewa vingine lakini nilichomwelewa mtoa mada alichotaka kusema ni kwamba kulikua na mpango wa kuwezesha messi achukue world cupUmezipitia hizo nukuu za viongozi anao wasema ama na wewe umeunga mkono kwasababu alichokiandika kinaendana na hisia zako?.
Dah!!
Aiseematakoni
Huwa najiuliza kama messi angecheza zama za pele na maradona je angeweza kuwafunika? Na kama maradona na pele wangecheza zama za messi je wangeweza kumfunika.. huu mjadala ni mgumu sana maana wote wamecheza vizazi tofauti binafsi natamani sana ningewashuhudia hawa magwiji wawili wakicheza, nimeangalia video zao tatizo youtube hakuna mchezaji mbovu uko ukiangalia video za fellain unaweza kusema alikua zaidi ya zidaneAssuming Pele na Maradona ni untouchables na hawamo kwenye list
Messi hawezi kuwa juu ya Pele.
Cc hivi hauhisi chchte kunihusu😊Kabisa
HahahahahaAmekiri nini? Hv akili yako umeiazima au umeiweka matakoni.
Kuna nn mpenzCc hivi hauhisi chchte kunihusu😊
Mh,are you lovelovie?😳🙊Cc hivi hauhisi chchte kunihusu😊
Zidane huyohuyo akasema actually CR7 is better than Messi😊Zidane ameshasema Messi hana mpinzani.View attachment 2452037