Hatimaye Rais wa FIFA akiri, ataja sababu ya Argentina kushinda kombe la Dunia

Hatimaye Rais wa FIFA akiri, ataja sababu ya Argentina kushinda kombe la Dunia

Uenda hao viongozi walimaanisha kitu kingine na mtoa mada akaelewa vingine lakini nilichomwelewa mtoa mada alichotaka kusema ni kwamba kulikua na mpango wa kuwezesha messi achukue world cup
Sawa, ila mimi sikuwa na shida na alichokiandika jamaa, nilipata shida ulichokiandika wewe uliposema" mleta mada kajenga hoja" ilhali jamaa hajajenga hoja bali ni mtu mwenye hisia zake na ili kuzi- justfy hisia hizo akaamua kukufanya nukuu za watu na kuzipa tafsiri anayotaka yeye na kuziweka Jf kama ushahidi.
 
Mashabiki wa messi mnalazimisha kubadilisha upepo wa mada., mtoa mada kajenga hoja yake kwa kuoanisha maneno ya baadhi ya wachezaji na maofisa wanaohusika na uendeshaji wa hii michano kwa kuonesha kuna uwezekano kwamba ilipangwa messi achukue hili kombe ilitakiwa mtoe hoja zenu kwa kuangazia mada husika cha kushangaza mnaleta story za ushindani wa ronaldo na messi., mfano penati aliyopewa argentina kwenye fainali ilikua mbeleko kwa sababu di maria akuguswa hapo ulitakiwa kupinga kwa kusema ile ilikua penati halali kwa sababu hii hapa... sio hayo mambo mengine hayo mambo ya rekodi, ballon dor sijui messi kuchukua vijiji wote tunayajua toeni hoja zenu kwa kuangazia mada husika
Kwa hiyo Goli la pili nalo walibebwa na la tatu wakabebwa? maana hayo mawili hayakuwa ya penalti

Very poor argument , tunaojua kubebwa tuliyaona mengi mechi za vilabu vya kwetu na vile vya arabuni.
.
 
Kwa hiyo Goli la pili nalo walibebwa na la tatu wakabebwa? maana hayo mawili hayakuwa ya penalti

Very poor argument , tunaojua kubebwa tuliyaona mengi mechi za vilabu vya kwetu na vile vya arabuni.
.
Bora umwambie wewe pengine ataelewa.
 
Mwenye walipiga ban mwez November mwanzoni😂😂
😂😂Pole ulifanya nn?!
Mim kuna lijamaa si lilinutukana mno nkalinyamazia, badae likazidisha kisa nalijibu kishkaji. Eeh nililimwagia mitusi sijui niliitoa wapi baada ya muda kidg nmepigwa ban.
 
Unapata haya maumivu ukiwa wapi?
JamiiForums1588239608.jpg
 
Walaumuni Saudi Àrabia, kitendo cha wao kuifunga Argentina kiliwapa morali Waargentina ya kumfumua kila aliyejitokeza mbele yao.
 
Haujaelewa nimesema nini. Nilikua nampa jamaa muongozo ninkwa namna gani anaweza kutilika hoja yake bila kumuhisha ronaldo.. tukija kwenye ulichokiongea kama goli la pili na la tatu halikua za penati haibadilishi ukweli kuhusu goli la kwanza katika moments kama hizi chochote kina nafasi yake ilo goli moja tu linaweza likabadili mchezo mzima hata modric alilalamika penati walifungwa dhidi ya argentina haikua halali na ilibadilisha mchezo maana kabla ya hapo walikua washaikamata game
Kwa hiyo Goli la pili nalo walibebwa na la tatu wakabebwa? maana hayo mawili hayakuwa ya penalti

Very poor argument , tunaojua kubebwa tuliyaona mengi mechi za vilabu vya kwetu na vile vya arabuni
 
Haujaelewa nimesema nini. Nilikua nampa jamaa muongozo ninkwa namna gani anaweza kutilika hoja yake bila kumuhisha ronaldo.. tukija kwenye ulichokiongea kama goli la pili na la tatu halikua za penati haibadilishi ukweli kuhusu goli la kwanza katika moments kama hizi chochote kina nafasi yake ilo goli moja tu linaweza likabadili mchezo mzima hata modric alilalamika penati walifungwa dhidi ya argentina haikua halali na ilibadilisha mchezo maana kabla ya hapo walikua washaikamata game
images-9.jpg
 
Back
Top Bottom