Mashabiki wa messi mnalazimisha kubadilisha upepo wa mada., mtoa mada kajenga hoja yake kwa kuoanisha maneno ya baadhi ya wachezaji na maofisa wanaohusika na uendeshaji wa hii michano kwa kuonesha kuna uwezekano kwamba ilipangwa messi achukue hili kombe ilitakiwa mtoe hoja zenu kwa kuangazia mada husika cha kushangaza mnaleta story za ushindani wa ronaldo na messi., mfano penati aliyopewa argentina kwenye fainali ilikua mbeleko kwa sababu di maria akuguswa hapo ulitakiwa kupinga kwa kusema ile ilikua penati halali kwa sababu hii hapa... sio hayo mambo mengine hayo mambo ya rekodi, ballon dor sijui messi kuchukua vijiji wote tunayajua toeni hoja zenu kwa kuangazia mada husika