Hatimaye Simba wafanikiwa kuchukua kombe la kuifunga Yanga 😄

watakabidhiwa lini kombe lake??HAHAHA MAKOLO BANA!KWELI RAGE HAKUKOSEA
 
Reporter : umefungwa mara tatu na robertinyo unazungumziaje hilo swala

Nabi: I don't know robetinyo we are leading the league by 5 point ila nataka referee awe professional na amuogope mungu.

Kumbe jamaa kiswahili anajua sema kuna mda anajizima data na mkalimani wake.
 
jana ndo nimeamini yanga kubwa sana kwa simba...mpaka leo hii wanatusumbua mtaani kisa kumfunga yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…