Hatimaye Siri za ATCL zaanza kuvuja, ni kuhusu ndege ya Bombardier

Hatimaye Siri za ATCL zaanza kuvuja, ni kuhusu ndege ya Bombardier

Mgao wa umeme nautia akilini 1991,mkapa akaleta net group solutions,waka-manage vibaya mabwawa,kufika 2006 Hali mbaya,udom ilianza na jengo la chimwaga,2006,baadae ndiyo yakajengwa majengo mengine taratibu,hakijakamilika mpaka leo

sawa angalau waliomwafwatia waliweza kuendeleza miradi alioanzisha raisi kikwete na vitu vinaonekana na ndivyo inavyopaswa kuwa na kila anayekuja aendeleze alioanzisha raisi kikwete, sasa hivi tunaona bwawa la Nyerere aliloasisi kikwete linajengwa, sgr aliyoasisi kikwete inajengwa, daraja la baharini la salenda aliloasisi raisi kikwete hata limekamilika, flyovers dar alizoanzisha raisi kikwete hata zilikamilika, shirika la air tanzania aliloanzisha raisi kikwete leo lina ndege zaidi ya 10, hivyo ni mema tu na waliomfwatia walimuenzi haswa na anapaswa kuwa proud sana na kazi yake …
 
sawa angalau waliomwafwatia waliweza kuendeleza miradi alioanzisha raisi kikwete na vitu vinaonekana na ndivyo inavyopaswa kuwa na kila anayekuja aendeleze alioanzisha raisi kikwete, sasa hivi tunaona bwawa la nyerere aliloasisi kikwete linajengwa, sgr aliyoasisi kikwete inajengwa, daraja la baharini la salenda aliloasisi raisi kikwete hata limekamilika, flyovers dar alizoanzisha raisi kikwete hata zilikamilika, shirika la air tanzania aliloanzisha raisi kikwete leo lina ndege zaidi ya 10, hivyo ni mema tu na waliomfwatia walimuenzi haswa na anapaswa kuwa proud sana na kazi yake …

Kweli kabisaa
 
Kama na wewe hujaelewa hii news na unahitaji alieelewa afafanue vizuri, gonga like watufafanulie kiundani.
Hapo zamani za kale kabla ATCL haijafufuliwa.
Ilikuwa na hizo ndege mbili za kizamani.
Moja ilianguka Kigoma na nyingine ndio hiyo iliyopelekwa Malta kwa ajili ya service.
download (2).jpeg
 
Hivyo ndivyo habari ilivyo, lakini Je ulijua kwamba kumbe ilikuwa ndege ya watu?
Kweli enzi ya mwendazake angekubali cha mbia! Hata wale wengine si aliwapiga vita.
ATCL kuweni wakweli msiwaone waTz mazuzu !
 
Ndege zote za bombardier alizonunua Hayati Magufuli ni dash 8 -Q400. Ambazo ni model mpya ya iyo Q300 ambayo imekwama kule Malta.

Tuwe tunaelewa haya mambo ndugu zanguni kabla ya kuleta mada humu.
Unadhani hawaelwi??sema tu stori ikiwa hivyo na ukweli ""haiwi tamu""
 
Kweli enzi ya mwendazake angekubali cha mbia! Hata wale wengine si aliwapiga vita.
ATCL kuweni wakweli msiwaone waTz mazuzu !
Hii sio ya Magu. Hii ni pamoja na lile dubwasha lilioanguka Kigoma zamani.haya yalikuwa way before Magu
 
Back
Top Bottom