Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Kikojozi amka umejikojolea wewe muuza minyooUko uzi wa mwanzo hapo juu , sasa nao uandike kama hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikojozi amka umejikojolea wewe muuza minyooUko uzi wa mwanzo hapo juu , sasa nao uandike kama hivi
Pompoms mwenye akili ya funzajiongeze sana
Unanuka uvundoWacha weee !!!
Mimi siipendi CCM ila kama ukuelewa utetezi wa atcl,ile bombadier dash-q300 ile ndege ilikuja kipindi cha jakaya kupambana na fast jet, bombadier alizozinunua magu ni dash-q400, halafu kwenye aviation mambo ya ku lease ndege ni kawaida kabisa hata kq na Ethiopia airline kuna baadhi ya ndege ni kukodisha na zingine watu wamewekeza (wabia).Kwahiyo kumbe tulipigwa fix kwamba ndege zote ni zetu , kumbuka kila ndege iliyokuja tulifanya maandamano pale Airport .
mbona kama habari inasema ni za wakati wa raisi kikwete? Na hakuna uhusiano na ndege zilizonunuliwa post uraisi wa raisi kikwete? au kuna kitu sijakielewa kwenye hiiyo habari?
TTCL tena?Mimi siipendi ccm ila kama ukuelewa utetezi wa ttcl,ile bombadier dash-q300 ile ndege ilikuja kipindi cha jakaya kupambana na fast jet,bombadier alizozinunua magu ni dash-q400,halafu kwenye aviation mambo ya ku lease ndege ni kawaida kabisa hata kq na ethiopia airline kuna baadhi ya ndege ni kukodisha na zingine watu wamewekeza (wabia)
Kwahiyo?Mimi siipendi ccm ila kama ukuelewa utetezi wa ttcl,ile bombadier dash-q300 ile ndege ilikuja kipindi cha jakaya kupambana na fast jet,bombadier alizozinunua magu ni dash-q400,halafu kwenye aviation mambo ya ku lease ndege ni kawaida kabisa hata kq na ethiopia airline kuna baadhi ya ndege ni kukodisha na zingine watu wamewekeza (wabia)
Akijibu nistueUlikuwa unalijua hilo
Jiwe alikuwa ni fisadi mkuu
Pia tuliambiwa kuwa hizo ndege zote zililipwa cashiiii na Serikali yetu tajiriKwahiyo kumbe tulipigwa fix kwamba ndege zote ni zetu , kumbuka kila ndege iliyokuja tulifanya maandamano pale Airport .
Yaani kuchakachua kila sehemu na kuingeza sifuri ni kawaidaNi kawaida ya Chama changu ikiwemo kwenye matokeo ya kura!
Hasa kwa CCM hiiKuishi kwingi kuona mengi
Wizi mkubwa ilikuwa chini ya JiweUmesoma lakini hiyo habari?
Awamu ya JK haikuwahi kupokea ndege airport.
Chini ya Kikwete mbona hatukuona sherehe za ndege mpya?mbona kama habari inasema ni za wakati wa raisi kikwete? Na hakuna uhusiano na ndege zilizonunuliwa post uraisi wa raisi kikwete? au kuna kitu sijakielewa kwenye hiiyo habari?
Chini ya CCM lolote linawezekanaSiku tukiambiwa hata ile kubwa ya kubeba vitunguu kwenda China siyo yetu tusishangae .
Ikiwa nzima ya ATCL lakini ikiwa mbovu ni ya Wabia !
Wataelewa tu.
Never trust anybodyKwahiyo kumbe tulipigwa fix kwamba ndege zote ni zetu , kumbuka kila ndege iliyokuja tulifanya maandamano pale Airport .
Hapa kuna uhuni wa watu kutaka kupora ndege zote za ATCL ili ziwe za binafsi.Siku tukiambiwa hata ile kubwa ya kubeba vitunguu kwenda China siyo yetu tusishangae .
Ikiwa nzima ya ATCL lakini ikiwa mbovu ni ya Wabia !