Hatimaye Siri za ATCL zaanza kuvuja, ni kuhusu ndege ya Bombardier

Hatimaye Siri za ATCL zaanza kuvuja, ni kuhusu ndege ya Bombardier

Hiyo siri ya Wabia ilikuwepo ?
Hakuna siri hapo!

Awamu ya nne ATCL ilikuwa na ndege za kukodi na ilikuwa wazi.

Ile kesi ya David Mataka pale Kisutu ilihusu upigaji kwenye huo ukodishaji uliopelekea serikali kupata hasara ya 71B.
 
Hebu jisomee mwenyewe huu utetezi duni .

View attachment 2864800
View attachment 2864805
Kwenye huu utawala wa Samia unaodhibitiwa na wahuni tutatapeliwa hadi mali zetu kama ndege zilizonunuliwa kwa cash money chini ya Magufuli. Sasa unaona tunapenyezewa eti ndege mbili zilinunuliwa kwa ubia. Yaani hapa ni wale wezi wakupiga hela ndefu za umma wanaanza kujenga mchoro. Watanzania tusije kubali maana saa hizi wameshatengeneza pengine documents za kugushi.

Hii Serikali ya CCM isipoangalia kwa michoro ya hivi itakuwa ya mwisho.
 
Kwennye huu utawala wa samia unaodhibitiwa na wahuni tutatapeliwa hadi mali zetu kama ndege zilixonunuliwa kwa cash money chini ya magufuli. Sass unaona tunapenyezewa eti ndege mbili zilinunuliwa kwa ubia. Yaani hapk ni wale wezi wakupiga hela ndefu wanasnza kujenga mchoro. Watanzania tusije kubali maana saa hizi wameshatengeneza pengine documents za kugushi.
Hili hapa jingine. Hivi shule mlienda kusomea ujinga. Umesoma na kuelewa habari yenyewe au umetoka kushindilia kimpumu unakurupuka tu na kuandika kilichopo kichwani.
 
Umesoma lakini hiyo habari?

Awamu ya JK haikuwahi kupokea ndege airport.
Jamaa kaokoteza habar na kuirukia bila kusoma kwa kina.

Inasikitiisha sana. Muda mwingine tujifunze kusoma habari kwa kina I hope alitaka kumnanga mwenda zake.

He has left already. Let him continue resting in peace. His job was done successfully as God's plan.
 
Ajabu hili jinga ndio linajinadi kwamba ni think-tank wa Chadema.
Aliponaswa na habari fake na anakuja na utetezi wa kitoto.No research no right to announce.
Unachangia uzi huu huu au mwingine?
 
Hii ndege ilipokelewa awamu ya nne Vasco Da Gama akiwa pale juu kileleni. Tuliaminishwa kuwa ATCL imeanza kununua ndege zake yenyewe na imeanza na Brand new Bombardier Q 300. Mataka akiwa MD enzi hizo. 🤔
 
Kwahiyo kumbe tulipigwa fix kwamba ndege zote ni zetu , kumbuka kila ndege iliyokuja tulifanya maandamano pale Airport .

Q300 zilikuwepo/ilikuwepo kabla ya JPM, JPM alianza kununua Q400.

Naikumbuka Q300 ndio ndege pekee iliyokuwa inamilikiwa na ATCL awamu ya nne ya JK.

tumpongeze sana JPM kwakulipa uwezo shirika letu la ndege ATCL kwa kuwanunulia ndege ambazo zote ni mali yetu hatudaiwi na mtu yeyote, kilichobaki ni wapumba u walewale waliofilisi shirika miaka ya nyuma kwa kupenda vya bure na akili finyu kulitafuna tena.

ATCL huko nyuma ikiitwa ATC kabla ya JPM ilipitia shida nyingi sana kuanzia ile Alliance air iliyokuwa joint venture ATC na SA, wajinga wakapiga maisa yakaendelea.

RIP JPM
 
Q300 zilikuwepo/ilikuwepo kabla ya JPM, JPM alianza kununua Q400.

Naikumbuka Q300 ndio ndege pekee iliyokuwa inamilikiwa na ATCL awamu ya nne ya JK.

tumpongeze sana JPM kwakulipa uwezo shirika letu la ndege ATCL kwa kuwanunulia ndege ambazo zote ni mali yetu hatudaiwi na mtu yeyote, kilichobaki ni wapumba u walewale waliofilisi shirika miaka ya nyuma kwa kupenda vya bure na akili finyu kulitafuna tena.

ATCL huko nyuma ikiitwa ATC kabla ya JPM ilipitia shida nyingi sana kuanzia ile Alliance air iliyokuwa joint venture ATC na SA, wajinga wakapiga maisa yakaendelea.

RIP JPM
Kuna kajaaamaaa kauza minyoo ka chadema kanarukiaga Habari kanaitwa ka Erythrocyte ni kakilaza balaaa
 
Ndege ya 2008 hiyo wewe mpare wawapi hujui kusoma?
Mtani wangu alikurupuka akajua ukweli akajisahihisha.Wapare mabahili lakini wana akili za kupambanua ukweli.
 
Back
Top Bottom