kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Kama Isidingo imeisha na bado dadaangu haujaolewa wewe ujue ndo bas tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh! 1996 labda ilikuwa EgoliMi nilianza kuiona mwaka 1996.. bora ilivyoisha..
Sijakuelewa mkuu, unauliza ama? Maana sentensi zako mwisho zinaviulizoHii si ndo tamthilia washiriki wanakufa kweli?
Ukisikia mtu anaumwa au kafa ujue kafa kweli?
Tamthilia miaka 40???
Egoli! Place of goldIlianza baada ya kukatishwa Egoli,niliipenda sana egoli japo nilikua sielewi lugha ya mzungu. Kisha ikaja isidingo,nilivutiwa na sare za shule za letti kama za akina sarafina vile
Nilianza kuiangalia Tangu mwaka 1999Kupitia kituo cha ITV Leo tamthilia ya Isidingo the need imefikia tamati,kwa kumbukumbu sikumbuki ilianza lini hasa ninachokumbuka ni kitambo sana enzi hizo nyumba zenye televisions zilikuwa zinahesabika kipindi hicho tulikuwa tunaita Video hahaaaa wengi walioanza kuisikia sikia enzi hizo ni 30+ jamani mliomo humu ndani kama tamthilia hiyo ulianza nayo tangu hukoo na huna familia inayokutegemea anza kujitafakari hahaaaa natania tuu...hata hivyo mwisho wake haujanipa satisfaction kwakweli ni kama kuna part two ambapo imeishia mafioso Mr sibeko amepigwa risasi na mwanamke tusiyemjua Mara akawa kama amefariki Mara akafungua macho,chapter iliyofungwa vizuri ni ya Sechaba na Phindile...Sibiya hatma yake na mkewe haijajulikana na watoto hatujaelewa ni wa sibiya au LA...hatma ya Nina zamdela,familia ya Lategans ,na ntando.....all in all hii inabaki kuwa moja ya tamthilia bora kabisa nilizowahi kutizama..wajuzi wa mambo humu ndani hii kitu Ina muendelezo?
1996?Mi nilianza kuiona mwaka 1996.. bora ilivyoisha..
92Miaka ya 90 hivi imebamba sana...sijajua exactly year iliyoanza,ila ni ya kitambo sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii si ndo tamthilia washiriki wanakufa kweli?
Ukisikia mtu anaumwa au kafa ujue kafa kweli?
Tamthilia miaka 40???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Moja ya tamthiliya za hovyo , ukifatilia hyo tamthiliya utakuja kustukia we ni babu au bibi....!!!
😂😂😂 wapi maana kwa SA ilkuwa aired kuanzia 1998 huku Tz 1999Mi nilianza kuiona mwaka 1996.. bora ilivyoisha..
The Passions, The Bold and The Beautiful,.....Isidingo The Need.
La Mujer De Mi Vida.
Acapulco Bay.
Haya madude yalikua yananiudhi kinoma. Bora ilo Acapulco lilikua na show show kiasi chake.
Yani upo Kama mimi, egoli ilikua nzuri Sana, isidingo pia sitasahau yale mapenzi ya derick nyati na nandipah, matabane fmlyIlianza baada ya kukatishwa Egoli,niliipenda sana egoli japo nilikua sielewi lugha ya mzungu. Kisha ikaja isidingo,nilivutiwa na sare za shule za letti kama za akina sarafina vile
Kupitia kituo cha ITV Leo tamthilia ya Isidingo the need imefikia tamati,kwa kumbukumbu sikumbuki ilianza lini hasa ninachokumbuka ni kitambo sana enzi hizo nyumba zenye televisions zilikuwa zinahesabika kipindi hicho tulikuwa tunaita Video hahaaaa wengi walioanza kuisikia sikia enzi hizo ni 30+ jamani mliomo humu ndani kama tamthilia hiyo ulianza nayo tangu hukoo na huna familia inayokutegemea anza kujitafakari hahaaaa natania tuu...hata hivyo mwisho wake haujanipa satisfaction kwakweli ni kama kuna part two ambapo imeishia mafioso Mr sibeko amepigwa risasi na mwanamke tusiyemjua Mara akawa kama amefariki Mara akafungua macho,chapter iliyofungwa vizuri ni ya Sechaba na Phindile...Sibiya hatma yake na mkewe haijajulikana na watoto hatujaelewa ni wa sibiya au LA...hatma ya Nina zamdela,familia ya Lategans ,na ntando.....all in all hii inabaki kuwa moja ya tamthilia bora kabisa nilizowahi kutizama..wajuzi wa mambo humu ndani hii kitu Ina muendelezo?
Walitukatishia Egoli wakaileta hiyo, nikaachana nayo hapohapo, sikuwahi kuifuatilia.We ndo sio wa zamani mm nimeanza kuangalia toka 1999