Kandambili1
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 475
- 1,318
Kweli mkuu, mtu aliekuja kwa plan B hauwezi pata haki yako Kwa plan A ... Hapo plan B muhimu ...sema watanzania wapole sanaHawa organized criminal gang wanacheza na mahakama na mda.
Watu wapo bize watapigwa kalenda miaka wanapungua mmoja mmoja then hakimu anafuta kesi,mtu aache mishe zake atoke Arusha dodoma au Mikoani aje dar ipigwe tarehe anakata tamaa.Kesi ya awali ilikua hivyo hivyo ana kesi kisutu tayari process yake imesuasua.
Huyu aogopi kesi huu utapeli wa kucheza na kesi Kama walivyokuwa mapapaa ya mjini.
Matapeli dawa zao Huwa ni plan B na Sio kesi mtasumbuana sana.
Tabia ya uaminifu kwa wazungu ilikuja baada ya kuuwana sana ikapelekea wakawa waaminifu kuepukaa kuuwawa.Kweli mkuu, mtu aliekuja kwa plan B hauwezi pata haki yako Kwa plan A ... Hapo plan B muhimu ...sema watanzania wapole sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Isijekuwa huyo ndiyo kaiuza bandari yetu wa Waarabu?
Maana nasikia hawa matapeli wa udalali walishamuuzia Mmasai Msikiti huko Morogoro, mahodhi ya kutwadhia wakamwabia unaona eroo, hapa unaogesgea dawa ng'ombe zako wakati wowote.
Mmasai si awapeleke ng'ombe zake usiku usiku msikitini, kishalipa hela dalali kasepa.
Muadhin anakwenda kuadhin alfajiri anakuta ng'ombe kibao msikitini, hapaingiliki.
Kimbembe.
shukrani mkuuKaribu sana
Nauza viwanja
Huyo white nyuma ndie Yona Kitta .Hao VKP mwaka 2017 walitupeleka Kigamboni huko kucheck viwanja vya kulipa kwa awamu, ila maeneo sikuyapenda. Tulikuwa na group la Whatsapp, baada ya muda nikaanza kuona lawama zimeanza, mara watu wakaanza kutolewa kwenye group, mwishowe nikasikia kesi. Anyways, viwanja vinavyoitwa "vimepimwa lipa kwa awamu ogopa sana"
View attachment 2695017
View attachment 2695016
Tusijekushangaa wakaachiwa tena
Anaangalia n mtu akiona wewe mjanja athubutu kukupigaMi nilijua muaru, kumbe mmeru, yani yule ni fala kinyama, ameuza ardhi za watu sana, halafu yeye anacheza na mabaraza
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Mahakama nao ni Watu, ndiyo maana juzi kwenye gazeti la Nipashe kulikua na habari kua pesa za Mirathi M69 zimepigwa Mahakama Kuu na Watumishi wa Mahakama!!Utapeli unathibitishwa na mahakama tu.
Inashangaza kwakweliPole sana ndugu. Ila na nyie mnaopigwa hadi 60m huwa hela zenu ni za halali kweli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Acha kurahisisha mambo mkuuSasa huyu jamaa anaonekana Hana Cha kulipa zaidi tu ya kufungwa mwaka mmoja na kuachiwa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] haya mambo yana changamoto sanaUkichunguza sana utakuta yeye ni sura tu ya huo utapeli. Usistaajabu matepeli halisi ni hao mliowapelekea kesi yenu.
Sure mkuuMi wote hawa wa viwanja sijui wanawabeba kwa gari naonaga matapeli. Na ubaya hadi serikali za mitaa za maeneo hayo nazo zinahusika kwenye utapeli. Siku hizi inabidi kufanya uchunguzi wa kutosha kabla hujatengana na milioni zako.
Poleni sanaHii ni habari njema sana kwangu hii kampuni imenidhulumu viwanja sita na huyu yona anamajibu ya dharau akiwa na wenzake emma. Alieafanikisha kupatikana kwake MUNGU atamlipa. Aemdhulumubwanafunzi wa vyuo viwanja kuanzia Chuo cha maji,kampala chuo cha maendeleo na udsm.
Ukisikia kampuni inauza viwanja,au online business sijui unalipa pesa wanakuagizia mzigo China kwa Bei rahisi usiingie na mguu wa kulia.
Hata Kama Wana ofisi hakikisha kwanza usalama wa pesa zako au try at your own risks.
Watz Sasa hivi wanafundishwa utapeli wa organized group na Wanigeria wanafungua legal office Kama mzionazo sampuli ya hizi DECI wengine ujifichia hadi kwa viongozi,Huwa wanaanza vizur tu mwanzon ili kuvutia wengi wakishapata market kubwa pesa ikaingia kwa wingi hapa ndipo wanapokuja achwa watu.
Hata online business hivyo hivyo mtaenda vizur ndani ya mwaka watajenga uaminifu wakishapata mzunguko mkubwa tu wanapiga.
Kisha wanacheza na kesi madai mahakamani miaka huku wanafungua kampuni nyingine kwa jina lingine kuendelea kupiga.
Mamlaka imelala na aina hii ya utapeli nchini.
Kampuni zote zinazodili na watu kutrust na kushawishi watu kuweka pesa zao ili wapate bidhaa au huduma ni za kumulikwa sana.
Huyu jamaa c anauza mpaka bomang'ombe ?Yupo Moja Arusha huitwa David Kambele ni tapeli hafai. Anachukua sehemu za watu anaziuza kwa mtundo huo wa kulipa kidogokidogo, Kisha anahonga mabaraza ya kata na watendaji anaanza kuzungusha wamiliki halisi... Serikali imfatilie huko muriet na Terat ameliza watu sana
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Me pia plan ilikua nije kununua bomang'ombe siku za karibuni kupitia yeye...mbona mnantishaHahaaaaa, anajitangaza sana nami nilitaka kununua kwake ardhi pale Bomang'ombe
Atakula 40 yakeSiku si nyingi atarudi mtaani...