Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nashangaa hata mimi. Waandishi vibaraka wote leo wamekuwa mstari wa mbele kuripoti.Kwa miaka yote Tulipokuwa tunaelimisha Jamii kuhusu Haki , Uhuru na Demokrasia tulionekana kama vichaa , Kujihusisha na siasa ilionekana kama kujitafutia kifo na ujinga , Mamluki wa Watawala wakatutukana matusi yote hadi ya nguoni , hatukuwa na cha kuwafanya na wala hatukuhangaika nao , sisi tuliamua kujikita kwenye ajenda zetu .
Lakini sasa jasho letu limeanza kuamsha hata waliokuwa ndani ya majeneza , ni mapema lakini angalau kuna mwanga na matunda ya Juhudi zetu yameonekana
View attachment 2881905
Una kichefu chefu nini we mjane wa hayatiKwahiyo mlio wa kuku!
Mkuu sio vibaraka bali walifanywa hivyo. Furahi na wao wamekuwa huru.Nashangaa hata mimi. Waandishi vibaraka wote leo wamekuwa mstari wa mbele kuripoti.
Maandamano ya leo yamewalza mafisadi na viatuKwa miaka yote Tulipokuwa tunaelimisha Jamii kuhusu Haki , Uhuru na Demokrasia tulionekana kama vichaa, Kujihusisha na siasa ilionekana kama kujitafutia kifo na ujinga , Mamluki wa Watawala wakatutukana matusi yote hadi ya nguoni, hatukuwa na cha kuwafanya na wala hatukuhangaika nao sisi tuliamua kujikita kwenye ajenda zetu.
Lakini sasa jasho letu limeanza kuamsha hata waliokuwa ndani ya majeneza ni mapema lakini angalau kuna mwanga na matunda ya Juhudi zetu yameonekana.
View attachment 2881905
Tumetoka Mbali sana Mungu ni mwema sanaKwa miaka yote Tulipokuwa tunaelimisha Jamii kuhusu Haki , Uhuru na Demokrasia tulionekana kama vichaa, Kujihusisha na siasa ilionekana kama kujitafutia kifo na ujinga , Mamluki wa Watawala wakatutukana matusi yote hadi ya nguoni, hatukuwa na cha
Mmelala na viatu leoKwahiyo mlio wa kuku!
Ukweli mtupu !Mmelala na viatu leo
Hivi mnaongea demokrasia mnaijua nyie lakini, umaskini wa afrika unaletwa na huu ujinga unaitwa demokrasia, ukiona mzungu anafosi jambo lifanyike africa jua ni kwa ajili ya manufaa yake na sio ya waafrica sijui huu umbumbumbu africa utatoka liniKwa miaka yote Tulipokuwa tunaelimisha Jamii kuhusu Haki , Uhuru na Demokrasia tulionekana kama vichaa, Kujihusisha na siasa ilionekana kama kujitafutia kifo na ujinga , Mamluki wa Watawala wakatutukana matusi yote hadi ya nguoni, hatukuwa na cha kuwafanya na wala hatukuhangaika nao sisi tuliamua kujikita kwenye ajenda zetu.
Lakini sasa jasho letu limeanza kuamsha hata waliokuwa ndani ya majeneza ni mapema lakini angalau kuna mwanga na matunda ya Juhudi zetu yameonekana.
View attachment 2881905
Wameripoti kwa sababu Chalamila na Polisi walishiriki hayo maandamano.Kwa miaka yote Tulipokuwa tunaelimisha Jamii kuhusu Haki , Uhuru na Demokrasia tulionekana kama vichaa, Kujihusisha na siasa ilionekana kama kujitafutia kifo na ujinga , Mamluki wa Watawala wakatutukana matusi yote hadi ya nguoni, hatukuwa na cha kuwafanya na wala hatukuhangaika nao sisi tuliamua kujikita kwenye ajenda zetu.
Lakini sasa jasho letu limeanza kuamsha hata waliokuwa ndani ya majeneza ni mapema lakini angalau kuna mwanga na matunda ya Juhudi zetu yameonekana.
View attachment 2881905
Ila mikutano ya CCM ya kucheza ngoma na vigodoro unashiriki.Hivi mnaongea demokrasia mnaijua nyie lakini, umaskini wa afrika unaletwa na huu ujinga unaitwa demokrasia, ukiona mzungu anafosi jambo lifanyike africa jua ni kwa ajili ya manufaa yake na sio ya waafrica sijui huu umbumbumbu africa utatoka lini
Magazeti ni biasharaNashangaa hata mimi. Waandishi vibaraka wote leo wamekuwa mstari wa mbele kuripoti.
Mungu Ibariki CHADEMA.. Sasa vitaanza kupata biashara tenaKwa miaka yote Tulipokuwa tunaelimisha Jamii kuhusu Haki , Uhuru na Demokrasia tulionekana kama vichaa, Kujihusisha na siasa ilionekana kama kujitafutia kifo na ujinga , Mamluki wa Watawala wakatutukana matusi yote hadi ya nguoni, hatukuwa na cha kuwafanya na wala hatukuhangaika nao sisi tuliamua kujikita kwenye ajenda zetu.
Lakini sasa jasho letu limeanza kuamsha hata waliokuwa ndani ya majeneza ni mapema lakini angalau kuna mwanga na matunda ya Juhudi zetu yameonekana.
View attachment 2881905
Unaumia ukiwa wapi joMlale Unono [emoji1][emoji1][emoji23]
Tundu Antipas Lisu