Hatimaye Vyombo vya Habari vya Tanzania vyajiondoa ndani ya Chungu, hebu Someni hili gazeti

Hatimaye Vyombo vya Habari vya Tanzania vyajiondoa ndani ya Chungu, hebu Someni hili gazeti

Vyombo vya habari haviko huru, wanaripoti habari za maandamano kwasababu Serikali imeyaruhusu na hivyo haina madhara kwao wakiripoti.

Ila ingekuwa tofauti kama Serikali ingekataa yasiwepo. Unafiki ni mwingi sana.
 
Hakukuwa na gwanda hata moja.

Yale magwanda yaliyokuwa yakiuzwa hapa JF.

None zero Kalas.
 
Kwa miaka yote Tulipokuwa tunaelimisha Jamii kuhusu Haki , Uhuru na Demokrasia tulionekana kama vichaa, Kujihusisha na siasa ilionekana kama kujitafutia kifo na ujinga , Mamluki wa Watawala wakatutukana matusi yote hadi ya nguoni, hatukuwa na cha kuwafanya na wala hatukuhangaika nao sisi tuliamua kujikita kwenye ajenda zetu.

Lakini sasa jasho letu limeanza kuamsha hata waliokuwa ndani ya majeneza ni mapema lakini angalau kuna mwanga na matunda ya Juhudi zetu yameonekana.

View attachment 2881905
Kwa sababu limeandika uongo unaokufurahisha?
 
Mungu Ibariki CHADEMA.. Sasa vitaanza kupata biashara tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_2024-01-25-10-46-58-1.png
Screenshot_2024-01-25-10-48-21-1.png
 
Kwa miaka yote Tulipokuwa tunaelimisha Jamii kuhusu Haki , Uhuru na Demokrasia tulionekana kama vichaa, Kujihusisha na siasa ilionekana kama kujitafutia kifo na ujinga , Mamluki wa Watawala wakatutukana matusi yote hadi ya nguoni, hatukuwa na cha kuwafanya na wala hatukuhangaika nao sisi tuliamua kujikita kwenye ajenda zetu.

Lakini sasa jasho letu limeanza kuamsha hata waliokuwa ndani ya majeneza ni mapema lakini angalau kuna mwanga na matunda ya Juhudi zetu yameonekana.

View attachment 2881905
View attachment 2882285
View attachment 2882287
Yet mnatoa lugha chafu Kwa Dr Samia, mnadhani haya mambo yanatokana na katiba la hasha kwani miaka yote mabomu yalipokuwa yanatumika kutawanya waandamanaji hakukuwa na viongozi!? Kongole Kwa Dr Samia
 
Huenda tukaaza kununua magazeti kwani tuliacha kabisa kununua upuuzi wa kupangiwa vya kuandika!
 
Hivi mnaongea demokrasia mnaijua nyie lakini, umaskini wa afrika unaletwa na huu ujinga unaitwa demokrasia, ukiona mzungu anafosi jambo lifanyike africa jua ni kwa ajili ya manufaa yake na sio ya waafrica sijui huu umbumbumbu africa utatoka lini
Kama hutaki demokrasia unataka nini?.Kwasababu nikama ata haujui demokrasia ni nini.
 
Kwa miaka yote Tulipokuwa tunaelimisha Jamii kuhusu Haki , Uhuru na Demokrasia tulionekana kama vichaa, Kujihusisha na siasa ilionekana kama kujitafutia kifo na ujinga , Mamluki wa Watawala wakatutukana matusi yote hadi ya nguoni, hatukuwa na cha kuwafanya na wala hatukuhangaika nao sisi tuliamua kujikita kwenye ajenda zetu.

Lakini sasa jasho letu limeanza kuamsha hata waliokuwa ndani ya majeneza ni mapema lakini angalau kuna mwanga na matunda ya Juhudi zetu yameonekana.

View attachment 2881905
View attachment 2882285
View attachment 2882287
Najiona kama vile nashawishika kununua magazeti
Nakumbuka zamani nilikuwa mapita banda la magazeti makusanya karibia gazeti tano, alafu natamani nifike home nitulie nasoma moja. Baada ya moja
Nilikuwa nainjoy kiukweli
 

Jana Tanzania nzima imeona na kuamini kwamba wanaopenda na kuleta fujo sio wanaoitisha maandamano bali wale wanaoyapiga marufuku.

Hekima za Rais Samia zimetusaidia kujua tatizo lipo wapi.
 

Jana Tanzania nzima imeona na kuamini kwamba wanaopenda na kuleta fujo sio wanaoitisha maandamano bali wale wanaoyapiga marufuku.

Hekima za Rais Samia zimetusaidia kujua tatizo lipo wapi.
Si Hekima za Samia , shukuruni Wazungu
Screenshot_2024-01-18-22-15-01-1.png
 

Mkuu, mimi sifanyi siasa hapa. Wakati wa Magufuli hao wazungu hawakuwepo?

Lazima tukubali ukweli, maandamano ya jana yamewezekana kwa hekima za Rais Samia. Hata hivyo pia sio sawa haki za watu kutegemea hekima ya mtu mmoja.
Washauri wa Samia ndio akina Makonda , unadhani hawa wanataka maandamano ?

Ndio maana tunakuambia Washukuru Wazungu .
 
Back
Top Bottom