Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu yupi?Chadema ni mpango wa mungu
Jikumbushe maandamano ya mwisho mliyafanya lini na ilikuwaje?
Consistency.....Hapo chadomo mumpe maua yake mama Samia.
Kwa miaka yote Tulipokuwa tunaelimisha Jamii kuhusu Haki , Uhuru na Demokrasia tulionekana kama vichaa, Kujihusisha na siasa ilionekana kama kujitafutia kifo na ujinga , Mamluki wa Watawala wakatutukana matusi yote hadi ya nguoni, hatukuwa na cha kuwafanya na wala hatukuhangaika nao sisi tuliamua kujikita kwenye ajenda zetu.
Lakini sasa jasho letu limeanza kuamsha hata waliokuwa ndani ya majeneza ni mapema lakini angalau kuna mwanga na matunda ya Juhudi zetu yameonekana.
Iwe endelevuSijakuelewa.
Au ulimaanisha Resilience?
Siku nyingine huwa hawaoni soko la hao wana CHADEMA? What a fool urgument!Magazeti ni biashara
Soko linalengwa Wana Chadema watanununua magazeti yenye hivyo vichwa vya habari Hadi basi
Unashangaaa nini
CCM kadiri siku zinavyokwenda ndiyo inazidi kupoteza dira. Hebu fikiria Makonda ndiye engine ya CCM sasa hivi.Asiyelewa jambo haambiwi jambo.
Hapo mmepigwa na kitu kizito, bado mnachekelea.
Sukuma gang roho zinawauma sana dadeeeekiiii matambaraKwahiyo mlio wa kuku!
Atakuwa yupo chato amefura sana huyu Kipara Kipya [emoji1787][emoji1787]Una kichefu chefu nini we mjane wa hayati
Alafu nawashangaa yaani maana maandamano wafanye CDM wakasilike ccm!!![emoji24][emoji24]Maandamano ya leo yamewalza mafisadi na viatu
Walisha rogwa haoKizazi kipya na mwamko mpya.
Wazee wa chama kongwe dola kama kina Mzee Stephen Masatu Wasira na wenzake, watasema sisi vijana leo tumetukana sana katika maandamano kupitia jumbe za mabango yaliyobwa kuelezea hali ngumu ya maisha na dai la umuhimu wa katiba mpya ili kupata viongozi sahihi.
Kuna Mungu na mungu, zingatia herufi ya kwanzaMungu yupi?
Mwananchi maji yamemfika shingoni. Jana Martini Maranja Manase alimkemea kwa kwenda kupiga picha Magufuli stand akionesha kuwa hakuna mtu hata mmoja katika Maandamano kwenye saa 12 asubuhi! Nadhani roho imewasuta ErythrocyteKwa miaka yote Tulipokuwa tunaelimisha Jamii kuhusu Haki , Uhuru na Demokrasia tulionekana kama vichaa, Kujihusisha na siasa ilionekana kama kujitafutia kifo na ujinga , Mamluki wa Watawala wakatutukana matusi yote hadi ya nguoni, hatukuwa na cha kuwafanya na wala hatukuhangaika nao sisi tuliamua kujikita kwenye ajenda zetu.
Lakini sasa jasho letu limeanza kuamsha hata waliokuwa ndani ya majeneza ni mapema lakini angalau kuna mwanga na matunda ya Juhudi zetu yameonekana.
View attachment 2881905
Ni kwa muda lakini watarudi kule kuleKwa miaka yote Tulipokuwa tunaelimisha Jamii kuhusu Haki , Uhuru na Demokrasia tulionekana kama vichaa, Kujihusisha na siasa ilionekana kama kujitafutia kifo na ujinga , Mamluki wa Watawala wakatutukana matusi yote hadi ya nguoni, hatukuwa na cha kuwafanya na wala hatukuhangaika nao sisi tuliamua kujikita kwenye ajenda zetu.
Lakini sasa jasho letu limeanza kuamsha hata waliokuwa ndani ya majeneza ni mapema lakini angalau kuna mwanga na matunda ya Juhudi zetu yameonekana.
View attachment 2881905
Hakuna wadhifa wa "engine" kwenye CCM.CCM kadiri siku zinavyokwenda ndiyo inazidi kupoteza dira. Hebu fikiria Makonda ndiye engine ya CCM sasa hivi.