Hatimaye Vyombo vya Habari vya Tanzania vyajiondoa ndani ya Chungu, hebu Someni hili gazeti


Asiyelewa jambo haambiwi jambo.

Hapo mmepigwa na kitu kizito, bado mnachekelea.
 
Magazeti ni biashara

Soko linalengwa Wana Chadema watanununua magazeti yenye hivyo vichwa vya habari Hadi basi

Unashangaaa nini
Siku nyingine huwa hawaoni soko la hao wana CHADEMA? What a fool urgument!
 
Walisha rogwa hao
 
Mwananchi maji yamemfika shingoni. Jana Martini Maranja Manase alimkemea kwa kwenda kupiga picha Magufuli stand akionesha kuwa hakuna mtu hata mmoja katika Maandamano kwenye saa 12 asubuhi! Nadhani roho imewasuta Erythrocyte
 
Ni kwa muda lakini watarudi kule kule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…