Hatimaye Yanga yakabidhiwa kwa Manji aiendeshe kama club Binafsi

Miaka yote hii tumepata nini?
Bora Manji achukue tuone atafanya nini cha kimaendeleo.
Ila miaka 10 ni mingi sana,labda kama katika mkataba wamekubaliana ujenzi wa kiwanja cha kisasa...
Otherwise angepewa miaka miwili ya majaribio.
 
Nahic yanga wanatapeliwa mchana kweupeeeeeeeee[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Sisi kama wanachama tumetapeliwa nini? Miaka yote huko nyuma sijawahi kufaidika hata na kitu chini ya hao viongozi! Furaha/faida ya mwanachama yeyote wa klabu ni matokeo no matter timu inaendeshwa na nani! Watakao umia ni wale waliokuwa wanaishi kutegemea klabu najua watafungua sana kesi mwaka huu
 
Mawazo mengine ya kitaahira kweli kweli, Yanga ishuke daraja imekuwa Simba?
 
Kandambili ovyo sana.. yaani klabu inakodishwa.!?
 
Wakuu,hebu nisaidieni mfano wa timu moja ya mpira iliyowahi kukodishwa ili tuseme yanga wameitumia kama kiolezo katika kufanya maamuzi yao..
 
Yanga bana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani mmekubali 75% achukue manji hahahahha
 
kama yote haya ni rahisi (kuuza maji, opena, skafu, jezi na mafanano wake kwa nini? ndani ya miaka 70+ ya yanga haijawahi fanya ivi na kubaki kutegemea ufadhiri. wacha aichukue tu
 
Wakuu,hebu nisaidieni mfano wa timu moja ya mpira iliyowahi kukodishwa ili tuseme yanga wameitumia kama kiolezo katika kufanya maamuzi yao..
Shangazi yako aliwahi kukwambia kuwa Yanga inaendeshwa kwa mifano? Yaani tangu Jerry Muro aende likizo mna maswali ya kijingajinga kweli kweli.
 
Shangazi yako aliwahi kukwambia kuwa Yanga inaendeshwa kwa mifano? Yaani tangu Jerry Muro aende likizo mna maswali ya kijingajinga kweli kweli.
Punguza jazba mkuu,tulia..na kama hauna nilichouliza unaweza kupita tu waje wajibu wengine..
Au wewe ndio yanga??
 
Shukrani nyingi zimwendee Mr...Mo.....

amewatoa usingizi vyura....

SIMBA NGUVU....MOJA
Habari za hisa/kampuni zilianzishwa na akina Tarimba miaka kumi iliyopita .
Wamatopeni wamedesa bila kujua undani wenyewe. Mpeni Mo hiyo timu mje mlie vizuri baadaye. Mnadandia train kwa mbele.
 
Manji akizungumza hamna sauti nyingine yakukohoa,Hongera MANJI coz hamna mfanyabiashara anayetoa fedha bure.

Huu ni wakati wake wa kurudisha hasara ya mlivyokuwa mnachekelea kuingia bure uwanja wa taifa
 
Yaani maana yake maamuzi ya timu ya yanga 100% ya kwake hahahhha
 
Yanga buana...kama shamba la mihogo vile...unakodishwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…